OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Ukicheka na nyani utavuna mabua! Hawa mabwana mdogo wa Kagera Sugar wamekuwa na mazea mabaya sana na Simba SC.
Hatujasahau mwaka jana wametuaibisha mbele ya Rais sambamba na kutibua record mujarabu ya kumaliza ligi bila kufungwa.
Hatujasahau juzi kati wakatupiga mbili tukiwa kwenye kampeni ya kula viporo huko kwao Kaitaba.
Sasa kesho watataka kuleta tena mazeoea na jeshi hatari la Aussems.
Nimeongea na wachezaji wawili washkaji zangu,tumekubaliana kukataa mazoea ya kijinga. TUTAWACHAKAZA hapo kesho.
Kuna overdose tumetoea Jana kwa Coastal Union,hizo ni salamu japo tumetoea dozi kali ya Ebola kwa mtu mwenye UTI tu.
Mjiandae kisaikolojia,msije kusema hamkuambiwa. Malalamiko FC kaeni mkao wa kula kuonyesha jinsi tunavyobebwa na marefa.
Kwa kheri
Hatujasahau mwaka jana wametuaibisha mbele ya Rais sambamba na kutibua record mujarabu ya kumaliza ligi bila kufungwa.
Hatujasahau juzi kati wakatupiga mbili tukiwa kwenye kampeni ya kula viporo huko kwao Kaitaba.
Sasa kesho watataka kuleta tena mazeoea na jeshi hatari la Aussems.
Nimeongea na wachezaji wawili washkaji zangu,tumekubaliana kukataa mazoea ya kijinga. TUTAWACHAKAZA hapo kesho.
Kuna overdose tumetoea Jana kwa Coastal Union,hizo ni salamu japo tumetoea dozi kali ya Ebola kwa mtu mwenye UTI tu.
Mjiandae kisaikolojia,msije kusema hamkuambiwa. Malalamiko FC kaeni mkao wa kula kuonyesha jinsi tunavyobebwa na marefa.
Kwa kheri