Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
- Thread starter
- #81
Goooooooooal
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngapingapi kwahiyo?Edward Christopher
Hadi sasa Simba 0 Kagera 2. I'm taking your words.....Simba taifa kubwa, na leo zikipungua sana ni tatu..take my words...
Waliambiwa wachague moja kitakachokuwa cha muhimu, kati ya kugomboa Nyasi bandarini na kupigania ubwingwa.Wapuuzi hawa unaona ubingwa huo hapo unaenda kufungwa na Kagera? Timua benchi lote la ufundi majuha hawa
2-0.. Simba mzee anaenda kulalaNgapingapi kwahiyo?
Wamekughadhibisha sana pole mtaniWapuuzi hawa unaona ubingwa huo hapo unaenda kufungwa na Kagera? Timua benchi lote la ufundi majuha hawa
Kagera 2 - 0 SimbaNgapingapi kwahiyo?
Haahahaahaa..... Im taking his words too...Hadi sasa Simba 0 Kagera 2. I'm taking your words.
Si ndo huwa wanang'ara?Banda alistahili Red Card
Oyooooooo bora tunywe maji jamani,hali ulikuwa tete mjini hapa.2-0.. Simba mzee anaenda kulala
Miaka yote tunasubiri ubingwa wao wanaleta upuuzipuuzi tu hawaWamekughadhibisha sana pole mtani
Ndo hivyo mkuu. Nakunywa juice hapa ya ukwaju taratiiibu.Kuwa serious Mkuu...