Kagera sugar wainuka, watinga TFF kutaka warejeshewe pointi zao walizopewa Simba

Barua ya Kagera Sugar umeisoma na kuielewa? Wao wamesema wanajua kadi mbili na wametaja mechi husika. Kama wangekuwa wametaarifiwa zile kadi tatu zilikuwa kwenye mechi ipi na ipi nina uhakika barua yao ingebeba aina ya utetezi tofauti
Waache ujinga wao mbona kadi zote tatu zimetajwa na mechi alizopewa huyo mchezaji. Nafikiri post ya 71 ndio inaukweli.
 
We ndio chizi kabisa. Kama spika wa bunge ametaka CDM wapeleke wagombea wawili kwa uwiano wa 1 ya 3 kwa kigezo cha jinsia, inashindikana nini TFF kufanya madudu madogo tu kama hayo?

Simba ni timu ya hovyo kabisa
 
WASENGEnyaji kama wewe ndio mnaotufanya tupate ban kwa stori za KIKUMAzan kama hizi
 
Ushindi wa mezani ndiyo chanzo cha kuporomoka kwa soka letu
 
Unajua kupitia post hii JF wanaweza kuwapatia info zako PCCB ili ukafanikishe zoezi la ushahidi wa tuhuma ulizotaja hapo juu?
 
Tabia ya kujifanya kipofu ili ubebwe kwa misaada ya watu huku ukiona gari imekulenga unakimbia siyo nzuri.
Nyie mashabiki wa yanga mnaumwa na mmegoma kunywa dawa.
Sheria hiyo ilipowabeba mwaka Jana kwa azam mashabiki wa simba walikuwa kimya sana.
Sheria mfano wa hiyo umeibeba timu yetu ya vijana kwenda Gabon mnashangilia.
Simba walimuondoa To mazembe kwa sheria sampuli ya hizo.
Ina maana simba hastahili kuwa bingwa?. Acheni kuleta akili za kikolomije.
 
Ngada fc a.k.a ndala povuu kishenzi hahaha acheni mihemko sheria lazima zifuatwe
 
Ulaya yatoke wapi? Hapa ni soka la ubabaishaji tu na mambo ya point za mezani huwezi yakuta ulaya! Na hili jambo limekuwa likijirudia rudia sana kwenye soka la bongo tatizo ni nini hasa?!!! Hata azamu nao walishindwa kuwa na records au kanuni ndio haziko wazi? Labda za FA na ligi kuu?
 
Reactions: SDG
Mbona ulaya madrid walipokwa point, acheni kuvamia kambi ngumu mpira hamuufuatilii mnachojua ni bongo fleva records zilizoingia na kuchuja.
 
Uhakika huo umeutoa wapi mbona Una mbwelambwela Kama mkojo uliogoma kutoka umeambiwa kagera wana shida ya pesa..Acha zako za kimbwisi
 
...labda hao Gongo Wazi,
.Simba hakuna fala wa kutoa 15m kindezi afu akubali pia kufungwa,badala ya kuwapa hiyo hela wachezaji wakaze;
...kawachekeche maboya wenzio!
 
Bingwa apatikane mezani ndio raha yao mtu kapigwa mabao mnaleta story basi hata mukinawa maji hamuli
 
Kikao cha dharula ni tarehe 18/04/2017. Point zinarudi Kagera
 
Mi najiuliza tu, hivi Simba wangekuwa wameshinda ile mechi wangeenda kuomba slop?

Simba ni timu ya hovyo kabisa.
Timu ya hovyo wakati inawajambia mdomoni magoli kila kukicha? Hata wakipokonywa hizo point za Kagera Sugar nani yupo kileleni mwa msimamo wa ligi VPL? ukishapata jibu hilo ndio uconclude ni timu ipi ya hovyo!!
 
Shauli hiyo sheria iliyowapa Simba haki ifutwe usiishie kulalamika ka mpuuzi flani tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…