Regime change ni njozi nzuri, haitimiliki sasa. Kuna vitu ambavyo tunaviweza sasa na hili naamini linawezekana sasa. Ideally, nakubaliana na wewe kabisa lakini realistically we have to do something now kuliko kuombea mvua jangwani.
Tatizo siyo kwamba ndoto haitimiliki, watu wamepeleka mtu mwezini itakuwa kuiondoa CCM katika nchi yenye umasikini kama Tanzania? Tatizo strategy hamna, hamna upinzani, watu hawajaelimika, umasikini umetawala mpaka inatisha, hata alternative ya kuchukua nchi hamna, haya ndiyo matatizo.kwa hiyo lets focus kujenga a strong opposition CCM inatusaidia yenyewe kujiengua, otherwise tunacheza kama unavyosema.Lakini I would rather advance slowly than give up.
utawatoa vipi na utamweka vipi na kutoka wapi huyu mtu 'mwenye intergrity'?
Kikwete anatolewa na ethical propaganda zitakazowafungua watu macho.Wapinzani wana mpango gani wa kuanzisha vituo vya televisheni vya kanda na kuonyesha TV bure kwenye public places? Vipi kuhusu vijarida? Vipi kuhusu kufanya a permanent campaign ambayo ina lengo la kuzidisha wanachama na wapiganaji wake vijijini? Vipi kuhusu kuwa na uongozi unao inspire watu? Vipi kuhusu kusambaza kanda za hotuba? Wapinzani wetu wanafanya yote wanayotakiwa? Vipi move ya kubadili katiba na kuwa na tume huru ya uchaguzi, sisikii kitu.Kuna mengi sana ya kuvalia njuga ambayo hayajafanywa kiasi siamini mtu akisema "regime change is out of the question" tatizo letu tuko softies, hatujui guerilla warfare, tumepewa uhuru on a silver platter, kutoka hapo tumekuwa bulldozed literally na Nyerere na hatukusema kitu.Too weak to act, too docile to protest, too quick to proclaim we can't.
Watu wenye integrity wapo kibao Tanzania, wameshikwa na the Socratic curse, those who are able and of the right integrity to run this country, seeing the political machinations required to engage in this reality TV show like drama, choose not to, those who choose to dive in it lack the necessary integrity and competence.Lakini wako no names kibao middle level bureaucrats wana toil kila siku, huwasikii hata kupewa credit.
Ndiyo maana Eda Sanga alipomuuliza Nyerere (paraphrasing) "Mwalimu, mbona sifa ulizozitaja mtu huyo Tanzania kama hayupo" Nyerere alimwambia katika nchi ya watu almost milioni 40 kusema mtu huyu hayupo ni matusi.Nyerere angeweza kusema "katika NEC...." AU "Katika uongozi wa CCM...." lakini hakusema hivyo, alisema "katika nchi ya almost 40 million people..."