Kagera: Mtoto abakwa na kuuawa

Kagera: Mtoto abakwa na kuuawa

Tukipata rais asiyeogopa ku sign hukumu za kifo itapendeza sana, kuna watu hawafai kuishi
Ni kweli kabisa, hata Mimi ningekuwa nazi sign haraka sana maana Kama hujamsingizia mtu utaogopaje ku sign? Watakao kuwa wamesingizia ndo watabeba hizo lawama maana mpaka kesi iishe imepita kwenye vitengo vinavyohusika na kufatilia ukatili Kama huo na kusign hao wauaji wanyongwe nikuokoa jamii Ili isidhulike na watu wabaya Kama hao sasa uogope kusign na uje utangazie makatili kwamba naogopa kusign hiyo siyo sawa kabisa, makatili hawasitahili kuishi pamoja na viumbe wema ni kunyongwa tu tena haraka bila kupoteza muda.
 
Tukipata rais asiyeogopa ku sign hukumu za kifo itapendeza sana, kuna watu hawafai kuishi
kunyonga hapana...WAHASIWE then waachiwe huru......alikwisha jitoa akili...ili hata akiuwawa ni sawa.....no wapondwe mishipa pumbafu sana...inauma mnoooo....na kamuua baada ya kumaliza haja zake.......halafu mapolisi wetu wanapenda kweli kwenda kwenye vyombo vya habari...hii humsaidia mhalifu kukimbia na kukumbia.....na kutuongezea gharama za kumtafuta.......wahasiweeeee###
 
inabidi ifike mahali watu wa namna hiyo wawe waadhibiwe vikali sana. Wachomwe hata sindano zenye maumivu makali sana kila wiki
 
Back
Top Bottom