Kagera Sugar: Hatuitambui ratiba ya pili wadai TFF inaipendelea Simba SC

craq

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
859
Reaction score
1,866
Klabu ya Kagera Sugar ya mkoani kagera wanalalamika kupangiwa mechi yao dhidi ya Simba sc confederation cup kuchezwa Dsm wakati droo ya awali ilionyesha mechi hio ilipaswa kuchezwa kaitaba mkoani Kagera.

Kagera sugar washitukia janja ya TFF.

 
Hivi ratiba inapangwa na azam au shirikisho?
 
Kweli kabisa, lazima tupewe heshima yetu. Unampelekaje bingwa wa nchin, bingwa mtetezi wa kombe lenyewe la azam na kinara makundi african champions club? migombani? kuweni na adabu kwa mabingwa basi. ndio maana uingeraza bingwa wa epl anapigiwa makofi na timu pinzani katika mechi ya ufunguzi. Sio kila timu inaweza kuwa bingwa na pia katika familia baba ni mmoja tu. Wengine ni mke na watoto.
 
Tulisemaga sisi tifua tifua na mo ni mtu na mkewe wale
 
Mi nafikiri wanaoandaa ratiba Ndio wenye makosa . kama kweli walipanga Simba akacheze ugenini wakati mechi iliyopita walikua ugenini. Simba ametoka kucheza ugenini mechi ya round iliyopita iweje akacheze tena ugenini.
Kwa ratiba ya TFF Ndio sahihi wangekua wanionea Simba kucheza mechi round mbili zote ugenini.
NB. Naomba mwenye kumbukumbu mechi ya kwanza ya FA Simba alichezea wapi?
 
Wacheni visingizio, hiyo mechi Simba anaweza kuwalipia hao Kagera tiketi za ndege kwenda na kurudi Emirates Stadium pale london, wale, wanywe, walale, posho ya outing wapewe, wakipenda waende na refa wao, na bado watapigwa tu.
 
Hakuna hoja hapo mbona rhino, simba, biashara, dodoma na azam walitakiwa kucheza away lakini wote wamepangiwa nyumbani. Katika timu 8 ni timu 3 tu zimepangiwa kama hiyo table ya azam, azam ni mdhamini tu mwenye mashindano ni tff.
Uto nawaona nyuma ya kagera, ni lazima tuwapige kagera dar Ili tukutane na nyinyi Ili muendelee kupanda yutong
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…