Kagoda: Ni Rostam

Kagoda: Ni Rostam

Kang, na mnaomtetea RA. Nadhani kumbukumbu zenu ni fupi kuhusu sakata la Richmond na kuhusishwa kwa RA. Tafadhali jikumbusheni. Nadhani ilikuwa nafasi nzuri sana kwa RA kutumia mkutano wake na waandishi wa habari kujibu tena na kwa ufasaha zaidi hoja nzito za Kamati ya Mwakyembe. Kwa vielelezo. Hakufanya hivyo unadahni hajui nini alitakiwa kufanya... Anajua, ila amechagua kutokuwa muwazi. Kamati ya bunge haikuwa na madaraka yeyote ya kumuwajiisha na serikali haikotayari... Maranyingi sana pamekuwa na maombi ya kujitokeza wenye ushahidi. ..maana yake upo mahali...

Bado mnatupotezea wakati. Rostam aliitisha mkutano kujibu shutuma za Mengi na si za Mwakyembe. Zaidi ya hapo alitoa nafasi kwa waliokuwepo kumuuliza maswali. Kwa nini hao wasiulizie shutuma za Mwakyembe? Aliulizwa ya Kagoda, akajibu kuwa hahusiki. Sasa kama muulizaji alikuwa na ushahidi wa kuhusika kwake si angeuweka wazi. Ameulizwa ya Dowan, akakana kuwa anahusika kibiashara. Mwenye ushahidi wa uongo wake kwa nini asimburure mahakamani. Amesema wazi kuwa anawafahamiana na wenye Dowans lakini si kibiashara. Sasa mnataka awaeleze undani wa mahusiano yake nao! Wangapi humu tunafahamiana na watu waliokuja kugundulikana kuwa ni wahalifu. Wengine wetu, ndugu zetu wako ndani kwa ajili ya vitendo vyao viovu. Kwa hiyo na sisi basi tumekuwa waovu kwa sababu tunafahamianan nao?

Ninarudia tena. Kama kuna mtu ana ushahidi, a call Rostam's bluff na ampeleke mahakamani. Atatusaidia wengi. Nje ya hapo tunapotezeana wakati.

Hatuwezi kumlaumu Rostam kama mwenye ushahidi hataki kujitokeza.

Amandla.........
 
Alishasema hawezi kwenda mahakamani akasema "naomba mnisafishe!"

Kama kuna ushahidi wowote basi ashitakiwe au angalau Mengi apeleke data kwa vyombo husika, mpaka leo sijaona hilo, so Mengi ni porojo tu hakuna lolote.
Zaidi ya hapo ameonyesha ni mtu wa kukurupuka, yaani unajaribu kumwangusha mtu ambaye inasemekana ndo mwenye nguvu nyingi TZ halafu unakuja na story za kijiweni?
Kama hizi ndo jitihada za kuumaliza ufisadi basi tumeliwa!

RA anatuhumiwa kumweka Rais na viongozi kibao serikalini kwenye nafasi zao. Katika mazingira haya, DPP si rahisi kufanya kazi yake kumfikisha RA mahakamani na kumfungulia mashitaka.

Anachofanya RM na wapiganaji wengine ni kumshtaki RA kwenye "court of public opinion". Kama kadamnasi itaridhika kwamba RA ni adui wa taifa, basi hukumu watakayotoa ni kubwa kuliko ya mahakama yoyote hapa nchini. RA hatoweza kuonesha uso wake hadharani.

Hapa ndo vita dhidi ya ufisadi ilipofikia. Bado haijafanikiwa, lakini tutafika tu.
 
RA anatuhumiwa kumweka Rais na viongozi kibao serikalini kwenye nafasi zao. Katika mazingira haya, DPP si rahisi kufanya kazi yake kumfikisha RA mahakamani na kumfungulia mashitaka.

Anachofanya RM na wapiganaji wengine ni kumshtaki RA kwenye "court of public opinion". Kama kadamnasi itaridhika kwamba RA ni adui wa taifa, basi hukumu watakayotoa ni kubwa kuliko ya mahakama yoyote hapa nchini. RA hatoweza kuonesha uso wake hadharani.

Hapa ndo vita dhidi ya ufisadi ilipofikia. Bado haijafanikiwa, lakini tutafika tu.

Humu humu, Mkuu Mwanakijiji ametuelimisha kuwa HAKUNA mwenye nguvu juu ya DPP! sasa mwenzetu unataka kusema Rostam amemweka ribit! Iko kazi.

Amandla......
 
Humu humu, Mkuu Mwanakijiji ametuelimisha kuwa HAKUNA mwenye nguvu juu ya DPP! sasa mwenzetu unataka kusema Rostam amemweka ribit! Iko kazi.

Amandla......

Theoretically yes. Practicaly....................

Husikii hata Jaji Mkuu analalamika bunge na dola vinaingilia kazi yake?
 
Kinachotakiwa ni mtu mwenye ushahidi, mwenye uchungu na nchi hii, kusimama na kuziweka wazi allegations hizo na ushahidi wake. Bahati mbaya, Mengi si mtu huyo!

Amandla.......

Kwa bahati mbaya mpaka hivi sasa hakuna mwenye ushahidi wa Rostam kuhusiana na hizo tuhuma nyingi anazorushiwa. Yote yanayoongelewa kuhusu yeye ni Folklore!

Sasa inawezekana kweli Rostam ni fisadi au inawezekana wala siyo fisadi ila hatuwezi kutumia maneno matupu ya watu kuwa ndio ushahidi dhidi yake.
 
ona sasa huyu nae anaandika makala ndefuuuuuuu, zinalalia upande mmoja,
pale alikuwa (rostam)anajibu tuhuma ulitaka ajizungumzie yeye tena?
mi nishasema nchii hii wajinga wengi wanajifanya wajuaji bure!
umeniudhi sana ila asante kwa kupoteza mda wako
 
THANK YOU BUBU ATAKA KUSEMA.

REGINALD MENGI FEDHA ZAKE NA VIWANDA VYAKE VINAINUA UCHUMI WA TANZANIA. AMEAJIRI WATANZANIA WENGI SANA. NA HAO WALIOAJIRIWA WANAE XTENDED FAMILIES.
SASA CASPIAN AKA RICHMOND AKA DOWANS WAO WANAKWAPUA FEDHA ZA KODI YA WATANZANIA WANAWEKEZA NJE YA NCHI.

HATA KAMA MENGI ALIKOPA NBC, si amewekeza TANZANIA? Si analipa kodi? Si ameajiri watanzania? SI anatoa huduma kwa jamii?
 
ona sasa huyu nae anaandika makala ndefuuuuuuu, zinalalia upande mmoja,
pale alikuwa (rostam)anajibu tuhuma ulitaka ajizungumzie yeye tena?
mi nishasema nchii hii wajinga wengi wanajifanya wajuaji bure!
umeniudhi sana ila asante kwa kupoteza mda wako

Wewe unadhani ndo hujaudhi wengine?

Alijibu tuhuma ama alikuja kutuhumu kwa akili yake pungufu akidhani kwamba akituhumu itaosha tuhuma zake?

Tuhuma ziko pale pale.. hata huko Takukuru aliko kimbilia hakuwezi kumsafisha, he has to face it this time! 40 yake ndo inakaribia hiyooo.
 
THANK YOU BUBU ATAKA KUSEMA.

REGINALD MENGI FEDHA ZAKE NA VIWANDA VYAKE VINAINUA UCHUMI WA TANZANIA. AMEAJIRI WATANZANIA WENGI SANA. NA HAO WALIOAJIRIWA WANAE XTENDED FAMILIES.
SASA CASPIAN AKA RICHMOND AKA DOWANS WAO WANAKWAPUA FEDHA ZA KODI YA WATANZANIA WANAWEKEZA NJE YA NCHI.

HATA KAMA MENGI ALIKOPA NBC, si amewekeza TANZANIA? Si analipa kodi? Si ameajiri watanzania? SI anatoa huduma kwa jamii?


Duh michango mingine jamani... On the same line of reasoning Benki M, Mchuchuma, Dowans et al si zinatoa ajira kwa extended family za wabongo je tuzisafishe kutokana na ufisadi?
 
Humu humu, Mkuu Mwanakijiji ametuelimisha kuwa HAKUNA mwenye nguvu juu ya DPP! sasa mwenzetu unataka kusema Rostam amemweka ribit! Iko kazi.

Amandla......

Na baada ya kutuelimisha juu ya nguvu za ajabu za huyu DPP anaendelea kusema kwamba watuhumiwa wakubwa wa ufisadi hawajachunguzwa wala kufikishwa mahakamani licha ya ushahidi kutolewa kwenye vyanzo mbalimbali

Anaconclude kwamba DPP ni muoga na mzembe sana.

We unaonaje ukweli wa analysis ya Mwanakijiji?
 
POINT BLANK: Rostam, will you address Kagoda please?



Honourable Rostam Aziz, MP,
Salaams,


FOR long I’ve been reading much stuff about you. Forgive me for writing this epistle purposely and specifically addressed to you.

When you faced the media, many thought you would come up with something reasonably convincing and new with regards to being named among five sharks as far as sabotaging our country is concerned. But nay!

Let me humbly admit, I heard Reginald Mengi’’s damning allegations that you’re one of the most notorious economic sharks the country has ever seen, thanks to being behind almost many stinking wheel deals. Why didn’t you address this when you faced the media? Do you think calling Mengi a whale will make his denting allegations do away?

I, too, heard your ballyhoos and hoo-has regarding these allegations. Can I ask you a few questions if you don�t mind? Why do you want to jump a smoking gun with regards to the allegations fired by Dr Harrison Mwakyembe, MP that you are vampiric Kagoda, to begin with?

I understand sir. When Mengi named you, you said you�d never take it with him given the fact that he is as old as your father. Well, now that you surfaced with such much damning allegations that Mengi said are devoid of any convincing truth. Does it mean Mengi has ceased to be of your father’s age?

Secondly, you said Mengi’s criminality is to loan money from the late NBC. Perfect. �Is loaning a crime to deserve calling Mengi a whale really? Was the issue whether Mengi is a whale or whatever; or you being corrupt and behind Kagoda fake company that stole money from BoT (EPA)?

Also before I forget, what have you to say with regards to what one of the former TANESCO bosses referred to as PM�s partner in Richmond scandal that showed Edward Lowassa the door. Do you remember? Do you remember Richmond’s address was symmetrical to that of your Caspian company?

Let me remind you. Facing the parliamentary select committee, this person said the �partner� behind Richmond theft is you. And given that you know the owner of Dowans which is the sister to Richmond as Speaker Samuel Sitta once put it, how connected is he to you? Will you please shed light on this?

Another question sir, you admitted to have loaned the money that you’re still paying. What�s wrong with Mengi doing the same? Is this an indirect admission-cum-implication that Mengi does the same as you do? So he has no moral authority to accuse you? Can you tell us the banks or government institutions from which you loaned the said money, when and how much.

More on Kagoda theft and Mengi�s debts, don’t you see that the debtor is entitled to obtaining debts but not the thief as in the case of Kagoda and Richmond?

Another question sir, why did you dance around instead of shedding light on Kagoda? What have you to say regarding the allegations by Dr Mwakyembe? Let me remind you.

Dr Mwakyembe said you’re using your media empire gotten by the money stolen from BoT by using Kagoda to tarnish the image of others, specifically those who point fingers at you just like Mengi and Dr Mwakyembe. Is it true or false?

I know, you brought Anche Mwedu Company to the agora. Did you intend to show that whilst Mengi says you’re Kagoda, he too is unknown of Anche Mwedu?

Let me emphasize hither. Will Mengi’s wrongs cleanse yours really? Can Anche Mwedu take away Kagoda?
If you’d be serious and sincere, you firstly have to dwell on cleansing yourself instead of using tarnishing tactics as means of doing so. True, what you�re doing is ’’he says I am this, he, too, is that�’’.

Otherwise it does not make sense. For this is not what people want to know. They would like to see you putting records straight as far as Mengi’s allegations are concerned by putting your house in order. The ball is still in your court, sir.

Another denting thing, if you knew Mengi swindled the late NBC so as to ultimately fell it, why didn’t you divulge this before so as to wait till he named you? Isn’t this vengeance?

I should also remind you sir. Your defenders-cum-partners averred that Mengi erred (in their eyes) to have named holy names. But again, you’re doing exactly the same! I’m anxiously waiting to hear what Sophia Simba and George Mkuchika will say. Did you consult them before thundering and stealing thunder?

Sir, you remind me of childish tricks I used to employ when I was cornered. When I was a kid, I used to steal sugar. Whenever I was caught or suspected, I would jump on witch-hunting for the one that reported me. After knowing who it was, I would tell mom, ’’He, too, has stolen sugar. Mom then used to tell me: �Why haven’t you reported him or her before?’’ I used to end up in shame and being punished.

You know what? When cornered, the vulture cries wolf.
Sir, allow me to wrap up hither as I avoid making a missive. I know. You’ve a lot to do especially at this pressing time of saving the face. But importantly, please say something about Kagoda and who you are to it.

Mind you, our people are not stupid. They cannot subscribe to every nonsense and lies. I thus strongly recommend that you hit on the point.

nkwazigatsha@yahoo.com

I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???

Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!
 
Ragamuffin,kazi nzuri! I think Rostam must reciprocate by rewarding you handsomely.
 
Wana JF haya mambo ya kushabikia nani kajibu nini na nani kasema nini tuya ache. Kwa kuwa hakuna kipya kilichosemwa na Mengi wala na Rostam, sasa kama JF ilivyo "The Home of Great Thinkers" inatakiwa tujadili zaidi kuhusu mbinu za kutumia ili kuiokoa nchi yetu kwenye hili JANGA kubwa na zito la UFISADI.

Wewe kama unaacha acha.

Hakuna mtu anashabikia nani kasema nini, tunajadili hoja zilizo tolewa.

Hapa kuna watu wa kila aina wengine ni wakali wa Hesabu lakini socially ni wafu.
Wengine income zao zinatokana na uwezo wao wa kujipendekeza na kujikomba wengine huongeza bidii na juhudi katika kazi zao ili wafanikiwe.
Wengine wametumwa na kuja kutanda mawingu hapa JF na Unene wa pochi kwenye malipo yao ya mezani unategemea Post zao ziliwatibua wana JF kiasi gani, wkati wengine wapo hapa kujifunza na kunoa uelewa wao.

Kwa hiyo neno kushabikia lina ukweli kwa baadhi ya makundi ya watu hapa JF, si neno linalojumuisha watu wote katika hoja zao.
 
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???

Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!

Why should he hand this evidence to PCCB?
 
I really hope readers of this absolute juvenille and illiterate tirade published by the editor of 'This Day' today are not stupid and treat this with the distain it deserves. What on earth is all this doing to the reputation of Tanzania???

Rostam need not defend himself, the law presumes him innocent of the allegations. It is for Mengi to prove them and so far, he is not the one handing over any evidence to the PCCB !!!

As if PCCB have done anything worth to show off!!!! Unakumbuka Mengi walirushiana maneno na Hosea Edwards kuhusu utendaji wake finyu kama mkuu wa PCCB sasa huyo huyo ambaye kazi imemshinda apelekewe ushahidi. PCCB ni UPUUZI MTUPU! ni kimbilio la mapapa mafisadi.
 
Kama alivyouliza Rostam mwenyewe, " aende mahakamani kufanya nini?"

Amburuze Mengi mahakamani na amfungulie kesi ya kuchafuliwa jina kwa kuitwa fisadi papa wakati siyo kweli na ndivyo inavyotakiwa kufanyika. Kutokuwa tayari kufanya hivyo ni dalili ya kuogopa kuumbuliwa.

Mnataka aende mahakamani kujishtaki kuwa yeye si fisadi? Hamuoni tuu kuwa jambo hilo haliwezekani?

Ala kumbe, hakufanya hivyo kwa kwa kuogopa kujishtaki - kweli hilo haliwezekani kwani ukweli usio na shaka ni kwamba Rostam ni fisadi wa kutupwa.

Alichofanya yeye ni kusema kuwa yeyote mwenye ushahidi wa ufisadi wake aende mahakamani kumshtaki! Kigugumizi sasa cha nini?

Tafadhali fundi Mchundo usiwe mvivu wa kufukiri - kwa kushindwa kufungua mashitaka dhidi ya Mengi na badala yake kumtuhumu Mengi, sasa mambo yanaenda huko huko alikoogopa. Mengi, baada ya Rostam kuingia mtegoni, amefungua kesi mahakamani kupitia kwa wanasheria wake.

Swali hilo badala ya kumuuliza Rostam, mngemuuliza Mengi. Kuwa kama ana ushahidi wa ufisadi papa wa Rostam kwa nini asimpeleke mahakamani badala ya kurudia rudia shutuma za kila siku? Atakaefanya hivyo, ndiye atakuwa shujaa na mwenye uchungu kweli na watu wa nchi hii.

Rostam aliogopa kwenda mahakamani, lakini hakusita kuwasilisha vielelezo vyake TAKURURU. Mengi, on the other hand, kufungua kesi mahakamani lakini wewe bado umemwandama Mengi, tukueleweje ? Moja Rostam bado anatafuta kubebwa serikalini wakati Mengi anatafuta haki mahakamani, je upo ?

Tusipende mno mteremko. Hatutawang'oa hao tunaowaita mafisadi papa kwa kuita press conference na kutoa general accussations. Tutoe specific allegations na kuzi-substantiate ndiyo kazi itaanza. Na si vinginevyo.

Na mafisadi papa nao hawataweza kujisafisha kwa kuita press conference na kukimbilia TAKURURU - ingekuwa rahisi namna hiyo Richomnd ingekuwa safi kama theluji. Sasa twasubiri TAKURURU imfungulie mashtaka Mengi kwa niaba ya Rostam wakati huko mahakamani kesi nyingine inaendelea - Mengi dhidi ya Rostam.

Amandla...

Rostam alitaka kuikwepa mahakama lakini kwa vyovyote vile kila kitu kinaonekana kitaishia mahakamani - sasa sijui wengine mnatakaje. Rostam alililia wembe na yaonekana akapewa, je atapona kukatwa ? Ninaowahurumia ni vikaragosi wanaocheza ngoma wasioijua na wala hawana habari na sehemu wanapokanyaga.
 
Mag3,

Una ni-disappoint Mkuu. Hiyo kesi aliyoifungua Mengi dhidi ya Rostam inahusu vipi shutuma zake juu ya ufisadi wa Rostam? Yeye pengine ameenda (kama kafungua kweli) kulalamikia kukashifiwa na si masuala ya Kagoda. Rostam kupeleka vielelezo vyake Takukuru hakumzuii kufungua kesi dhidi ya Mengi. Au kuomba kuunganishwa katika kesi ambayo Manji ameishafungua dhidi ya Mengi.

Huyo Mengi mnaemshabikia amekuwa makini katika kutokumhusisha Rostam na shutuma zozote za ufisadi papa zaidi ya kumuita fisadi papa. Kama kweli ana ushahidi wa huo ufisadi papa wa Rostam kwa nini asiseme tu kuwa Mheshimiwa Rostam amehusika hapa na hapa katika kuhujumu uchumi wa nchi yetu? Kigugumizi cha nini? Ati anangoja hadi apelekwe mahakamani ndiko akatoe ushahidi huo wakati akijitetea. Umemshika mwizi, halafu unadai hadharani kuwa unahisi umeibiwa na fulani! Jamaa anapouchuna, unalalamika kwa watu ati kwa nini hajaenda mahakamani kukushtaki ili utoe ushahidi kuwa amekuibia! Ebo! Are we really serious?

Rostam lazima alijua kuwa Mengi ataenda mahakamani. Na anajua mashtaka ya Mengi hayatamnyima usingizi maana yatakuwa ni ya kulalamika kuharibiwa jina tu. Mashabiki mtaachwa tena kwenye mataa.

Mimi sisemi kuwa Rostam ni msafi. Ninachosema ni kuwa kwa mwendo huu hatufiki popote. Mwenye ushahidi dhidi ya Rostam akafungue mashtaka dhidi yake badala ya huu mchezo wa kitoto. Huyo ndiyo kweli atakuwa shujaa, Si huyu Johnny-come- lately Mengi!

Amandla.....
 
Na baada ya kutuelimisha juu ya nguvu za ajabu za huyu DPP anaendelea kusema kwamba watuhumiwa wakubwa wa ufisadi hawajachunguzwa wala kufikishwa mahakamani licha ya ushahidi kutolewa kwenye vyanzo mbalimbali

Anaconclude kwamba DPP ni muoga na mzembe sana.

We unaonaje ukweli wa analysis ya Mwanakijiji?

Wapi aliposema DPP ni muoga na mzembe sana?
 
Mag3,

Una ni-disappoint Mkuu. Hiyo kesi aliyoifungua Mengi dhidi ya Rostam inahusu vipi shutuma zake juu ya ufisadi wa Rostam? Yeye pengine ameenda (kama kafungua kweli) kulalamikia kukashifiwa na si masuala ya Kagoda. Rostam kupeleka vielelezo vyake Takukuru hakumzuii kufungua kesi dhidi ya Mengi. Au kuomba kuunganishwa katika kesi ambayo Manji ameishafungua dhidi ya Mengi.

Huyo Mengi mnaemshabikia amekuwa makini katika kutokumhusisha Rostam na shutuma zozote za ufisadi papa zaidi ya kumuita fisadi papa. Kama kweli ana ushahidi wa huo ufisadi papa wa Rostam kwa nini asiseme tu kuwa Mheshimiwa Rostam amehusika hapa na hapa katika kuhujumu uchumi wa nchi yetu? Kigugumizi cha nini? Ati anangoja hadi apelekwe mahakamani ndiko akatoe ushahidi huo wakati akijitetea. Umemshika mwizi, halafu unadai hadharani kuwa unahisi umeibiwa na fulani! Jamaa anapouchuna, unalalamika kwa watu ati kwa nini hajaenda mahakamani kukushtaki ili utoe ushahidi kuwa amekuibia! Ebo! Are we really serious?

Rostam lazima alijua kuwa Mengi ataenda mahakamani. Na anajua mashtaka ya Mengi hayatamnyima usingizi maana yatakuwa ni ya kulalamika kuharibiwa jina tu. Mashabiki mtaachwa tena kwenye mataa.

Mimi sisemi kuwa Rostam ni msafi. Ninachosema ni kuwa kwa mwendo huu hatufiki popote. Mwenye ushahidi dhidi ya Rostam akafungue mashtaka dhidi yake badala ya huu mchezo wa kitoto. Huyo ndiyo kweli atakuwa shujaa, Si huyu Johnny-come- lately Mengi!

Amandla.....

a. Mtu anapotoa tuhuma ni nani kisheria ana jukumu la kukusanya ushahidi, kuuchambua na kuona kama ni relevant kwenye kesi?

b. Mengi hajasema ameibiwa na Rostam au kwamba Rostama amemdhulumu kwenye jambo fulani binafsi, kazungumzia kitu kinaitwa "taifa". Sasa serikali inaweza kuja na kusema kuwa serikali haijabiwa kwa hiyo the allegations kuwa kuna mwizi are baseless and unfounded. Serikali inaweza kumaliza.

c. Kama serikali inajua kuwa kuna wizi umetokea na kuna watu wanatajwa kuhusika na wizi huo, ni jukumu la serikali kufanya uchunguzi na kuamua siyo kukaa pembeni na kusema mwenye ushahidi wa wizi atuletee!?

d. Mfano mzuri ni kesi za EPA majina yaliyotajwa na madai yaliyotolewa ya EPA yameandikwa mara nyingi na watu kadhaa walitajwa. Hakuna mahali serikali ilisema kina Slaa walete ushahidi ili uchunguzi ufanyike, waliangalia uzito wa tuhuma na vidokezo vya ukweli wa tuhuma hizo (tarehe, akaunti namba, majina ya watu n.k). Ni serikali ikaamua kuunda Tume ya Mwanyika kufanya uchunguzi wa tuhuma hizo na ni wao ndio walioenda kukusanya ushahidi wa tuhuma hizo na ni wao waliowafikisha mahakamani. Dr. Slaa wala wengine waliotoa tuhuma hizo hawajatajwa kuwa ni mashahidi!

Kwanini linapokuja la Rostam tunataka Mengi ndiyo alete ushahidi wakati tunayo precedence ya jinsi gani tuhuma kama hizi zimeshughulikiwa na serikali?

e. Kama Mengi amedai kuwa yeye ndiyo kaibiwa (binafsi) au kampuni yake basi ni wazi kuwa ni vizuri kuwapa Polisi mahali pa kuanzia (waoneshe nyumba iliyoibiwa, kilichoibwa, n.k). In this case, it is not personal or is it?
 
Back
Top Bottom