Kagera Sugar vs Simba

Kagera Sugar vs Simba

Mikia inakosa magoli ya wazi ngoja kibao kitakapo geuka.
 
Mbona mechi imeanza mapema sana, kwa joto la Shinyanga sijui itakuwaje kwa baadhi ya wachezaji!

Wenyeji wanasema mara nyingi mvua za jioni kwa huko Shinyanga huanza kwenye saa kumi na moja hivi, kwa hiyo wamekadiria kama mvua itaanza muda huo basi mechi itakuwa ishaisha.
 
Tupo mkuu naona watu wamechoka na pombe za sikukuu, Azam wanaonyesha ila bundle linasua sua sana lol

Mimi bundle iko vizuri bali hivi sasa sioni kwani kuna error message kuwa " server not found"
 
Una fikra za kikoloni mnyonyaji mkubwa we!

Afadhali umemwambia huyo kibaraka wa wakoloni, atuachie Tanzania yetu. Muda wa kushabikia Chelsea, Arsenal, Manchester na wengineo umekwisha! Sasa hivi ni Yanga, Azam, Simba na wenzao tu.

Half Time: Kagera Sugar 0-0 Simba.
 
Simba hawajaingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo wakiwa wamekubali kulipa faini ya TFF. Haijafahamika sababu iliyowafanya Simba wasiingie vyumbani kama ni ushirikina au sababu nyingine. Kazi kwenu TFF.
 
lakini hata ningesema nishabikie, hivi simba nayo ni timu? mtu kabisa una akili zako unashabikia simba?

Jaribu kuficha upumbavu wako kwa kuto comment Chochote kisha chapa mwendo kwa wakoloni wenu huko.
 
Back
Top Bottom