Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Umaliziaji ndio unawaangusha na sababu ni Hali ya uwanjaJapo uwanja mbovu ila Kagera wamepiga pasi zenye accurancy ys juu kuzidi Yanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaliziaji ndio unawaangusha na sababu ni Hali ya uwanjaJapo uwanja mbovu ila Kagera wamepiga pasi zenye accurancy ys juu kuzidi Yanga
Nakuona mwa Lunyasi mwenzangu[emoji1][emoji1]Tupo tunainjoyyy vyura wanaruka ruka vyuraa
Yanga wame posses kwa 42℅ dhidi ya 58℅ kwa KageraHakuna siku ambayo ulishawahi kuikubali Yanga
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Halafu utasikia vimefungiwa viwanja vingine huu walaaaa!Huu upande wa chini magharibi mwa uwanja kuna maji mengi sana pasi nyingi nimeziona zikikwama eneo hilo
Hivi ball possession huwa ina alama ngapi?Yanga wame posses kwa 42℅ dhidi ya 58℅ kwa Kagera
Utasemaje natoa takwimu kwasbabu ya kutoipenda Yanga?
Diara Kipa, Nani kasababisha Hilo TutaKipa katoa
Diarra kachomoa penati
Diara Mwenyewe