Danny greeny
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 3,856
- 1,648
- Thread starter
- #201
Yanga hakuna magasho. Magasho haya yamebashitiwa kwa Miwa LeoEnock bwigane ni Yanga na huenda ni gasho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga hakuna magasho. Magasho haya yamebashitiwa kwa Miwa LeoEnock bwigane ni Yanga na huenda ni gasho
Ulijitahidi kutabiri mkuu ila ungegeuza majina ya timu.Kwa wale mnaobet matokeo ni Kagera 1 - 2 Simba kwa mujibu wa Dalali wa Mechi golikipa wa zamani maarufu wa Simba ambae leo nahisi anadakia timu Pinzani
Pamoja mkuuAhsante kwa Udates Mkuu..
Ahsante Kagera.
Sijatabiri hizo zilikuwa ni tetesi kutokea kaitabaUlijitahidi kutabiri mkuu ila ungegeuza majina ya timu.
Hahahaha... ninacheka kwa dharaaaauumeshaisha. kagera sugar mungu anawaona
Simba haina striker Hata mmoja magarasa tu yapo paleMpira wa bongo bana utadhani ndondo cup
Nitakuja kucomment baada ya mechi
Hapa wanakosa vyote hawa jamaaaBado Toto, bora mngekomboa nyasi zenu bandarini