Kagera: Mtoto abakwa na kuuawa

Kagera: Mtoto abakwa na kuuawa

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Bukoba, Jeshi la polisi mkoani Kagera linamtafuta mtu mmoja anayeshukiwa kuhusika na mauaji ya mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la nne, shule ya msingi Kahororo manispaa ya Bukoba.

Mwanafunzi huyo alibakwa, kulawitiwa na kisha kupigwa na kitu kizito bila huruma.

RPC mkoa wa Kagera amesema mwanafunzi huyo alipotea baada ya kutumwa na mama yake kwenda kununua sabuni siku ya April tano.

Baada ya kutorudi nyumbani mama wa mtoto huyo aliamua kwenda kuulizia dukani alipomtuma na aliambiwa kuwa hakufika.

Uchunguzi wa awali ulionyesha kuwa mtoto huyo alibakwa kulawitiwa na kisha kupigwa na kitu kizito. Kamanda Malimi (Rpc Kagera) ameomba msaada kwa jamii nzima kutoa msaada mtuhumiwa akamatwe.

Kwa hisani ya Mwananchi
 
tukipata rais asiyeogopa ku sign hukumu za kifo itapendeza sana, kuna watu hawafai kuishi
Ni kweli,ila sio kila wakati unakuwa una makosa,wengine wanabambikiwa makosa wakati mwingine,kwahiyo unajikuta una hukumiwa pasipo hatia,hivyo likikukuta hilo huwezi kutamani uwepo wa hiyo hukumu...
 
Kama ningekuwa jaji ningenyonga watu wengi sana
 
Ni kweli,ila sio kila wakati unakuwa una makosa,wengine wanabambikiwa makosa wakati mwingine,kwahiyo unajikuta una hukumiwa pasipo hatia,hivyo likikukuta hilo huwezi kutamani uwepo wa hiyo hukumu...
Umesema kweli mkuu, lakini wengine wanakili wenyewe mfano wale jamaa wa kule iringa waliuwa watoto na kukiri
 
Ni kweli,ila sio kila wakati unakuwa una makosa,wengine wanabambikiwa makosa wakati mwingine,kwahiyo unajikuta una hukumiwa pasipo hatia,hivyo likikukuta hilo huwezi kutamani uwepo wa hiyo hukumu...
Wengine wagonjwa wa akili.....Na hukumu ya kifo ni Barbaric.Death is innevitable na hakuna ajuae kama huko upande wa pili kuna afadhali au msoto.Some times watu kama hawa ni kuwafunga maisha,Bakora 2 asubuhi na mbili jioni kila siku,na kazi ngumu.Mtazamo wangu tu ila Ukweli ni kwamba As a parent nikimbamba Nitamuua
 
Wengine wagonjwa wa akili.....Na hukumu ya kifo ni Barbaric.Death is innevitable na hakuna ajuae kama huko upande wa pili kuna afadhali au msoto.Some times watu kama hawa ni kuwafunga maisha,Bakora 2 asubuhi na mbili jioni kila siku,Na Kazi Ngumu.Mtazamo wangu tu ila Ukweli ni kwamba As a parent nikimbamba Nitamuua
Na wewe utaua?
 
1. Chukueni sperms zilizopo kwa dogo.

2. Pima DNA.

3. Tafuta suspects wote.

4. Compare.

5. Atakae patikana analipa gharama zote.

Huu uchafu hauvumilikoi.
 
Tumbo la uzazi limencheza,.wallah kama mzazi unamjua huyo mtu tunagawana majengo ya serikali aisee,.wala siiti polisi mwenyewe namtafutia njemba zimle mpaka azirai akizinduka anajikuta yupo kwenye kubanikwa na moto kiungo kimoja kimoja,vikiiva unakata unampa mbwa wale huku anawaona...😏😏😏
 
1. Chukueni sperms zilizopo kwa dogo.

2. Pima DNA.

3. Tafuta suspects wote.

4. Compare.

5. Atakae patikana analipa gharama zote.

Huu uchafu hauvumilikoi.
Hivi hapa Bongoland kuna forensic science dpt? Au unataka kuleta mambo ya mamtoni?
 
Back
Top Bottom