Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
-
- #21
Tumechoka na tume, tume ya ukweli na upatanisho iundwe na nani? ukweli na upatanisho pekee utakaoeleweka ni watu kuenda jela na fedha kurudishwa.
that is not option; unless mumfunge jela Rais wa CCM. That won't happen either. Somehow we have to bring these scandals to some sort of an ending. The legal system itahitimisha baadhi yake tu, lazima tufikirie njia nyingine.
that is not option; unless mumfunge jela Rais wa CCM. That won't happen either. Somehow we have to bring these scandals to some sort of an ending. The legal system itahitimisha baadhi yake tu, lazima tufikirie njia nyingine.
that is not option; unless mumfunge jela Rais wa CCM. That won't happen either. Somehow we have to bring these scandals to some sort of an ending. The legal system itahitimisha baadhi yake tu, lazima tufikirie njia nyingine.
Tell me your just kidding......
Do you want us to believe that a bank robber is innocent simply by returning whatever money (& other properties) he has stolen from a bank?
This is nonsense. And I don't know the motive behind your post.......
Mwanakijiji utafanya watu waamini uko kwenye payroll fulani sasa.
Ni lazima tutafute njia ya kumaliza hii mijadala ya kashfa pamoja na kashfa zenyewe.
Baada ya Afrika Kusini kuingia kwenye utawala wa demokrasia ya kweli waliamua kuunda tume ya Ukweli na Maridhiano chini ya Askofu Mkuu D. Tutu. Ilikuwa ina lengo la kutafuta ukweli wa wote yaliyofanyika chini ya utawala wa kikaburu na kufunua yale ambayo yalikuwa yako kama tetesi. Tume ile ilikuwa na nguvu ya kutoa msamaha au kuagiza hatua zaidi kuchulikuwa. Matokeo yake tunayajua. Ni mwanzo wa uponyaji wa taifa la Afrika ya Kusini.
Rwanda baada ya mauaji ya 1994 wamekaa chini na kuanzisha mfumo wao wa haki za jadi (GACACA) ili kuweza kushughulikia kesi na madai mbalimbali lakini ndani yake ni nafasi ya kupata ukweli, kuomba msamaha, kukubali kuwajibika na hatua za kisheria.
Kenya baada ya mauaji yaliyofuatia uchaguzi wao wa mwaka mmoja tu hivi uliopita wamejikuta wakilazimika kuunda na wenyewe tume ya ukweli na mapatano. Mtindo ni huo huo hata sehemu mbalimbali nyingine duniani. Kumefanyika hizi tume za Ukweli na Maridhiano sehemu mbalimbali duniani kama jinsi ya kumaliza masuala muhimu ya kitaifa ambayo yana maumivu, uhalifu, hisia, na machungu mengi. Kuanzia Marekani, Canada, Chile, Liberia, Argentina, Sierra Leone n.k tume hizi zimekuwa na umuhimu mkubwa sana.
Kwanini Tanzania tusifikiri tume yetu ya Ukweli na Maridhiano iundwe?
Ni lazima tutafute njia ya kumaliza hii mijadala ya kashfa pamoja na kashfa zenyewe.
Baada ya Afrika Kusini kuingia kwenye utawala wa demokrasia ya kweli waliamua kuunda tume ya Ukweli na Maridhiano chini ya Askofu Mkuu D. Tutu. Ilikuwa ina lengo la kutafuta ukweli wa wote yaliyofanyika chini ya utawala wa kikaburu na kufunua yale ambayo yalikuwa yako kama tetesi. Tume ile ilikuwa na nguvu ya kutoa msamaha au kuagiza hatua zaidi kuchulikuwa. Matokeo yake tunayajua. Ni mwanzo wa uponyaji wa taifa la Afrika ya Kusini.
Rwanda baada ya mauaji ya 1994 wamekaa chini na kuanzisha mfumo wao wa haki za jadi (GACACA) ili kuweza kushughulikia kesi na madai mbalimbali lakini ndani yake ni nafasi ya kupata ukweli, kuomba msamaha, kukubali kuwajibika na hatua za kisheria.
Kenya baada ya mauaji yaliyofuatia uchaguzi wao wa mwaka mmoja tu hivi uliopita wamejikuta wakilazimika kuunda na wenyewe tume ya ukweli na mapatano. Mtindo ni huo huo hata sehemu mbalimbali nyingine duniani. Kumefanyika hizi tume za Ukweli na Maridhiano sehemu mbalimbali duniani kama jinsi ya kumaliza masuala muhimu ya kitaifa ambayo yana maumivu, uhalifu, hisia, na machungu mengi. Kuanzia Marekani, Canada, Chile, Liberia, Argentina, Sierra Leone n.k tume hizi zimekuwa na umuhimu mkubwa sana.
Kwanini Tanzania tusifikiri tume yetu ya Ukweli na Maridhiano iundwe?
Hapa tunachohitaji ni regime change, kuunda tume itakayotoa haki kwenye hili ni sawa sawa na kutaka kuli uproot mansion kutoka ndani yake, bila vifaa.
Huwezi kuwafanya kina Kikwete wajipe msamaha au kutoa haki, hawawezi kufanya neither.
Unahitaji kuwatoa kwanza, uweke mtu mwenye integrity, halafu ndio tutaendelea na mengine.
Na hakika hakuna atakayepona baada ya wajinga kuamka. Kwa hiyo suluhu ya hizi kashfa zote ni kusubiri wananchi waamke ili watoe hukumu isiyokatiwa rufaa hata mbinguni. Wataamka lini na wataamshwa na nani ndiyo kazi tunayotakiwa kuongelea.
Unaona dalili zozote za kuamka? na Watanzania wana muda gani wa kusubiri waamshwe!?
Regime change ni njozi nzuri, haitimiliki sasa. Kuna vitu ambavyo tunaviweza sasa na hili naamini linawezekana sasa. Ideally, nakubaliana na wewe kabisa lakini realistically we have to do something now kuliko kuombea mvua jangwani.
Sijasema composition ya hiyo tume iweje. Sidhani kama Kikwete akisikia the full proposal ataipenda tume pia.
utawatoa vipi na utamweka vipi na kutoka wapi huyu mtu 'mwenye intergrity'?
Regime change ni njozi nzuri, haitimiliki sasa. Kuna vitu ambavyo tunaviweza sasa na hili naamini linawezekana sasa. Ideally, nakubaliana na wewe kabisa lakini realistically we have to do something now kuliko kuombea mvua jangwani.
utawatoa vipi na utamweka vipi na kutoka wapi huyu mtu 'mwenye intergrity'?
MKJJ nadhani kama unavyodhani kuwa ni vigumu kwa regime change ndivyo basi itakavyokuwa ngumu zaidi kuwa na tume ya maridhiano. Hayo maridhiano unayosema muuondo wake ndio huo umekuwa ukizuia mabadiliko ya kweli Tanzania. Mimi ninachokiona ni kuwa Tanzania hatujapata viongozi wa kuendesha harakati za kubadilisha hali ya mambo. Tunahitaji sasa kama taifa kuanza mbio za kuishinikiza serikali ichukue hatua na kuwawajibisha wote, hata kwa kulala barabarani nk. Hatuwezi kuwa tunaelewa na taarifa zote ziko wazi lakini hatuchukui hatua, haya ni makosa makubwa, taarifa zote za wote wanaohusika zipo, lakini hakuna anae jali, hiyo tume itakuwa ya nini kama hakuna anaeona yote haya? Sioni kabisa hiyo tume itakuwa ya kumsuluhisha nani.
Tume zimeundwa nyingi, ikiwepo hata ya ccm na cuf ambazo baadae hazikuleta matunda yoyote, mimi naona watu waendelee tu kama ilivyo kupigana hivi hivi na chuki ya wananchi itakapokuwa basi watakuwa na haja ya kudai nao watawala wataona, lakini watakuwa wamechelewa!
Mimi wakati mwingine nafikiri kuwa watanzania walinyimwa elimu ii waweze kutawaliwa, ndio! sasa tuseme je? wote si ndio waliojimilikisha rasilimali zote za nchi?