Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 4,017
- 2,580
KawatangulizaClement?
Punguza WivuAlichokifanya Zawadi Mauya muda huu hakina utofauti na kile alichokifanya Sakho kwenye mechi ya Mtibwa
Waliolalamika kwanini Sakho hakupewa Red Card mnaizungumziaje na hii?
Huku wamepiga marufukuKuna boya hapa wa utopolo Lina redio limewahi kushangilia goli wakati sisi kwny tv bado limenikera sana
Hamchelewi kusema Yanga Kashinda kisa Mvua [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Haya mazingira ya huu uwanja kiukweli sio rafiki kabisa
Mtie ngumi ya puaKuna boya hapa wa utopolo Lina redio limewahi kushangilia goli wakati sisi kwny tv bado limenikera sana
Mi naongelea kinachofanyika uwanjani nataka nisikie maoni ya wadau kuhusu tukio hilo
Uwanja wa Ccm Huo, Pesa Wanayopata kwenye hivi viwanja wanapeleka wapi? Kwa nini wasibinafisishe?Huu uwanja baada ya mechi tukavue samaki
[emoji2][emoji2] Tuongee soka kwanza tusifike hukoUwanja wa Ccm Huo, Pesa Wanayopata kwenye hivi viwanja wanapeleka wapi? Kwa nini wasibinafisishe?
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ila sacko ndo bora zaidi kuliko wote.Huyu Clement ni hatari kuliko Mayele
Kwamba KAGERA anaweza kushinda au sio???Bodi ya ligi inapaswa kuangalia Hali ya uwanja ili kuruhusu mpira uchezwe,.. Hali kama hii ya uwanja unaweza pata mshindi asiyestahili..
Kitambaa hakitoshi.Naona sare hapa.. maana ni butua butua pitch hairuhusu boli litembee