Kagera Sugar mnatuzoea sana,tunaenda kuwachakaza

Kagera Sugar mnatuzoea sana,tunaenda kuwachakaza

Ukicheka na nyani utavuna mabua! Hawa mabwana mdogo wa Kagera Sugar wamekuwa na mazea mabaya sana na Simba SC.

Hatujasahau mwaka jana wametuaibisha mbele ya Rais sambamba na kutibua record mujarabu ya kumaliza ligi bila kufungwa.

Hatujasahau juzi kati wakatupiga mbili tukiwa kwenye kampeni ya kula viporo huko kwao Kaitaba.

Sasa kesho watataka kuleta tena mazeoea na jeshi hatari la Aussems.

Nimeongea na wachezaji wawili washkaji zangu,tumekubaliana kukataa mazoea ya kijinga. TUTAWACHAKAZA hapo kesho.

Kuna overdose tumetoea Jana kwa Coastal Union,hizo ni salamu japo tumetoea dozi kali ya Ebola kwa mtu mwenye UTI tu.

Mjiandae kisaikolojia,msije kusema hamkuambiwa. Malalamiko FC kaeni mkao wa kula kuonyesha jinsi tunavyobebwa na marefa.

Kwa kheri
Ngapi ngapi[emoji3516]
 
W
Kila nchi yenye timu CAF tournaments basi ligi yake ilikua na viporo. Sababu ni kua CAF walibadili ratiba mashindano yaishe miezi hii sawa na mashindano ya mabara mengine kama Ulaya badala ya kuisha mwishoni mwa mwaka kama ilivyokua miaka iliyopita.

Matokeo yake ni michezo ya CAF kufanyika karibu karibu hali iliyopelekea timu hizo kukosa muda wa kucheza ligi ya nyumbani. Fanya research kwenye ligi za nchi kama Misri, SA, Tunisia, etc utaona hili.

Na pengine kwa sasa sababu timu nyingi hazipo tena CAF ndio viporo vimepungua, lakini kipindi kile cha makundi ungeangalia league tables zao ungegundua hili
Wacha uongo wewe, usifikiri humu sote Misukule mkuu, kawadanganye Misukule wenzio huko
 
Back
Top Bottom