Kagoda: Ni Rostam

Kagoda: Ni Rostam

Mwanakijiji,

Kauli zako katika hili swala zimejikita! Nyasi zikiota alama za miguu zitakuwepo?!
 
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???
Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!

Talk of juvenile delinquency - there is no better example than the font and colour displayed in the tirade above. Talk of illiteracy - what better than the level exhibited in this outburst so typical of Ragamuffin.

Hosea of TCCB proved Rostam innocent long before the handing over of the so called evidence because they are birds of a feather. Come on Ragamuffin or whatever you choose to call yourself, your views are a disgrace to JF.
 
Talk of juvenile delinquency - there is no better example than the font and colour displayed in the tirade above. Talk of illiteracy - what better than the level exhibited in this outburst so typical of Ragamuffin.

Hosea of TCCB proved Rostam innocent long before the handing over of the so called evidence because they are birds of a feather. Come on Ragamuffin or whatever you choose to call yourself, your views are a disgrace to JF.

Respect mkuu!
 
Wadau, lazima tuelewe kuwa RA is not as bright as he publicly potrays to be.Sasa hivi he in the spotlight , and for a long time too.
Vazi lake linaanza kuvuka pole pole, utapeli wote utajulikana muda si mrefu.Bahati mbaya sana ni kuwa defense yake kubwa ni wale washiriki wenzake katika ufisadi waliopo serikalini na kwenye siasa.Tumemsikia mama Sofia Simba.
Ni hao wanao mlinda kwa sasa.
 
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???

Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!

Ragga, defend lice and it will all over you, even in your most private parts!
 
a. Mtu anapotoa tuhuma ni nani kisheria ana jukumu la kukusanya ushahidi, kuuchambua na kuona kama ni relevant kwenye kesi?
Inategemea tuhuma zenyewe. Kama ni za kuchafuliana majina, atakaefungua kesi ya madai ndiye atakaewajibika kuthibitisha kuwa hizo tuhuma kweli zimemchafulia jina. Kama tuhuma zenyewe ni criminal, ambazo k.m. zinaweza kuhatarisha maisha ya mtuhumiwa basi mtuhumiwa anaweza kupeleka madai yake kwenye relevant authorities ambao baada ya uchunguzi wanaweza kuamua kufungua criminal charges dhidi ya aliyetoa tuhuma. Relevant authorities haziwajibiki kufuatilia kila mahali ambapo tuhuma zinatolewa.

b. Mengi hajasema ameibiwa na Rostam au kwamba Rostama amemdhulumu kwenye jambo fulani binafsi, kazungumzia kitu kinaitwa "taifa". Sasa serikali inaweza kuja na kusema kuwa serikali haijabiwa kwa hiyo the allegations kuwa kuna mwizi are baseless and unfounded. Serikali inaweza kumaliza.
Kwa hiyo, Mkuu, unamtoa Mengi kwenye hilo taifa. Yeye alitoa hizi tuhuma kama by-stander ambae hazikumhusu bali aliona alisemee "taifa" ambalo halimhusu? Naona kwa mtazamo wako unaunganisha taifa na serikali, vitu ambavyo ni tofauti. Taifa ni zaidi ya serikali. Kama taifa limeibiwa basi wale wote ambao ni wa taifa hilo wanawajibika kufuatilia hiyo ishu badala ya kungoja serikali. Mfano, mzuri ni Christopher Mtikila ambae hasiti kushtaki serikali pale anapoona utaifa wake unadhulumiwa!

c. Kama serikali inajua kuwa kuna wizi umetokea na kuna watu wanatajwa kuhusika na wizi huo, ni jukumu la serikali kufanya uchunguzi na kuamua siyo kukaa pembeni na kusema mwenye ushahidi wa wizi atuletee!?
Unajuaje kama serikali hiyo haijafanya uchunguzi na kukosa ushahidi? Si waliunda tume kuchunguza? Sasa kuna ubaya gani wao kuomba mwenye ushahidi awapelekee? Kama upo, kama inavyodaiwa kwa nini wenye nao wasi "call bluff"ya serikali na kuwapelekea wazi wazi? Kama alivyofanya Rostam.

d. Mfano mzuri ni kesi za EPA majina yaliyotajwa na madai yaliyotolewa ya EPA yameandikwa mara nyingi na watu kadhaa walitajwa. Hakuna mahali serikali ilisema kina Slaa walete ushahidi ili uchunguzi ufanyike, waliangalia uzito wa tuhuma na vidokezo vya ukweli wa tuhuma hizo (tarehe, akaunti namba, majina ya watu n.k). Ni serikali ikaamua kuunda Tume ya Mwanyika kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo na ni wao ndio walioenda kukusanya ushahidi wa tuhuma hizo na ni wao waliowafikisha mahakamani. Dr. Slaa wala wengine waliotoa tuhuma hizo hawajatajwa kuwa ni mashahidi!

Kwanini linapokuja la Rostam tunataka Mengi ndiyo alete ushahidi wakati tunayo precedence ya jinsi gani tuhuma kama hizi zimeshughulikiwa na serikali?
Kwa hiyo unakiri kuwa serikali iliishafanya uchunguzi kuhusu madai yahusuyo EPA? Unakiri kuwa kuna watu wameishafikishwa mahakamani kutokana na uchunguzi huo? Kwa nini basi usiamini kuwa Rostam, ambae nae alikuweko kwenye list of shame alichunguzwa na akaonekana hana kesi ya kujibu? Sasa kwa wale ambao wanaong'ang'ania kuwa Rostam alihusika basi wapelekee serikali ushahidi wao. Au waseme wazi kuwa Rostam alihusika hapa na hapa, mbona ameachiwa? Mengi hajasema hivyo. badala yake analeta platitudes.

Mimi sisemi Mengi atuletee ushahidi. Ninachokisema ni kuwa kama anataka tumwamini basi aseme wazi kuwa hao mafisadi papa ufisadi wao uko wapi. Yaani kweli mtu huyu jasiri anashindwa hata kuuliz hatma ya hao waliokutwa na vijisenti kwenye akaunti zao Jersey? Anapata kigugumizi kuwataja hao waliosaini mikataba mahotelini? anabaki na hizi shutuma general? Badala ya kusema Rostam aeleze umma nini uhusiano wake na watu wa Dowan, kwa nini yeye asiuanike wazi hata bila kutoa ushahidi?

e. Kama Mengi amedai kuwa yeye ndiyo kaibiwa (binafsi) au kampuni yake basi ni wazi kuwa ni vizuri kuwapa Polisi mahali pa kuanzia (waoneshe nyumba iliyoibiwa, kilichoibwa, n.k). In this case, it is not personal or is it?
Kama hajaibiwa binafsi ( kama mmoja katika taifa hili) hizi shutuma za nini? Si angalau angesema kuwa fulani ni mwizi wetu maana nilimuona akitokea dirishani! Yeye kwa kujibebesha huu mzigo amejiingiza katika taifa lililoibiwa. He should then do us all a favour na kutuambia bayana huo wizi ni wizi upi na kwa nini anawashuku aliowataja!

Amandla......
 
wana jf haya mambo ya kushabikia nani kajibu nini na nani kasema nini tuya ache. Kwa kuwa hakuna kipya kilichosemwa na mengi wala na rostam, sasa kama jf ilivyo "the home of great thinkers" inatakiwa tujadili zaidi kuhusu mbinu za kutumia ili kuiokoa nchi yetu kwenye hili janga kubwa na zito la ufisadi.

thanks!
 
POINT BLANK: Rostam, will you address Kagoda please?


Honourable Rostam Aziz, MP,
Salaams,

FOR long I’ve been reading much stuff about you. Forgive me for writing this epistle purposely and specifically addressed to you.

When you faced the media, many thought you would come up with something reasonably convincing and new with regards to being named among five sharks as far as sabotaging our country is concerned. But nay!

Let me humbly admit, I heard Reginald Mengi’’s damning allegations that you’re one of the most notorious economic sharks the country has ever seen, thanks to being behind almost many stinking wheel deals. Why didn’t you address this when you faced the media? Do you think calling Mengi a whale will make his denting allegations do away?

I, too, heard your ballyhoos and hoo-has regarding these allegations. Can I ask you a few questions if you don�t mind? Why do you want to jump a smoking gun with regards to the allegations fired by Dr Harrison Mwakyembe, MP that you are vampiric Kagoda, to begin with?

I understand sir. When Mengi named you, you said you�d never take it with him given the fact that he is as old as your father. Well, now that you surfaced with such much damning allegations that Mengi said are devoid of any convincing truth. Does it mean Mengi has ceased to be of your father’s age?

Secondly, you said Mengi’s criminality is to loan money from the late NBC. Perfect. �Is loaning a crime to deserve calling Mengi a whale really? Was the issue whether Mengi is a whale or whatever; or you being corrupt and behind Kagoda fake company that stole money from BoT (EPA)?

Also before I forget, what have you to say with regards to what one of the former TANESCO bosses referred to as PM�s partner in Richmond scandal that showed Edward Lowassa the door. Do you remember? Do you remember Richmond’s address was symmetrical to that of your Caspian company?

Let me remind you. Facing the parliamentary select committee, this person said the �partner� behind Richmond theft is you. And given that you know the owner of Dowans which is the sister to Richmond as Speaker Samuel Sitta once put it, how connected is he to you? Will you please shed light on this?

Another question sir, you admitted to have loaned the money that you’re still paying. What�s wrong with Mengi doing the same? Is this an indirect admission-cum-implication that Mengi does the same as you do? So he has no moral authority to accuse you? Can you tell us the banks or government institutions from which you loaned the said money, when and how much.

More on Kagoda theft and Mengi�s debts, don’t you see that the debtor is entitled to obtaining debts but not the thief as in the case of Kagoda and Richmond?

Another question sir, why did you dance around instead of shedding light on Kagoda? What have you to say regarding the allegations by Dr Mwakyembe? Let me remind you.

Dr Mwakyembe said you’re using your media empire gotten by the money stolen from BoT by using Kagoda to tarnish the image of others, specifically those who point fingers at you just like Mengi and Dr Mwakyembe. Is it true or false?

I know, you brought Anche Mwedu Company to the agora. Did you intend to show that whilst Mengi says you’re Kagoda, he too is unknown of Anche Mwedu?

Let me emphasize hither. Will Mengi’s wrongs cleanse yours really? Can Anche Mwedu take away Kagoda?
If you’d be serious and sincere, you firstly have to dwell on cleansing yourself instead of using tarnishing tactics as means of doing so. True, what you�re doing is ’’he says I am this, he, too, is that�’’.

Otherwise it does not make sense. For this is not what people want to know. They would like to see you putting records straight as far as Mengi’s allegations are concerned by putting your house in order. The ball is still in your court, sir.

Another denting thing, if you knew Mengi swindled the late NBC so as to ultimately fell it, why didn’t you divulge this before so as to wait till he named you? Isn’t this vengeance?

I should also remind you sir. Your defenders-cum-partners averred that Mengi erred (in their eyes) to have named holy names. But again, you’re doing exactly the same! I’m anxiously waiting to hear what Sophia Simba and George Mkuchika will say. Did you consult them before thundering and stealing thunder?

Sir, you remind me of childish tricks I used to employ when I was cornered. When I was a kid, I used to steal sugar. Whenever I was caught or suspected, I would jump on witch-hunting for the one that reported me. After knowing who it was, I would tell mom, ’’He, too, has stolen sugar. Mom then used to tell me: �Why haven’t you reported him or her before?’’ I used to end up in shame and being punished.

You know what? When cornered, the vulture cries wolf.
Sir, allow me to wrap up hither as I avoid making a missive. I know. You’ve a lot to do especially at this pressing time of saving the face. But importantly, please say something about Kagoda and who you are to it.

Mind you, our people are not stupid. They cannot subscribe to every nonsense and lies. I thus strongly recommend that you hit on the point.

nkwazigatsha@yahoo.com

You asking wright questions but you asking a wrong person, Your questions should be addressed Chimwaga , Dodoma CCM Makao makuu, Hayo maswali waulize CCM. Kwasababu Mjibu yote wanayo,Wana resources za kujua Majibu, Lakini hawezi kukujibu kwasbabu wao ndio wahusika.
 
Hapa tulipo ni ukumbi ulio huru na kila mmoja ana uhuru wa kueleza anachoona sahihi. Namuheshimu Mwanakijiji na wengine wote waliomuunga mkono kwa kuamzisha thread hii lakini kwa heshima ile ile nawaomba waniruhusu kueleza mapungufu ya maan halisi ya kuanzisha thread hii.
Naomba maana na naomba iwe kwa hoja na sio jazba kwasababu ninavyohisi mimi tufanyavyo ndani ya threada hii ni sawasawa na kumkama ngombe Dume ili tupate maziwa.
Kwa nini? Tunamtaka Rostam atueleze kuhusu kitu ambacho YEYE MWENYEWE alishasema hakijui. Amesema mara nyingi na hata alipoiitisha waandishi wa habari kueleza kukerwa na hatuwaya Mengi kumshutumu alianza kwa kusema kuwa hahuski na Richmond, Hahusiki na Dowans na hausiki na Kagoda, sasa kumrejea tena na kumwambia atueleze kuhusu mambo hayo nini mantiki yake.
Naam anaweza akawa anadanganya lakini bado tumeshindwa kuupinga uongo wake. Tuchukulie kuwa tunataa kumuhukumu kwa maovu aliyotufanyia, ivyo Watanzania kwa ujumla wetu hatuwezi kuthibitisha mashitaka juu yake kwa kuleta ushahidi kuwa KWELI KAGODA NI YAKE? Tukifanya hivyo tutakuwa tumemaliza uzia kwani tutaweza kumfikisha kwenye vyombo vya sheria na kumuhukumu kwa maovu yake. Kinyume cha hivyo tutakuwa tunaleta uchochezi wa bure.
Kitu kimoja ni cha wazi kabisa. Wako wengi wenye chuki kubwa na huyu bwana iwe kwa rangi yake, iwe kwa misinformation anda distortion, iwe kwa uchungu wa nchi na kadhalika, kam kungekuwa na ushahidi wa hizo shutuma anazopewa basi angekwishakuwa KEKO lakini siamini kuwa hajafika huko eti kwa kuwa anaogopwa na Watanzania wote. Mfano ni wa Mengi na Mwakyembe si wamejitowa wazi kumshutumu? Wangefika mbali zaidi ya walipofika isipokuwa hawana ushahidi wowote juu ya tuhuma zao.
Sasa tunapoletewa thread refu ya kutaka mshitakiwa athibitishe KESI JUU YAKE MWENYEWE inasababibisha wale waliokuwa bado hawajaathiriwa na Chuki binafsi kujiuuliza maswali mengi.
USHAURI ; Tuleteeni vielelezo vinavyothibitisha tuhuma, na vithibitisho hivyo viwe na hadhi na nia ya kusimama kwenye vyombo vya sheria ili huyu PAPA achukuliwe hatuwa.
 
Kwa taarifa yenu: Ushahidi wote wa kumbana Rostam kwenye Kagoda umekamilika ndio maana Mengi anasisitiza huyu fisadi aende mahakamani haraka. Muda wa kinara huyu wa ufisadi kuanikwa umewadia. Wabongo sio wajinga kama Rostam anavyotaka kuamini.


Kwa maanahiyo hii thread haina maana au sivyo unavyojaribu kusema?
 
Kang, na mnaomtetea RA. Nadhani kumbukumbu zenu ni fupi kuhusu sakata la Richmond na kuhusishwa kwa RA. Tafadhali jikumbusheni. Nadhani ilikuwa nafasi nzuri sana kwa RA kutumia mkutano wake na waandishi wa habari kujibu tena na kwa ufasaha zaidi hoja nzito za Kamati ya Mwakyembe. Kwa vielelezo. Hakufanya hivyo unadahni hajui nini alitakiwa kufanya... Anajua, ila amechagua kutokuwa muwazi. Kamati ya bunge haikuwa na madaraka yeyote ya kumuwajiisha na serikali haikotayari... Maranyingi sana pamekuwa na maombi ya kujitokeza wenye ushahidi. ..maana yake upo mahali...

Unajua unachosema kinaelez nini? Iwapo wanaomtetea RA kama unavyodai kuwa hawana kumbukumbu nani nanayo? Mwakyembe au Mengi au Spika wa Bunge?
Huoni ni kulitusi bunge kuwa linamlinda Fisadi na muhalifu? Kama Bnge lingekuwa na ushahidi wa makosa si wangekwishampeleka mahakamani au hata huyo Babu yako Mengi hadi sasa baada ya kuvuliwa nguo na huyo Rostam hampeleki mahakamani.
Inawezekana wanaomtetea A hawana kumbukumbu lakini MNAOMSHITUMU RA hamna ushahidi na hichi ndicho hao wanaomtetea wanataka bwakipate. Toweni ushahidi tumfikishe nakostahiki lakini hili la porojo hakitusaidii.
 
RA anatuhumiwa kumweka Rais na viongozi kibao serikalini kwenye nafasi zao. Katika mazingira haya, DPP si rahisi kufanya kazi yake kumfikisha RA mahakamani na kumfungulia mashitaka.

Anachofanya RM na wapiganaji wengine ni kumshtaki RA kwenye "court of public opinion". Kama kadamnasi itaridhika kwamba RA ni adui wa taifa, basi hukumu watakayotoa ni kubwa kuliko ya mahakama yoyote hapa nchini. RA hatoweza kuonesha uso wake hadharani.

Hapa ndo vita dhidi ya ufisadi ilipofikia. Bado haijafanikiwa, lakini tutafika tu.


Hivyo tutamuhukumu bila ushahidi, mbona unataka kuwafanya Watanzania kuwa watu wa ajabu? Angalia hata michezoni wanawatetea kisa hakuna ushahidi.
 
as if pccb have done anything worth to show off!!!! Unakumbuka mengi walirushiana maneno na hosea edwards kuhusu utendaji wake finyu kama mkuu wa pccb sasa huyo huyo ambaye kazi imemshinda apelekewe ushahidi. Pccb ni upuuzi mtupu! Ni kimbilio la mapapa mafisadi.


na kweli katika ile orodha aliyotowa raya aliogombana nao mengi huyu alisahauliwa vile?
 
Amburuze Mengi mahakamani na amfungulie kesi ya kuchafuliwa jina kwa kuitwa fisadi papa wakati siyo kweli na ndivyo inavyotakiwa kufanyika. Kutokuwa tayari kufanya hivyo ni dalili ya kuogopa kuumbuliwa.



Ala kumbe, hakufanya hivyo kwa kwa kuogopa kujishtaki - kweli hilo haliwezekani kwani ukweli usio na shaka ni kwamba Rostam ni fisadi wa kutupwa.



Tafadhali fundi Mchundo usiwe mvivu wa kufukiri - kwa kushindwa kufungua mashitaka dhidi ya Mengi na badala yake kumtuhumu Mengi, sasa mambo yanaenda huko huko alikoogopa. Mengi, baada ya Rostam kuingia mtegoni, amefungua kesi mahakamani kupitia kwa wanasheria wake.



Rostam aliogopa kwenda mahakamani, lakini hakusita kuwasilisha vielelezo vyake TAKURURU. Mengi, on the other hand, kufungua kesi mahakamani lakini wewe bado umemwandama Mengi, tukueleweje ? Moja Rostam bado anatafuta kubebwa serikalini wakati Mengi anatafuta haki mahakamani, je upo ?



Na mafisadi papa nao hawataweza kujisafisha kwa kuita press conference na kukimbilia TAKURURU - ingekuwa rahisi namna hiyo Richomnd ingekuwa safi kama theluji. Sasa twasubiri TAKURURU imfungulie mashtaka Mengi kwa niaba ya Rostam wakati huko mahakamani kesi nyingine inaendelea - Mengi dhidi ya Rostam.



Rostam alitaka kuikwepa mahakama lakini kwa vyovyote vile kila kitu kinaonekana kitaishia mahakamani - sasa sijui wengine mnatakaje. Rostam alililia wembe na yaonekana akapewa, je atapona kukatwa ? Ninaowahurumia ni vikaragosi wanaocheza ngoma wasioijua na wala hawana habari na sehemu wanapokanyaga.


Fanyakazi kidogo usiwe mvivu wa kutowa hoja unazunguka humo humo kama pia mkuu.
 
a. Mtu anapotoa tuhuma ni nani kisheria ana jukumu la kukusanya ushahidi, kuuchambua na kuona kama ni relevant kwenye kesi?

b. Mengi hajasema ameibiwa na Rostam au kwamba Rostama amemdhulumu kwenye jambo fulani binafsi, kazungumzia kitu kinaitwa "taifa". Sasa serikali inaweza kuja na kusema kuwa serikali haijabiwa kwa hiyo the allegations kuwa kuna mwizi are baseless and unfounded. Serikali inaweza kumaliza.

c. Kama serikali inajua kuwa kuna wizi umetokea na kuna watu wanatajwa kuhusika na wizi huo, ni jukumu la serikali kufanya uchunguzi na kuamua siyo kukaa pembeni na kusema mwenye ushahidi wa wizi atuletee!?

d. Mfano mzuri ni kesi za EPA majina yaliyotajwa na madai yaliyotolewa ya EPA yameandikwa mara nyingi na watu kadhaa walitajwa. Hakuna mahali serikali ilisema kina Slaa walete ushahidi ili uchunguzi ufanyike, waliangalia uzito wa tuhuma na vidokezo vya ukweli wa tuhuma hizo (tarehe, akaunti namba, majina ya watu n.k). Ni serikali ikaamua kuunda Tume ya Mwanyika kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo na ni wao ndio walioenda kukusanya ushahidi wa tuhuma hizo na ni wao waliowafikisha mahakamani. Dr. Slaa wala wengine waliotoa tuhuma hizo hawajatajwa kuwa ni mashahidi!

Kwanini linapokuja la Rostam tunataka Mengi ndiyo alete ushahidi wakati tunayo precedence ya jinsi gani tuhuma kama hizi zimeshughulikiwa na serikali?

e. Kama Mengi amedai kuwa yeye ndiyo kaibiwa (binafsi) au kampuni yake basi ni wazi kuwa ni vizuri kuwapa Polisi mahali pa kuanzia (waoneshe nyumba iliyoibiwa, kilichoibwa, n.k). In this case, it is not personal or is it?





Mzee kama ni mzee kweli nakushauri si wakati wote utowe hoja kwani kwa kufanya hivyo unakwenda mchomo na kutufanya vijana tujuulize Mzee kakutwa na nini?
Kwani Bunge halijakaa na kulishighulikia hili? Au unataka kunambia kuwa Mengi ni mzalendo zaidi ya mtu yeyote humu Tanzania? Hata Shujaa wakweli Slaa hajakurupuka na kutowa shutuma zisio na ushahidi na kumtaka mtuhumiwa aende akajithibitishe kuwa ni muhalifu.
 

8. Alipoulizwa kuhusu ushahidi uliotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Ikulu, Salvatory Rweyemamu kuwa yeye Rostam ndiye aliyemuunganisha na Mkurugenzi wa Richmond, Mohammed Gire kufanya kazi ya ushauri wa habari katika kampuni hiyo, Rostam alikana kwa kusema kuwa, alichowahi kufanya ni kumuunganisha kufanya kazi kama hiyo kwa kampuni ya uwakala wa kupakua mizigo bandarini.
 
Bilioni alizoiba mengi pale nbc vipi?

Sizungumzii alizokopa

au zile si muhimu kuzizungumzia?
 
Wana JF haya mambo ya kushabikia nani kajibu nini na nani kasema nini tuya ache. Kwa kuwa hakuna kipya kilichosemwa na Mengi wala na Rostam, sasa kama JF ilivyo "The Home of Great Thinkers" inatakiwa tujadili zaidi kuhusu mbinu za kutumia ili kuiokoa nchi yetu kwenye hili JANGA kubwa na zito la UFISADI.


N a wewe unataka kufunga mjadala! umetumwa? tuache tuendelee kujadili kama wewe hautaki usifundue threads hizi

SAA YA UKOMBOZI NI SASA
 
Nkwazi umenena vema na ukipata majibu usiache kutujuza. Mheshimiwa sana RA hebu tuelimishe au na wewe waweza kutuma wanasheria sababu naelewa uko busy saaaana. Mtume Mhingo akujibie ila pia fahamu si mshauri sana tangu tukiwa tunasoma o level. Hapo Muhingo anapalilia maslahi yake tu
 
Back
Top Bottom