Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Wakuu,
Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Kagera. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.
Mkoa wa Kagera una jumla ya majimbo ya uchaguzi 9 ambayo ni:-
Bukoba Mjini:
Stephen Byabato (CCM) - Kura 29,208
Adronicus Chief Kalumuna (CHADEM) - Kura 17,348
Bukoba Vijijini:
Jackson Rweikiza (CCM)
Biharamulo:
Ezra Chiwelesa (CCM)
Karagwe:
Innocent Bashungwa (CCM) - Kura 68,371
Kyerwa:
Innocent Bilakwate (CCM)
Muleba Kusini:
Oscar Kikoyo (CCM)
Nkenge:
Frolent Kyombo (CCM) - Kura 58,051
Magreth Kyai (Chadema) - Kura 4,803
Ngara:
Ndaisaba Luhoro (CCM)
Muleba Kaskazini:
Charls Mwijage (CCM)
ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.