Kagere afukuzwe Tanzania

Kagere afukuzwe Tanzania

Aisee mi sio kocha ila kocha wa singida kuna vitu alikosea, kuna yule jamaa aliyetaka kumtia vitasa refa sijui waziri wakati anaenda kupiga penalty Kuna jamaa nilimwambia huyu kashapanic lazima atakosa ndo ikawa ivo ivo..... Alivyokuja kagere ndo kwanza nikaamka nikacheka nikasema huyu ni familia hawezi wasaliti wazazi wake
 
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
alifanyaje ?
 
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Sidhani kama ni sahihi kutoa adhabu Kali kiasi hicho. Ni kweli alichofanya ukiunganisha na historia yàke unaweza kumhukumu Kwa Hilo. Lakini;
1.Singida wanatakiwa kujiridhisha na haya unayosema kabla ya kutoa adhabu.
2.Wachezaji wakati mwingine huchukua maamuzi ya kufanya kitu kipya kikifeli kinawagharimu.
 
Kagere na penati wapi na wapi, miguu yake ile imekaa kama ya bata mzinga...
 
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Kuna mtu kapigwa za uso hapa
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Hiyo mifano mitatu ndiyo ithibitishe Kagere hajui kupiga penalt? Tupe records zake za penalt misimu yote akiwa Tz tuone kakosa ngapi na kapata ngapi ili tujithibitishie
 
Uwe na akili hakuna aliyesema kosa tunasema kala rushwa
Hivi hapo rushwa aliikula sangapi jamani? Maana Penalt nani alijua atapiga kagere? Japo sijui alifanya nn lakn nami nilishangaa... [emoji23]
 
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Mtoto wa Mbowe una akili za kimakalio sana
 
kennedy juma afanywe nini?maana nae aliwazawadia ndugu zake goli.....

Tatizo uto hamna akilo kenge nyie
 
Aisee mi sio kocha ila kocha wa singida kuna vitu alikosea, kuna yule jamaa aliyetaka kumtia vitasa refa sijui waziri wakati anaenda kupiga penalty Kuna jamaa nilimwambia huyu kashapanic lazima atakosa ndo ikawa ivo ivo..... Alivyokuja kagere ndo kwanza nikaamka nikacheka nikasema huyu ni familia hawezi wasaliti wazazi wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba iko final.
Tesekeni taratibuu eeeh.
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.


View: https://m.youtube.com/watch?v=QnR-UgzPQKM&pp=ygUiWWFuZ2EgNC0zIHNpbWJhIG1hcGluZHV6aSBjdXAgMjAyMQ%3D%3D
 
Sindida ni ka timu kadogo sana, ni ka timu kanakokamia.
 
Back
Top Bottom