mkulu senkondo
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,862
- 3,574
Ni kweli Azam Sports na Clouds Sports wamethibitisha kwamba Simba Sports Club imepewa point tatu na magoli matatu.Uongo
yaan kama serengeti boizi kwenda gabon.Ama kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Kama hujui kanuni usiwe unabweka mbweha mpira unaongozwa kwa kanuni sio mihemkoAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
manina zao TFFAma kweli TFF imehamia simba mhh tutaona mbele huko maana mmebebwa weeeee mpaka mnapewa za mezani
Tukipiga toto 2-0 mchezo kwishaHii ni habari njema sana.