mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,916
- 8,630
Kweli apumzike anapostahili 🙏Apumzike anapostaili. Amin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli apumzike anapostahili 🙏Apumzike anapostaili. Amin
Mbona umeguna?Duh !
MapenziShida ni nini hasa kwa Mwenyekiti wa CCM mpaka kufikia hiyo hatua ya kujitoa uhai?
Huyu na mwenye jina kama hilo la mwisho nae wa ccm geita mwenye "mpunga" mrefu ni ndugu au ndio huyu huyu?Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.
View attachment 2743258
Credit: ITV
Kama kajitoa uhai mwenyewe, kamwe hawezi kuwa mzima tenaShida ni nini hasa kwa Mwenyekiti wa CCM mpaka kufikia hiyo hatua ya kujitoa uhai?
Hapo kuna kujiua, alafu kuna madhambi tu ya kuwa mwana CCM., Jamaa ana kazi huko aendako, Mungu amhurumieMwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.
View attachment 2743258
Credit: ITV
Parasite 🦠 !! 😱Mbona umeguna?
CCM wamegeuka kuwa parasites dhidi ya Nchi yangu pendwa Tanzania.Parasite 🦠 !! 😱
Itakuwa amekereka kuona afande le mwanasharia Lissu akizidi kupasua anga kwahiyo kaona atangulie kabla ya aibu itakayomkuta 2024 na 2025Kama anapinga mkataba mbovu wa DP WORLD ajengewe mnara pale makao makuu ya CCM Dodoma na sanamu yake iwepo pale geti kuu la bunge.
Kazingua sana,Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ( CCM) kata ya Ulowa wilayani Kahama mkoani Shinyanga, Safari Manjala amejiua kwa kujipiga risasi shingoni asubuhi ya leo.
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga limethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambalo chanzo chake hakijajulikana.
View attachment 2743258
Credit: ITV
Inasemekana wanaojiua ni waoga kupambana na hali zao 😅🙏Kama namiliki bunduki halafu nawazia kujiua naenda uswazi kwetu nafyatua vibaka wawili watatu kisha najifinish na mimi.
Ila kusema kweli ikifika stage namiliki bunduki kujiua kutanisamehe