Mbegu bora ikipanda lazima iote. Na Mbegu ili iote, inakufa kwanza kisha inachipua na kukua na Kuzaa matunda.
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Paul Makonda ni Mbegu ambayo imeota, sasa CCM wanajiandaa kula Matunda yake 2025.
Kwa ziara yake Bukoba, ni dhahiri Makonda ni Baba wa Siasa za Bongo.
Your browser is not able to display this video.
Kapokelewa kwa Kishindo. Wati wengi. Alipendeza na kujiamini.
Mungu azidi kumbariki.
Alitua na ndege kisha kuelekea Makao Makuu wa CCM Mkoa wa Kagera na Sasa anajiandaa kuhutubia Mkutano Mkubwa uwanja wa Mayunga Bukoba Mjini kuanzia saa 10 jioni ya leo
Mbegu bora ikipanda lazima iote. Na Mbegu ili iote, inakufa kwanza kisha inachipua na kukua na Kuzaa matunda.
View attachment 2808786
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Paul Makonda ni Mbegu ambayo imeota, sasa CCM wanajiandaa kula Matunda yake 2025.
Kwa ziara yake Bukoba, ni dhahiri Makonda ni Baba wa Siasa za Bongo.
Alitua na ndege kisha kuelekea Makao Makuu wa CCM Mkoa wa Kagera na Sasa anajiandaa kuhutubia Mkutano Mkubwa uwanja wa Mayunga Bukoba Mjini kuanzia saa 10 jioni ya leo
Huenda Jiwe alimuachia kizizi , CCM inastruggle Sana kupata mapokeo ya namna hii , hata mama Samia hupata tabu Sana kupata mapokezi ya shangwe , achana na Yale ya kushangaa
Mbegu bora ikipanda lazima iote. Na Mbegu ili iote, inakufa kwanza kisha inachipua na kukua na Kuzaa matunda.
View attachment 2808786
Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Paul Makonda ni Mbegu ambayo imeota, sasa CCM wanajiandaa kula Matunda yake 2025.
Kwa ziara yake Bukoba, ni dhahiri Makonda ni Baba wa Siasa za Bongo.
Mungu azidi kumbariki.
Ukisiki
Alitua na ndege kisha kuelekea Makao Makuu wa CCM Mkoa wa Kagera na Sasa anajiandaa kuhutubia Mkutano Mkubwa uwanja wa Mayunga Bukoba Mjini kuanzia saa 10 jioni ya leo