Kila nchi yenye timu CAF tournaments basi ligi yake ilikua na viporo. Sababu ni kua CAF walibadili ratiba mashindano yaishe miezi hii sawa na mashindano ya mabara mengine kama Ulaya badala ya kuisha mwishoni mwa mwaka kama ilivyokua miaka iliyopita.
Matokeo yake ni michezo ya CAF kufanyika karibu karibu hali iliyopelekea timu hizo kukosa muda wa kucheza ligi ya nyumbani. Fanya research kwenye ligi za nchi kama Misri, SA, Tunisia, etc utaona hili.
Na pengine kwa sasa sababu timu nyingi hazipo tena CAF ndio viporo vimepungua, lakini kipindi kile cha makundi ungeangalia league tables zao ungegundua hili