Hii miji Ina fahamika vizuri mno ukuaji wa mafinga haiwezi kuikuta kahama kwa Nini haiwezi mafinga mji unakuwa upande mmoja upande mwingine umeathiriwa na jeshi na msitu wa Sao hill na bado mafinga inaathiriwa na ujirani wa miji ya iringa na makambako mfano ukiangalia saizi ukitoka iringa mjini hadi ifunda tayar kunashamiri makazi na wanategemea huduma iringa bado ukanda ilula wanategemea iringa , ukija nyororo ,igowole hadi makambako nako wategemea huduma makambako hadi mbarali huduma nyingi wanategemea makambako ko haya maeneo lazima yatakuwa zaidi wakati mafinga maeneo wanayo yategemea ni Jimbo la mufindi kaskazini na madibila na hata ukiangalia utaona jinsi Gani iringa inavyowaathir tayari wameweka daladala za kutosha za stend kuu iringa to mafinga ko hapo ujue iringa imejipanga kuwa jiji HiYo ishu ni sawa ilivyo mkoa wa songwe na njombe na shinyanga ila mafinga iringa tayari imewazidi ujanja hamna namna