Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alisema kuwa faili hilo pamoja na mengine ya kampuni zilizotajwa kwenye kashfa ya EPA, yalichukuliwa na kamati iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete wakati wa harakati za kushughulikia tuhuma za wizi wa EPA.
CCM ni Safi kwa hili..
Leo nimefikiria sana kuhusus chama changu,Ninaona Kama vipi Tulio wasafi tujitenge na Mafisadi..Tuwafukuze katika Kamati kuu na wawe na chama chao..
Wakulu heshima Mbele,
Watu kila siku tumekuwa tukipiga kelele sana hapa Jamvini tukitaka kuwajua wamiliki wa kagoda.Tumekuwa tukiwahusisha watu na CHama cha Mapinduzi kwa hili na wengi tukihisi mambo mengi sana.
Jana Msajili wa Kampuni wa BRELA kaweka wazi wamiliki ni Bwna aJohn na Francis.Na Dr. Slaa alisema wamiliki wa Kagoda ni viongozi Flani wa CCM,zitto anasema zilitumika katika kampeni za CCM mwaka 2005.Sasa nani anatudanganya hapa?
Kuna mtu ana wasifu wa watu hawa,
Je ni kina nani na wanafanya shughuli zipi?
Je ni wanachama wa chama chochote?
Je wana undugu na Kiongozi yeyote?
Je wana historia ya Ufisadi?
Je wako hai?
Je wanaweza kutishia usalama wa Nchi?
Je wana nguvu gani mpaka wasikamatwe mpaka sasa?
Je hawa ni wadhamini wa Kampeni za CCM?
Hao ndiyo wamiliki walioko BRELA,Hivyo Kagoda siyo mali ya CCM na CCM haihusiki?Kwa sasa naamini hivyo mpaka pale nitakapoambiwa wasifu wa hawa watu
Wakulu heshima Mbele,
Watu kila siku tumekuwa tukipiga kelele sana hapa Jamvini tukitaka kuwajua wamiliki wa kagoda.Tumekuwa tukiwahusisha watu na CHama cha Mapinduzi kwa hili na wengi tukihisi mambo mengi sana.
Jana Msajili wa Kampuni wa BRELA kaweka wazi wamiliki ni Bwna aJohn na Francis.Na Dr. Slaa alisema wamiliki wa Kagoda ni viongozi Flani wa CCM,zitto anasema zilitumika katika kampeni za CCM mwaka 2005.Sasa nani anatudanganya hapa?
Kuna mtu ana wasifu wa watu hawa,
Je ni kina nani na wanafanya shughuli zipi?
Je ni wanachama wa chama chochote?
Je wana undugu na Kiongozi yeyote?
Je wana historia ya Ufisadi?
Je wako hai?
Je wanaweza kutishia usalama wa Nchi?
Je wana nguvu gani mpaka wasikamatwe mpaka sasa?
Je hawa ni wadhamini wa Kampeni za CCM?
Hao ndiyo wamiliki walioko BRELA,Hivyo Kagoda siyo mali ya CCM na CCM haihusiki?Kwa sasa naamini hivyo mpaka pale nitakapoambiwa wasifu wa hawa watu
Mungu wanugu, sasa kwenye hiyo taarifa Rais anahusika je? Kama mumeambiwa record zote zipo... then Rais anahusika je? Tena kwenye hiyo hiyo taarifa kina hiki hapa
CCM ni Safi kwa hili..
Leo nimefikiria sana kuhusus chama changu,Ninaona Kama vipi Tulio wasafi tujitenge na Mafisadi..Tuwafukuze katika Kamati kuu na wawe na chama chao..
Ze Komedi, hatimaye wamekubaliana kuwapeleka mbuzi wa kafara mahakamani na wakina Rostam na Apson Mwang'onda kutamba uraiani. Ama kweli Mkapa bado ana ubavu, Kikwete ameshindwa kujitoa kafara! Sasa jitihada za kuwataja zinakuwa kubwa kweli zikifuatiwa na kelele za mahakamani. Chami na Chikawe walitumwa kupima maji na ku-divert attention, BRELA wamesawazisha. Sasa tatu, tatu!
East African Business week iliwahi kutoa ripoti ifuatayo :-
An official from the Bank of Tanzania (BoT) told East African Business Week last week that, all the cheques were collected by a Tanzanian of Asian origin who later took them to a local bank. It's from there where he was paid the said $30.8 million.
"We have the records. The cheques and the money were neither taken by Kyomuhendo nor William, but only by a CCM bigwig of Asian origin," the official said adding that the businessman was the one who was frequenting the BoT headquarters to demand for payment.
You do not need to use too much effort... That's Roast-em!
Wakati huo Rostam alikuwa Mweka Hazina wa CCM. Kama aliweka mkono ilikuwa ni kwa niaba wa CCM. CCM ni mkusanyiko wa wezi - iwe kura ama kula.