Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Mtoa mada jaribu kuwa mwanamichezo, Unakumbuka simba waliwahi kupokwa point zaidi ya mara moja na hawa hawa kagera sugar wakafaidika? Hili jambo sio la ajabu na limeshatokea kwenye ligi hii hii
 
mbona kama utatusaidia sana kupambana na suala ya rushwa michezoni na pia upangaji wa matokeo.

we tupe chanzo cha habari yako tu tuanze hapo,Kagera angekubali kufungwa abdi banda angempiga ngumi Kavila?

Yanga kakosa hela za kumpa chirwa si bora hata hizo million kumi angepewa yeye.

Na vipi yule kipa wa mbao fc alikula millioni ngapi?
 
Mtoa mada jaribu kuwa mwanamichezo, Unakumbuka simba waliwahi kupokwa point zaidi ya mara moja na hawa hawa kagera sugar wakafaidika? Hili jambo sio la ajabu na limeshatokea kwenye ligi hii hii
Sijakataa kiongozi la msingi haki itendeke tena mbna siku hizi teknolojia imekua sana Kuna Azam tv wanacd zote z michezo husika kama vipi wafanye marejesho ya hiyo michezo waangalie kama kweli alikua na kadi 3.
 

utafanya jambo la maana sana kama ukipost hizo kanuni humu ili na sisi tuzijue au ni wapi tunaweza kuzipata hizo kanuni.
Yaani kumbe hata kanuni ya hizo kadi tatu za njano huijui hadi unataka uwekewe? Kumbe mtu unaweza ukawa unapoteza muda kujadiliana na watu 'wasio wa mpira'
 
sawa sawa bwana [HASHTAG]#Faru[/HASHTAG] best solution kuliko ujadiliane na mtu ambaye hajui mpira haina haja we soma pita kimya kimya ukajadiliane na Jamhuri Kiwelu,Mzee msolla,Selemani matola...nk

Kagera Sugar wanasema mchezaji anakadi mbili hiyo ya 3 ni ipi?

Simple and clear naimani utakua kiongozi wa Simba hebu tupe hiyo kadi ya tatu aliipata mchezo upi huo?
 
sawa watoto wadogo wanajua sijakataa sasa sijui watoto wadogo unaowazungumzia ni Neonate au infant utafafanua kidogo.

Kagera wanasema mchezaji wao anakadi mbili hiyo ya 3 katoa wapi na sijawahi kusikia Faki amecheza hata Ndondo cup
Kama dai ni hilo sawa... Fa wataonyesha hizo kadi... Kuwa na usitoke povu.
 
Mbona hata watt wadogo wanajua kwamba mchezaji akiwa na kadi tatu za njano anatakiwa akose mchezo mmoja... Ina maana wewe hujui?
Kwahyo hata mchezaji kapata kadi za njano katika michezo ya ligi tofauti?
 
Kagera waloshawai kuchukua point kwa simba mwaka 2006 kisa mgosi Leo kachukuliwa yeye yoweee mingiii........atulie tuu maana huu mchezo hauitaji jazbaaa yaheee...
 
Weeeeeeee hawana jeuri hyo wakachukue cd azam? jiulize swali dogo tu kulikuwa na haja gani kukaa vikao mara mbili mbili? hawajui km azam kuna cd? narudia tena hawatothubutu kupitia cd za ule mchezo washapata point imetoka hyo!
 
Hivi hivi, Real Madrid iliondolewa kombe la mfalme, kwa kumchezesha mchezaji asiyestahili!
Mihemko yoooote hii, ni kutoka kwa MAKADA wa Dar Young African!!
Maneno mengi ya nn wajameni? km kweli nyie vidume twendeni azam kuna cd ple tupitie tena ule mchezo tuone km kweli alipata kadi hili suala halihitaji kujifungia chumbani wala kuchukua muda mreeeefu km ilivyochukua vikao daily dawa ni cd tu za ule mchezo ila najua hamuwezi thubutu kuzungumzia suala la cd!
 
Hivi hadi hii pale TFF hakuna data base hadi tunasumbuana namna hii? Hizo pre match meeting huwa mnajadili nini? Mfano mngeongelea scenario hii kwenye prematch, leo hii tungesumbuana namna hii kweli?
 
Haya majamaa majinga kabisa...hakafu kuna kiongozi waxyanga naye jana anabubujikwa na uharo wa maneno eti kagera wameonewa...kwendaaaaaaa
 
Mi najiuliza tu, hivi Simba wangekuwa wameshinda ile mechi wangeenda kuomba slop?

Simba ni timu ya hovyo kabisa.
Simba timu ya hovyo na ndio maana inapata pointi hovyo ili kuchukua ubingwa hovyo..by the way Manji kishatoka hospitalini?
 
Hivi uamuzi wa TFF umefanywa bila kushirikisha pande zote? Kama pande zote zilishirikishwa, je, ushahidi was kadi tatu za njano ulikuwepo?
Sheria zingine mavi sana. Hivi kama ni mchezaji halali kadi za nini zimzuie.


Hahahahhhhh Kumbe Simba ilifungwa na kadi tatu za NJANO siyo Kagera Sukari

Hiiihiiihhh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…