Zero
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 299
- 17
Nadhani hili la CRDB kuhushishwa na ufisadi inabidi kulimulika kwa umakini zaidi. Kuna thread niliwahi kuisoma kule kwenye celebrities forum iliyokuwa inamhusu Kimei wa CRDB. Kuna claims kwamba alikuwa anapata 10% kwenye hizi deals za EPA na deals nyingine chafu chafu kama Richmond etc. I think its time haya masuala kumulikwa kisiasa zaidi na kuona kama kuna links chafu chafu zozote kati ya CRDB na ufisadi. Kufungua accounts sita kwenye different branches na zote zikawa na sequence ya number za kufuatana its not a coincidence. I smell a rat!