Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nataka tuwe wanandoa hao wachambuzi wenyewe waache tu hizo mbuzi...🤣Niko huku namtumbo 😆😆 nmetulia
Njoo tuwe wachambuzi
Basi insha allah anza process mi nipooMimi nataka tuwe wanandoa hao wachambuzi wenyewe waache tu hizo mbuzi...🤣
Au ule ukunguHizi ni garama zinakufa bure mechi kuahirishwa kwa sababu ya umeme uwanja wenye hadhi ya taa unakoswa jenereta za kuendeshea
bora ingekua mvua
kwasababu ninamaanisha sema hapahapa mahali yako ni kiasi gani ili mi nikija nachukua mke, tunakuja kukichapa unanizalia mapacha tunacheza chakacha, rumba na salsa!..😉Basi insha allah anza process mi nipoo
Wangeibiwa hadi watu wenyewe na mimba za dakika 2 😂Watu wakawa gizani gafla sijui kama ingekua Dar simu zingepona
Wewe ni umeanza kupenda mpira then timu mkuu..Sasa hakuna mechi za maana kama hizi
Mpira ulikua 🔥🔥🔥
Binafsi napenda hizi mechi... Kagera wako vyema skuizi
Mechi zikiingia watu wa kariakoo tu zinakua z. Upande mmoja
Aisee heri umesema mana hawa wamenishangaza et mechi hazina umuhimu aiseeWewe ni umeanza kupenda mpira then timu mkuu..
Tofauti na watu wengi wameaza kuzipenda Simba/Yanga ndipo wakapenda mpira na ndio maana kwao mechi zisizohusu timu zao hawana muda wa kuziangalia.
Huyu akiwa mke wako kila uongo unaopanga kumdanganya anakudaka.wewe utakuwa ni gaidi mno kuna mechi zakuangalia ndugu sio hiyo sasa!
kwasababu ninamaanisha sema hapahapa mahali yako ni kiasi gani ili mi nikija nachukua mke, tunakuja kukichapa unanizalia mapacha tunacheza chakacha,
Laki 5 staki wizi ila mapacha hapanarumba na salsa!..😉
Ashukuriwe mama mechi imeisha salamaNamshukuru sana Mhesmimiwa Rais kwa kutuwezesha kuangalia mpira kati ya Kagera Sugar na Tabora United.
Achana na hao nawajua mpaka Enugu rangersHuyu akiwa mke wako kila uongo unaopanga kumdanganya anakudaka.
Nina uhakika anawajua hadi wachezaji wa West Ham Wagonga nyundo wa London.
Wenzao kuepuka haya wanachezaga saa 8 au 10Ohh, bora wangecheza saa nane.
Hapana Hapana mimi na msimbazi ni maji na mafutaWe Mwanzisha Uzi Mbona Kama Yule Dada Aliyempa Ahadi Mpanzu Pale Kmc Arena?