Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
Kimoja kimerudi subiri cha pili ukakande na maji kesho
Nilikuwa nakuona wa maana kumbe ni walewale lol!Wakati anaposti alijua wanaongoza kumbe kagoli kamechomolewa akiwa hewani. Pole zake.
Sio shida ndio mpira, nasubiri dk 90
Nilikuwa nakuona wa maana kumbe ni walewale lol!
Sio shida ndio mpira, nasubiri dk 90
Nilikuwa nakuona wa maana kumbe ni walewale lol!
Faida ya kutoingia vyumbani imeanza kuonekana.
mkuu hapo shinyanga ni noma..Yanga walianza mpira wakapiga nje ndio pona yao...Ukianza mpira unautoa nje
Umeibuka baada ya penati linarudi hilo
Kagera timu sawazisha hilo gori hao simba warudi kuuza mitumba msimbazi
Sihitaji unione wa maana, nione vyovyoye unavyoweza, I don't care!
Mkitoka hapo kaleni ubwabwa jangwani, maana nguvu zinawaisha na mate yanawakauka lol
Dakika ya ngapi mkuu ?
Kuna ukweli katika hili Mkuu? Faida ya Simba kutoingia vyumbani inaendelea kuwabeba.
Mkitoka hapo kaleni ubwabwa jangwani, maana nguvu zinawaisha na mate yanawakauka lol
Hiyo penalt ndo inakutia kiburi...