Kagera Sugar 0-1 Young Africa SC | Ligi Kuu Ya NBC | CCM Kirumba Jijini Mwanza

Kagera Sugar 0-1 Young Africa SC | Ligi Kuu Ya NBC | CCM Kirumba Jijini Mwanza

Japo wamefungwa ila kagera wamepiga boli sana. Diara ndio man of the match kawaokoa sana Hawa utopolo leo
 
Sasa kwanzia leo ww ni mwana LUNYASI kweli nimeamini
Nilishangaa ile siku unanishambulia bule kisa mtazamo wangu umekuwa tofauti na Wana Lunyasi wengine...
Hakuna timu nisiyoipenda kama hawa Wala mihogo..
Leo wamepata bahati tu ila Kagera wamewapelekea moto paka hawaaamini kama wameshinda
 
Ligi haina mvuto tena😕😕😕
Screenshot_2022-11-13-17-57-00-1.png
 
Back
Top Bottom