Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana i am wrong lakini jina lenyewe linamaanisha solutions za ki utawala..So labda ni utawala wa kibiashara ama serikalini i don't know...Ila kifupi solutions wanazo wao nadhani na ccm wana solutions nyingi tu nadhani.
Sasa solution ya EPA sijui ilikuwa vipi.
13.
COMPANY NAME: Njake Hotels Ltd
Shareholders and Directors: Jeetu Patel, Devendrabhai Patel, Metul Patel, Bharat Patel Vimal Mehta
Related Company: Noble Azania Investments
Office Location: Block 27 Plot No. 61-61 Bibi Titi Road
Residence Address: Plot No. 1413 Msasani Penninsula
Mkuu,Mkuu Invisible:-
It's been long time since i last appeared in JF, but hope all in order..Just quick note here in below;
Njake Hotels and Tours Ltd
Share holders are:- Japhet Laiyandumi Lea, Anna Japhet Lema, Abel Japhet Lema, Derick Japhet Lema na Bernard Japhet Lema.
Location: Arusha-Head office Mianzini (Arusha-Moshi road)
Ps: In BOT scandal huyu Elisifa Ngowi (Ofisa Usalama wa Taifa) is in the list of Clayton Marketing Limited.
Bye for a while..
Jitu Tapeli (Jeetu Patel) kweli katumaliza. Huyu alitiwa ndani na Baba wa Taifa. Lakini mbona hatujifunzi? Watanzania tuamke na kuipenda nchi yetu. Akina Jitu Tapeli wanaua maendeleo yetu....Kwa fedha zetu wenyewe anatembeza sumu kwa viongozi wetu...Jamani sasa basi....Ya Kagoda ndio sisemi...yaani nasikia hata BRELA wamepoteza faili.. upumbavu gani huu wa kusajili kampuni bila kuhakikisha anuani na wanahisa.. Akaunti ilikuwa inaendeshwa na nani? Ebo.. tumechoka kunyonywa..
Mkuu,
Nimefurahi kwa marekebisho yako na natumaini wahusika ujumbe unawafikia.
BTW: Kama kuna mdau anaweza kusaidia juu ya hii namba ya simu iliyo kwenye hii doc (kwa sasa amepewa mtu mwingine hivyo do not ring) tupate who was owning that landline number.
![]()
Invisible,
Shirika la simu linaweza kabisa kujua ni nani aliyekuwa mmiliki wa namba hiyo mwaka 2000.
http://www.ttcl.co.tz
TTCL online directory haina hiyo namba labda kama nimesearch vibaya
Mama nadhani kuna wateja wengine huwa hawataki namba zao ziorodheshwe kwenye directory, lakini kama ikibidi watoe ushahidi kuhusu ni nani aliyekuwa mmiliki wa namba hiyo basi watakuwa hawana jinsi. Wasi wasi wangu ni kwamba jina la mmiliki wa namba hiyo linaweza kuwa ni jina hewa.
Huyu atakuwa alitumika tu na hela hana......... patamu hapo !!!!!!! unaweza kukuta dili zote hizo yeye labda alipewa$50, 000 akamalizia kanyumba kake halafu basi tena
Sidhani serikali inataka ushahidi halisi ujulikane. Subiri uone.Hili linawezekana kabisa. Lakini kama anayajua mengi kuhusiana na wizi wa EPA kwanini serikali isimtumie ili kupata ushahidi dhidi ya wahusika na yeye kupunguziwa adhabu yake? Hili linafanyika katika nchi nyingi tu. Serikali iharakishe kupata ushahidi toka kwake kabla hajapoteza uhai.
Hili linawezekana kabisa. Lakini kama anayajua mengi kuhusiana na wizi wa EPA kwanini serikali isimtumie ili kupata ushahidi dhidi ya wahusika na yeye kupunguziwa adhabu yake? Hili linafanyika katika nchi nyingi tu. Serikali iharakishe kupata ushahidi toka kwake kabla hajapoteza uhai.
Hili linawezekana kabisa. Lakini kama anayajua mengi kuhusiana na wizi wa EPA kwanini serikali isimtumie ili kupata ushahidi dhidi ya wahusika na yeye kupunguziwa adhabu yake? Hili linafanyika katika nchi nyingi tu. Serikali iharakishe kupata ushahidi toka kwake kabla hajapoteza uhai.