Haahaahaaa.....Dkk 5????
Ulithibitisha wapi? Au nawe ni mmoja wao?Enock bwigane ni Yanga na huenda ni gasho
Husikii anavojichekesha??Ulithibitisha wapi? Au nawe ni mmoja wao?
Haahaa... Kwanini Mkuu!??Enock bwigane ni Yanga na huenda ni gasho
Ahsante kwa Udates Mkuu..FULL TIME | Kagera 2 - 1 Simba
27' Mbaraka Yusuph (Kagera)
45' Edward Christopher (Kagera)
65' Muzamiru Yassin (Simba)
****** END OF UPDATE************