Kagera Sugar wapokonywa pointi 3 na kupewa Simba

mkulu senkondo

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
1,862
Reaction score
3,574
Taarifa hizi nimezikia kupitia kipindi cha kipenga cha EA Radio 20:57.

=====
Kamati ya saa 72 ya TFF imeipatia Klabu ya Simba SC pointi tatu na magoli matatu baada ya mchezaji Fakhi wa Kagera Sugar kucheza dhidi yao huku akiwa na kadi 3 za njano kinyume na kanuni zinazoendesha soka nchini.

Sasa Simba SC wanafikisha pointi 61 na kujikita kileleni.
 
Simba hoyeeeeee!
Sasa tujikoseshe ubingwa wenyewe kwa kuboronga mechi zilizosalia na tujutie miaka kadhaa tena.
 
Hahahaha [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ushindi wa mezani
Simba oyeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…