MAWEED
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 3,550
- 12,239
Uwe na akili hakuna aliyesema kosa tunasema kala rushwaNi accident yankisakolojia imemkumba yaweza kumtokea mtu yoyote.haana kosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe na akili hakuna aliyesema kosa tunasema kala rushwaNi accident yankisakolojia imemkumba yaweza kumtokea mtu yoyote.haana kosa
alifanyaje ?Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Hilo neno khaa i hope utakuwa mwanamke sio mwanaume....nakwazwa na mwanaume anaetumia neno khaaa....Siyo kibwege vile ! Khaaa !!
Sidhani kama ni sahihi kutoa adhabu Kali kiasi hicho. Ni kweli alichofanya ukiunganisha na historia yàke unaweza kumhukumu Kwa Hilo. Lakini;Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Kuna mtu kapigwa za uso hapaNi kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Hiyo mifano mitatu ndiyo ithibitishe Kagere hajui kupiga penalt? Tupe records zake za penalt misimu yote akiwa Tz tuone kakosa ngapi na kapata ngapi ili tujithibitishieMnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti
Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.
Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao
Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1
2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere
Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.
Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Hivi hapo rushwa aliikula sangapi jamani? Maana Penalt nani alijua atapiga kagere? Japo sijui alifanya nn lakn nami nilishangaa... [emoji23]Uwe na akili hakuna aliyesema kosa tunasema kala rushwa
Mtoto wa Mbowe una akili za kimakalio sanaNi kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Kennedy je?Kagere ni Mwanafamilia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] simba iko final.Aisee mi sio kocha ila kocha wa singida kuna vitu alikosea, kuna yule jamaa aliyetaka kumtia vitasa refa sijui waziri wakati anaenda kupiga penalty Kuna jamaa nilimwambia huyu kashapanic lazima atakosa ndo ikawa ivo ivo..... Alivyokuja kagere ndo kwanza nikaamka nikacheka nikasema huyu ni familia hawezi wasaliti wazazi wake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kagere na penati wapi na wapi, miguu yake ile imekaa kama ya bata mzinga...
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti
Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.
Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao
Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1
2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere
Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.
Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Arudishwe ktk timu yake iliyomkuza....Kennedy je?
makolo banaUtopolo wanalalamika hovyo leo.