Kama kawaida Simba kashachagua kipozeo baada ya show
KwaMalaya kwanza msanii mwanamuziki wa kizazi kipya diamond platnumz
Amefanya shoo ya maana mjini kahama
Toka ameanza biashara ya muziki diamond hajawahi kufanya shoo nzuri kama ya leo mjini kahama
Kwakweli tumeridhika na tunaomba zile shoo za kitoto za kuruka ruka na kupayuka waachie wakina mboso
Watu wamekula karamu za eid leo wewe upo kwenye daku?Asante mama!!
Najua unasubiri daku
Sikuwahi fikiri mbongo anaweza fanya shoo ka hiii...Hii shoo ni noma
Watu wamekula karamu za eid leo wewe upo kwenye daku?
Umechelewa jamvini...
We! unataka kuanza na nani usiku huu!!?We ni ke au me? Naomba tuanzie hapo, samahani lakini
Wengine hawajaanza bado wanakula Eid.Tumeanza sita mama
Ndio wanakula mpaka usiku wa manane!?Wengine hawajaanza bado wanakula Eid.
Hata ulichokisoma hukielewi.Inatosha, naona nyundo imekuwa nzito kichwani! Nimekugnga utosini!
Wasile?Ndio wanakula mpaka usiku wa manane!?