Kahama: Mwalimu wa Madrasa amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kulawiti watoto 10

Kahama: Mwalimu wa Madrasa amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kulawiti watoto 10

The Assassin

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2018
Posts
4,942
Reaction score
20,077
Kahama Shinyanga mwalimu wa Madrasa amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kulawiti watoto wadogo wa kiume 10 aliokua anawafundisha kwenye msikiti.
 
Aisee hawa watu nadhani waanze kuhasiwa au kukatwa nyeti ndio akili zitawarudia,
 
Wakijitingisha si ndiyo watatoa ushirikiano!
Kwa waislamu mwalimu wa madrasa ana nguvu kuliko mzazi hivyo watoto huwaogopa zaidi walimu wa madrasa kuliko wazazi.

Ukikutana na huyo mwalimu wa madrasa anavyoongea kiarabu utafikiri ni mdogo wake na mtume.

Hizi dini za kitapwli zinaharibu kizazi kijacho.
 
Ni kawaida yao, wala haishangazi...wanaita Sunna au Mambo ya pwani.
 
Kahama Shinyanga mwalimu wa Madrasa amekamatwa na polisi kwa tuhuma za kulawiti watoto wadogo wa kiume 10 aliokua anawafundisha kwenye msikiti.

Waislamu mna nini lakini? Kila siku mnazibuana chemba tu🤮🤮
 
Back
Top Bottom