Hehee subiri october. Mtalala na viatu.Huna lolote wewe umebaki nyuma ya keyboard tu ass mkubwa!
@BAK mkuu wangu! Haki ya nani CCM inaondoka mwaka huu. Kwa hiari au kwa shari!Wameingiwa woga mkubwa maccm. Hawaamini kile chama walichodai kimeshakufa kuvuta kuwa na uwezo wa kuvuta umati mkubwa kama huu.
Utalala wewe na mabox yako huko! Hata hutatia mguu hapa bongo!Hehee subiri october. Mtalala na viatu.
Uache kujificha kwenye sketi za polisi.Continue to smoke your mbanje.
October 29/ 30 Jeshi litamshangaza.....anatumaini litamwokoa? Akishindwa tu piga chini. Hakuna swalia mtume hapa.Kuota mchana kubaya! Huyu sio Trumpet wenu!
Hayo utajaza mwenyewe,endeleeni uleta ufala na majibu yake mtayapata ipasavyo!Utabaki huko huko ukibeba mabox na kubaguliwa na kuitwa nyani.
Tz ni home men! Tar 28 napanga pipa kujua kupiga kura mchana kweupe.Utalala wewe na mabox yako huko! Hata hutatia mguu hapa bongo!
Ameshatapata kwanza alileta dharau alipoingia madarakani akajifanya yeye ndio kila kitu. Sasa hivi wananchi wamemkataa kila mahali.Hayo utajaza mwenyewe,endeleeni uleta ufala na majibu yake mtayapata ipasavyo!
Mbona Dr slaa na lowassa walikuwa wanasindikizwa?Violence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Huna hoja wewe, naku-ignore officially.October 29/ 30 Jeshi litamshangaza.....anatumaini litamwokoa? Akishindwa tu piga chini. Hakuna swalia mtume hapa.
Utalala wewe na mabox yako huko! Hata hutatia mguu hapa bongo!
Wewe uko wapi? Nyani heshi kuficha kundule!Uache kujificha kwenye sketi za polisi.
Wewe kama kidume hebu ulete fyoko zako mbele ya watu waliovurugwa na hilo lichama lako!
Utanyoroshwa mpaka unye!
Endelea kujificha kwenye sketi za polisi! Usitoke humo!
Strategy ya "saccos" baada ya kuona wanashindwa sasa ni ku discredit kampeni za uchaguziViolence Alert Tanzania Election
"Tunapigwa mabomu nje ya hotel ya Gaprena Kahama, kwasababu watu wamesindikiza gari na hawataki KUONDOKA"
Inadaiwa Mtu mmoja amepigwa mguuni na risasi ya moto.
Aliyepigwa risasi alikuwa mpita njia, anafahamika kwa jina la Kiwasha Masele.. Anapelekwa Hospitalini
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano CHADEMA, Tumaini Makene ameandika hivi; Very sad! Polisi Kahama, wanatumia silaha, yakiwemo mabomu kuwatawanya wananchi wa mji huo waliokuwa wanamsindikiza kwa amani Mgombea Urais wa JMT wa CHADEMA Mhe. Tundu Lissu kwenda hotelini baada ya mkutano wa kampeni alioutumia kuwasalimia maelfu ya wanaKahama!
Hehee lazima leo ulale na stresHuna hoja wewe, naku-ignore officially.
Tusubiri 28/10/2020 bado siku 15 tu.View attachment 1598242kuna wasi wasi hata viongozi ndani ya ccm hawataipigia kura.
Imekataliwa kila mahali.
Ugua pole.Wewe uko wapi? Nyani heshi kuficha kundule!
I ignore you officially.
Duuh sasa wanavyokusanyika hapo wanataka nini kitokee.
Lissu Leo amehutubia mikutano kama sita na yote ilikuwa salama. Sasa huyu OCD wa kahama anatafuta sifa dakika za lalasalama kwanini ?!. Mbona Cdm hawana fujo ?!Nawapongeza polis kwa kazi nzuri ya kusimamia amani
Kwani inawezekana wote kulala hapo ??Acha UFINYU wa akili! Kwani kukusanyika mahali popote pale Nchini ni kuvunja sheria? Tangu lini!?
Kazi yako ngumu sana we binadamKwani inawezekana wote kulala hapo ??
Maana ni nyumba ya wageni halafu wapo wengi.
Bora wamelazimishwa kila mtu akalale kwake.