princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
Wamezima mji mzima hadi aibu aiseeNasikia umeme umezima...
Mbona walisema wanatumia generator?Nasikia umeme umezima...
Watu wakawa gizani gafla sijui kama ingekua Dar simu zingeponaNasikia umeme umezima...
Sasa hakuna mechi za maana kama hiziwewe utakuwa ni gaidi mno kuna mechi zakuangalia ndugu sio hiyo sasa!
Wangecheza tu saa 10AIBU AIBU AIBU!
Taifa gumu sana hiliHuna demu, ukajikip bize?!π
Wewe ndo wife material uko wapi nije kukuposa..?πSasa hakuna mechi za maana kama hizi
Mpira ulikua π₯π₯π₯
Binafsi napenda hizi mechi... Kagera wako vyema skuizi
Mechi zikiingia watu wa kariakoo tu zinakua z. Upande mmoja
Mambo ya fedheha ππNi aibu sana mtaam mzima wamewakatia umeme afu ndio kwa waziri mkuu hapo kitaani kwake πππ
Niko huku namtumbo ππ nmetuliaWewe ndo wife material uko wapi nije kukuposa..?π