Hivi ule usemi wa anayeshikwa na ngozi... hauna maana kwa Feleshi?. Kama Feleshi anaogopa ajue kuwa "Justice denied is justice delayed" - reversed for Feleshi and his masters in CCM. Ipo siku wale wote waliohusika na Kagoda watafikishwa kwenye mkono wa sheria hata kama watakuwa makaburini, watashitakiwa na vitukuu vyao kufilisiwa kwa madhambi ya babu zao.
Ndiyo maana CCM hawataki wananchi wajichagulie serikali yao na kung'ang'ania wizi wa kura kwani wanajua kuwa wakitolewa tu uozo wao wote utafunuliwa na wengi kujikuta behind bars. Kama mimi ningekuwa ni miongoni mwa waamuzi wa CCM, huu sasa ungekuwa ni muda muafaka wa kuhakikisha nchi ina focus kwa maendeleo ya watu na kuboresha huduma za jamii, kukuza uchumi ili kupata ridhaa halali ya wananchi, kwani wizi wa kura kwa sasa unakaribia kikomo, nafikiri chaguzi si zaidi ya mbili zijazo tutashuhudia ama umwagikaji wa damu mkubwa baada ya wizi wa kura, ama kushindwa na kukubali yaishe (hii ni night mare kwa CCM).
"Hakuna adui mkubwa sana kwa usalama wa taifa kama wananchi kukata tamaa na serikali yao na kutokuona tena umuhimu wa maisha kwao" Ikifikia hali hii basi ni dhahiri usalama wa taifa letu utakuwa matatani zaidi ya "usalama wa CCM" ambao wao wanauita wa taifa. Nina hakika CCM ikiacha utamaduni wa kulindana na kutoa kafara vidagaa na kuwalisha ndoano mapapa kama RA, Chenge, Mkapa et al, Huo utakuwa ni uslama tosha wa Taifa letu na wao CCM wenyewe.
Ndiyo maana CCM hawataki wananchi wajichagulie serikali yao na kung'ang'ania wizi wa kura kwani wanajua kuwa wakitolewa tu uozo wao wote utafunuliwa na wengi kujikuta behind bars. Kama mimi ningekuwa ni miongoni mwa waamuzi wa CCM, huu sasa ungekuwa ni muda muafaka wa kuhakikisha nchi ina focus kwa maendeleo ya watu na kuboresha huduma za jamii, kukuza uchumi ili kupata ridhaa halali ya wananchi, kwani wizi wa kura kwa sasa unakaribia kikomo, nafikiri chaguzi si zaidi ya mbili zijazo tutashuhudia ama umwagikaji wa damu mkubwa baada ya wizi wa kura, ama kushindwa na kukubali yaishe (hii ni night mare kwa CCM).
"Hakuna adui mkubwa sana kwa usalama wa taifa kama wananchi kukata tamaa na serikali yao na kutokuona tena umuhimu wa maisha kwao" Ikifikia hali hii basi ni dhahiri usalama wa taifa letu utakuwa matatani zaidi ya "usalama wa CCM" ambao wao wanauita wa taifa. Nina hakika CCM ikiacha utamaduni wa kulindana na kutoa kafara vidagaa na kuwalisha ndoano mapapa kama RA, Chenge, Mkapa et al, Huo utakuwa ni uslama tosha wa Taifa letu na wao CCM wenyewe.