Kagera: Ratiba ya kuaga miili ya waliofariki ajali ya ndege ya Precision Air, Waziri Mkuu anazungumza, leo 07-11-2022

Kagera: Ratiba ya kuaga miili ya waliofariki ajali ya ndege ya Precision Air, Waziri Mkuu anazungumza, leo 07-11-2022

Hapo sasa ndipo utakapowaona watawala wetu na viongozi wengine wa chama na serikali, wakiwa wamevaa suti/nguo zao nyeusi, huku wapita mbele ya majeneza ya marehemu, na nyuso zao za huzuni!
Uwezo wetu ni mkubwa sana kuandaa matukio yenye kiki, sifa na utukufu kwa watawala.
Hapo jina la rais (hata kama hayupo) litatajwa mara nyingi sana na kumwagiwa sifa kemkem!
Hayo tunayaweza sana! Ila yale ya dharura hatuwezi kabisa!
 
Huenda anamaanisha wameishangaza Dunia kwa jinsi vyombo vya usalama vilivyoshindwa kufanya majukumu yao.
Hakika tumeishangaza dunia. Fuatilia hizi picha:
1. Ndege ilianguka mita 100 kutoka uwanjani
Screenshot_20221109-040947~2.png

2. Waliivuta kwa kamba za mikono
Screenshot_20221109-041007.png
Screenshot_20221109-041533~2.png

3. Masaa kadhaa baadae akafika PM
Screenshot_20221109-041826.png

4. Maandalizi ya kuaga miili

Screenshot_20221109-042753.png

5. Watawala wazamiaji, siku 3 baadae
Screenshot_20221108-175423.png
 

Attachments

  • Screenshot_20221109-041826.png
    Screenshot_20221109-041826.png
    875.2 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221109-040947~2.png
    Screenshot_20221109-040947~2.png
    494.1 KB · Views: 2
  • Screenshot_20221109-040947~2.png
    Screenshot_20221109-040947~2.png
    494.1 KB · Views: 2
Back
Top Bottom