Kagera kupoteza Billion 53. 4 kwa mwaka mauzo ya dhahabu kama itamegwa na kutengeneza Mkoa wa Chato

Bora kagera ingekuwa nchi kwani kwa ukubwa unazidi Rwanda na burundi kuliko manyanyaso haya inayopitia, haiwezekani inapakana na nchi nne bado ni maskini. Haya matendo Mungu anawaona chuki zidi ya mkoa huu zinazidi jamani
Uzuri ni kwamba wameanza kufunguka kiakili na kutambua hizo njama, kwahiyo muda utafika.
 
Hata kabla ya vita, mkoa ulikuwa na maendeleo ya kutosha. Serikali ikaanza sarakasi waliogopwa sana na JN. Matatizo iliyokutana nayo kagera hakuna mkoa unaoweza kukutana nayo ukasimama hata Dar es salaam haiwezi.
 
Nshomile kwisha tambo zao wanajifanya bila wao hakuna kagera sasa wamekamatwa balls wanalialia tu

Wakauze ndizi na kahawa wapate hizo billion

USSR
 
Nshomile kwisha tambo zao wanajifanya bila wao hakuna kagera sasa wamekamatwa balls wanalialia tu

Wakauze ndizi na kahawa wapate hizo billion

USSR
Ndizi zitaendelea kuuzwa, kahawa itaendelea kuuzwa na madini ya NICKEL pia yatabaki kagera na yatauzwa pia hamna cha mkoa wa chato hapa.
 
Si inamegwa na watu wake kwani inachukuliwa na watu kufukuzwa
 
Bilioni zote hizo hata stend ya mabasi na soko wameshindwa kujenga? Mzee BIgambo wamege hawa wahaya hawana shukrani, mkimaliza kuwamega na sisi wa ng'mbo ya mto Kagera tunajimega kurudi kwa Kaguta Musseveni, mto Kagera ndio mpaka sahihi.
 
Hata kabla ya vita, mkoa ulikuwa na maendeleo ya kutosha. Serikali ikaanza sarakasi waliogopwa sana na JN. Matatizo iliyokutana nayo kagera hakuna mkoa unaoweza kukutana nayo ukasimama hata Dar es salaam haiwezi.

Wana akili ya kuzaliwa na wakiwa wamoja wanaweza kufanya zaidi ingawa huwa wanaonekana ni tishio sijui kwanini

Hata Ha wa KG walisahauliwa sana tangu uhuru na mpaka leo wote wanaonekana ni Rundi tribe tu
Ingawa mzungu ndio alitukatakata na kuweka mipaka ila hatuoni kuwa sisi ni wamoja hata tufanyeje

Leo kila mmoja akipimwa DNA na kutafutwa asili yake wengine tutakutwa tuna asili ya Cameroon
 
Bilioni zote hizo hata stend ya mabasi na soko wameshindwa kujenga? Mzee BIgambo wamege hawa wahaya hawana shukrani, mkimaliza kuwamega na sisi wa ng'mbo ya mto Kagera tunajimega kurudi kwa Kaguta Musseveni, mto Kagera ndio mpaka sahihi.
Hawaja shindwa kujenga hizo ni njama za serikali ndiyo inakwamisha mradi wa stendi mbona kila kitu kilishawekwa wazi kuhusu stendi au hujuhi.
 
Sasa kaka kila mwaka wanapat bilioni 53, miak yote hiyo wakashindwa kujenga hata stendi ya maana!!?
 
Bado wana zile elements za kwamba wakiinuliwa sana, watataka kujitenga. Wee si unaona hata kibano kilianzia kwenye elimu, pass mark za mkoa wa Kagera ziko juu kuliko mikoa yote.
 
Sasa kaka kila mwaka wanapat bilioni 53, miak yote hiyo wakashindwa kujenga hata stendi ya maana!!?
Mumekomalia stendi tu, hata hivyo hajasema kila mwaka wanapata billion 53, hiyo hella itapatikana baada ya kuanza kuuza madini ya NICKEL, ndiyo maana wahaya wanapinga kumega kagera, kwa sababu hayo mapato yote yatabaki kagera.
 
Mumekomalia stendi tu, hata hivyo hajasema kila mwaka wanapata billion 53, hiyo hella itapatikana baada ya kuanza kuuza madini ya NICKEL, ndiyo maana wahaya wanapinga kumega kagera, kwa sababu hayo mapato yote yatabaki kagera.
Mkuu umesoma vizuri kilichoandikwa, we unasema hiyo hela itaanza kupatikana kwa kuuza nickel, wakati imeandikwa ni hela inayopatikana kwa mauzo ya dhahabu,

Soma tena.
 
Mkuu umesoma vizuri kilichoandikwa, we unasema hiyo hela itaanza kupatikana kwa kuuza nickel, wakati imeandikwa ni hela inayopatikana kwa mauzo ya dhahabu,

Soma tena.
Mimi nimesoma vizuri ndugu, hata mleta mada kasema hivyo. Isome vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…