Kagera kupoteza Billion 53. 4 kwa mwaka mauzo ya dhahabu kama itamegwa na kutengeneza Mkoa wa Chato

Kagera kupoteza Billion 53. 4 kwa mwaka mauzo ya dhahabu kama itamegwa na kutengeneza Mkoa wa Chato

Wakiumega tena kuna kila sababu eneo linalobakia kuwa sehemu ya Uganda tena kwa kila kitu.
Yaani waache tu, ukienda BK kuanzia sabuni, mafuta ya kupika, saruji, vipodoz sukari vyote vinatoka Uganda.
 
Wakipoteza hizo fedha bado zitatumika Tanzania.
Rohoo mbaya inatoka wapi mara wahaya mbona mnatengeneza ubaguzi na matabaka.
 
Tuzalishe
Wakipoteza hizo fedha bado zitatumika Tanzania.
Rohoo mbaya inatoka wapi mara wahaya mbona mnatengeneza ubaguzi na matabaka.
Sisi zikajenge dodoma hiyo akili matope
 
Wana Jf,

Kama utabiri ukitokea uenda Kagera ikapoteza fedha nyingi kwa kile tunachokiita upuuzi wa mwombolezaji mmoja toka Chato. Chato imebebwa na Kagera miaka mingi tangia falme mpaka kuwa wilaya kamili. Sasa hawa jamaa wanaleta unazi kuwa kila kiongozi mkuu apewe anachohitaji, kwa njia hii tutakuwa na mikoa mia moja yaani.

Ona sasa Kagera inaenda kupoteza million 53.4. Alafu mje meme wahaya hawapendi kujenga kwao kumbe wanahujumiwa lila waliotaka kumbuka.

Nakuomba mama cabana na yule mzee labda dish lilicheza yakamtoka. Tuiachie lagers yao imeumizwa mno na majanga mengi . Tetemeko, ukimwi, MV. BUKOBA, MNYAUKO elinino haya yote yamepita, bado hii adhabu ya kumegwa , wanakagera wamekataa, msilete chuki hata kama Tanzania ni moja

View attachment 2023247
Hawa jamaa wanashangaza kweli miaka yote kagera imepata matatizo serikali kimya, leo imepatikana neema ya madini ambayo itaenda kuboost uchumi na maendeleo ya mkoa kwa ujumla, eti mkoa umegwe, sijawahi kuelewa hii serikali ina agenda gani ya siri kuhusu huu mkoa kwa nini wamesubiri madini yalipopatikana miaka yote walikuwa wapi, kiukweli hatutakubali.


 
Hawa jamaa wanashangaza kweli miaka yote kagera imepata matatizo serikali kimya, leo imepatikana neema ya madini ambayo itaenda kuboost uchumi na maendeleo ya mkoa kwa ujumla, eti mkoa umegwe, sijawahi kuelewa hii serikali ina agenda gani ya siri kuhusu huu mkoa, kiukweli hatutakubali.
Tutafanya maamuzi magumu ya kujiondoa Tanzania
 
Iwapo kama hela zote hizo zinabaki Kagera nafikiri wangekuwa hawana matatizo yote hayo yanayowapitia
 
Iwapo kama hela zote hizo zinabaki Kagera nafikiri wangekuwa hawana matatizo yote hayo yanayowapitia
Hayo mapato yatapatikana baada ya uchimbaji wa madini ya Nickel, kwahiyo kama mkoa utamegwa hayo mapato yataenda mkoa wa chato, hicho ndicho wahaya wanapinga, miaka yote walikuwa wapi kisa madini ndiyo wametaka kujitenga.
 
Inaonekana wewe mleta uzi una mlengo wako tena wa kupinga mkoa mpya wa Chato,naona utetezi wako unajidhihirisha
Tangu mzilamkende aseme mto ngono kwenu, ukimwi kwenu, tetemeko kwenu, mv
Bukoba kwenu, alafu hela za wafadhili zikapokonywa?!! Bado Nickel ya Kabanga inaleta shida
 
Yanasaidia ujenzi wa miundo mbinu, ikitokea bajeti fulani na mkoa kafanya vizuri kwa makusanyo kuna pesa inabaki kusaidia kuondoa umaskini kuliko mkoa usiozalisha kitu.

Iyo hela yote wameshindwa kujenga ata stendi ya mabasi
 
Huu mkoa amini unawaambia huwa unakwamishwa kwa makusudi usiwe na maendeleo alafu anatoka tujitu tunasema wahaya hawapendi kwao wakati wanahujumiwa lila idara.
Hilo mbona linajulikana kitambo, labda kama upeo wa akili ni mdogo, ndo huwezi kulingamua hilo.
 
Iyo hela yote wameshindwa kujenga ata stendi ya mabasi
Serikali ndiyo inakwamisha mradi wa stendi tena maksudi.
 
Tangu mzilamkende aseme mto ngono kwenu, ukimwi kwenu, tetemeko kwenu, mv
Bukoba kwenu, alafu hela za wafadhili zikapokonywa?!! Bado Nickel ya Kabanga inaleta shida
Kiukweli tangia siku hiyo hadi leo hamna muhaya timamu aliyemkubali tena. Kwa nickel hatutakubali lazima madini yabaki kagera.
 
Kiukweli tangia siku hiyo hadi leo hamna muhaya timamu aliyemkubali tena. Kwa nickel hatutakubali lazima madini yabaki kagera.
Bora kagera ingekuwa nchi kwani kwa ukubwa unazidi Rwanda na burundi kuliko manyanyaso haya inayopitia, haiwezekani inapakana na nchi nne bado ni maskini. Haya matendo Mungu anawaona chuki zidi ya mkoa huu zinazidi jamani
 
Tangu mzilamkende aseme mto ngono kwenu, ukimwi kwenu, tetemeko kwenu, mv
Bukoba kwenu, alafu hela za wafadhili zikapokonywa?!! Bado Nickel ya Kabanga inaleta shida

Kama Wahaya waliyeyusha chuma miaka 2000 na ushee iliyopita na pia kumzidi akili hata mzungu kwa kuvumbua hilo

Hapo tunaona kabisa Wahaya wanahujumiwa kila kona

Hawa jamaa walikuwa na Akili sana ila kuna kitu wanafanyiwa
Haiwezekani matatizo yote kwao tu na bado wakasimangwa na kupigwa hela zao za msaada
 
Hayo mapato yatapatikana baada ya uchimbaji wa madini ya Nickel, kwahiyo kama mkoa utamegwa hayo mapato yataenda mkoa wa chato, hicho ndicho wahaya wanapinga, miaka yote walikuwa wapi kisa madini ndiyo wametaka kujitenga.

Kwa hilo wana haki ya hata kupigana sio kupinga tu
Roho mbaya baina yetu ndio inatufanya waafrika tusifike mahali popote
 
Serikali ndiyo inakwamisha mradi wa stendi tena maksudi.

Tanganya toto huo mchoro wa stendi au nyumba za kuishi
 
Back
Top Bottom