William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
- Uamuzi wa kurudisha pesa zilizoibiwa uliamuliwa na wanasiasa wetu kutokana na kuelewa mazingara magumu ya kupatikana haki kwenye mahakama zetu, kwa kuzingatia kwamba walioiba walikuwa na pesa nyingi sana za kuweza kuhonga ili kuachiwa na sheria, ingebidi serikali iwakamate wote kwa mara moja na kuwafikisha kwenye mkono wa sheria, wangehonga na wote kuachiwa huru,
- Kuepuka hili ikaamuliwa wapewe muda wa kurudisha, hiki sio kitu cha kujivunia kwa serikali na binafsi nina tatizo na this idea kwa sababu ni kui-encourage wezi kuendelea kuiba, lakini pia ninajaribu ku-struggle na the whole idea ambayo ni samba samba na mazingara yetu. Kunahela zilizorudishwa kwa taifa regardless of what is being said here kwa sababu sometimes ndio political correctness na kukubalika hapa JF yaani kukataa tu ukweli.
- Is this all what our government ingeweza kufanya, no! Je rais aache shuguli za kuendesha taifa na kushinda mahakamani kuhakikisha sheria inafuatwa, hapana! sasa what do we do na ishus kama hizi, I do not know!, lakini as much as viongozi wetu wana matatizo, na sisi wananchi huenda tunachangia sana haya matatizo kwa sababu rais wa jamhuri hawezi kwenda kwenye mahakama zetu kusimamia sheria, wala kufanya uchunguzi wa crimes against taifa letu, wakuu wa sheria na dola wamebadilishwa wee lakini wapi hakuna hope,
- Ssasa wa kulaumu hapa ni nani hasa viongozi wetu tu? sisi wananchi tu? Au wote yaani viongozi wetu na sisi wananchi pia?
- Kama kawaida yetu huwa tunatoa alternative ideas, au mawazo mbadala katika kujaribu kutafuta jawabu ya matatizo ya taifa letu, ingawa sio popular political stand lakini somebody has to do it na sio siri kwamba most of the times it has to be me, WHY ME? Kwa sababu hatupendi majibu rahisi rahisi on serious ishus, hasa tukizingatia mazingara yetu ya kisiasa na kisheria Tanzania.
Mungu Aibariki Tanzania.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!
- Kuepuka hili ikaamuliwa wapewe muda wa kurudisha, hiki sio kitu cha kujivunia kwa serikali na binafsi nina tatizo na this idea kwa sababu ni kui-encourage wezi kuendelea kuiba, lakini pia ninajaribu ku-struggle na the whole idea ambayo ni samba samba na mazingara yetu. Kunahela zilizorudishwa kwa taifa regardless of what is being said here kwa sababu sometimes ndio political correctness na kukubalika hapa JF yaani kukataa tu ukweli.
- Is this all what our government ingeweza kufanya, no! Je rais aache shuguli za kuendesha taifa na kushinda mahakamani kuhakikisha sheria inafuatwa, hapana! sasa what do we do na ishus kama hizi, I do not know!, lakini as much as viongozi wetu wana matatizo, na sisi wananchi huenda tunachangia sana haya matatizo kwa sababu rais wa jamhuri hawezi kwenda kwenye mahakama zetu kusimamia sheria, wala kufanya uchunguzi wa crimes against taifa letu, wakuu wa sheria na dola wamebadilishwa wee lakini wapi hakuna hope,
- Ssasa wa kulaumu hapa ni nani hasa viongozi wetu tu? sisi wananchi tu? Au wote yaani viongozi wetu na sisi wananchi pia?
- Kama kawaida yetu huwa tunatoa alternative ideas, au mawazo mbadala katika kujaribu kutafuta jawabu ya matatizo ya taifa letu, ingawa sio popular political stand lakini somebody has to do it na sio siri kwamba most of the times it has to be me, WHY ME? Kwa sababu hatupendi majibu rahisi rahisi on serious ishus, hasa tukizingatia mazingara yetu ya kisiasa na kisheria Tanzania.
Mungu Aibariki Tanzania.
Wazee wa sauti ya umeme FMES!