TANZIA Kahama: Mwenyekiti wa Wazazi (CCM) kata ya Ulowa ajiua kwa kujipiga risasi

TANZIA Kahama: Mwenyekiti wa Wazazi (CCM) kata ya Ulowa ajiua kwa kujipiga risasi

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.

View attachment 2743258

Credit: ITV
Huyu na mwenye jina kama hilo la mwisho nae wa ccm geita mwenye "mpunga" mrefu ni ndugu au ndio huyu huyu?
 
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.

View attachment 2743258

Credit: ITV
Hapo kuna kujiua, alafu kuna madhambi tu ya kuwa mwana CCM., Jamaa ana kazi huko aendako, Mungu amhurumie
 
Kama namiliki bunduki halafu nawazia kujiua naenda uswazi kwetu nafyatua vibaka wawili watatu kisha najifinish na mimi.

Ila kusema kweli ikifika stage namiliki bunduki kujiua kutanisamehe
 
Kazi
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.

Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.

View attachment 2743258

Credit: ITV
Kazingua sana,
Y kajiua pekee yake?

Bora angelifanya hivyo akiwa kwenye kikao na risasi ikapitia wengine kadhaa.
 
Jambawazi kajiuwa!.

Wenzake wanazitumia kujimwambafy mtaani yeye kaona ajijaribu nayo?sumu haionjwi nadhani alilisahau hilo
 
Kama namiliki bunduki halafu nawazia kujiua naenda uswazi kwetu nafyatua vibaka wawili watatu kisha najifinish na mimi.

Ila kusema kweli ikifika stage namiliki bunduki kujiua kutanisamehe
Inasemekana wanaojiua ni waoga kupambana na hali zao 😅🙏

Surviving for the fittest !! Mwanaume hajiui huwa anapambana mpaka tone la mwisho !! 🙏🙏
 
Back
Top Bottom