MBEBA MAONO KAJA
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 365
- 195
Njombe Ina hadhi ya mkoa so hata maghorofa ya serikali Ni mengi, Kahama Ni wilaya kabla haijasemwa municipal, maghorofa binafsi yapo na nimeyaona though hayawezi lingana na Njombe, kiuchumi wa BIASHARA zenye mzunguko Kahama ni kitu kingine kabisa na itakuwa jiji soonerKahama ingekuwa mjini si tungeona magorofa kushinda Njombe? Kahama ni kijiji kikubwa cha wachuuzi
Wivu tuVigezo vya kuupa mji hadhi ya Manispaa au jiji kwa bongo ni hovyo kabisa imagine mji wa hovyo hovyo kama kahama eti nao ni manispaa ,hivi ni vichekesho
Huwezi linganisha Kasulu na Kahama unless una chuki zako binafsiJust imagine watu wanashindia viporo yaani ni aibu eti Magu ndio anaita Mnispaa kisa home si bora hata Kasulu ingekuwa Manispaa
Huko kufikia nchi jirani ndio potential ya Kahama ambayo Njombe Hana,so usibeze... Nchi zinazopita hapo si haba yaani.Njombe ni promising town hakuna wa kuhama ila kuhamia kutoka else where,Huyo mwarabu hapo anajaribu kufanya kitovu cha kuzifikia nchi jirani
Maghorofa mapya yanayojengwa Kahama just year end 2020 mpaka Sasa plus new petrol stations Ni more than ten, hayo yanaonekana liveKidogo umeongea point but huo mji wenu ukiendelea kubaki hivyo bila kujengwa majengo ya ghorofa utazidi kudharauliwa maana nakumbuka hata Mbeya City ilikuwa haina hata gorofa marefu ya ku justify City stutus kibongo bongo watu wakawa wanaita Kijiji kikubwa but nowdays is changing na majengo marefu yanajengwa both na government na private sector
Ilikuwa ni ngumu sana kukuta jengo hata la ghorofa 6 Mbeya lakini kwa sasa sio story tena bali stori ni lini floor zaidi ya 10 zitaanza kujengwa,so hata huko Kahama lazima muonesha muscles za kuwa Municipal na sio porojo tuu.
Hahahahhahah, aseeeh ila wewe ubongo kuwa karibu na makalio kumekuathiri pakubwa mnoooo!!Majengo pekee hayafanyi Sekou Toure hospital iwe na hadhi sawa na Hospital ya Kanda ya kibingwa.
Nadhani umemsikia DM wa afya hapo kwamba wanataka huduma za zinazotolewa Muhimbili au Mlonganzila ziweze kupatikana Mbeya.
Ukiacha hilo Hospital ya Kanda ya Rufaa Mbeya ni Mbeya College of Allied Sciences ya UDSM na pika kuna research centre ya NIMR hapo na Chuo cha Tiba za kibingwa za Kinywa na Meno
Kana kwamba haitoshi Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya iko njema kuliko hata hiyo Sekou Toure na bado ziko regional hospital mpya za Songwe na Njombe.
Sasa mkuu, Hutu tumajengo, ndio unataka kucompare na Geita/Mara Regional Reffaral Hospital kweli!??Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Songwe on progressView attachment 1690908View attachment 1690909
Njombe,Kasulu,Ifakara,Mbinga,Tunduma,Mafinga nk yote hiyo ni zaidi au sawa na Kahama
Njombe hii ambayo mabinti zake wanamiminika Dar kutafuta uhouse girl ndio imestaarabika? Hauko seriousHizo show zinaendana na ushamba na wingi wa washabiki ,,huku Njombe watu wamestaarabika huwezi wakuta kwenye ushamba huo
Huo ndio ukweli mchunguHivi njombe sikuhizi si Mkoa lakini!?? Sasa tunalinganisha vipi Mkoa na Wilaya!??
Au Mimi mwenzenu haya Mambo siyaelewi elewi vizuri kwakuwa GS nlpiga FAFAFA!!
Sujawahi fika Njombe Wala sijui huko makambako!! But First time naingia KAHAMA pale mwanzoni tu naona kile kiwanja Cha ndege karibu na mgodi then yakafata minengo haswaa ya raia kusema kweli Nilihisi naingia Mkoani na sio Wilayani kabisa!!
Kila mji una Fursa zake na ndio zinazofanya paonekane Bora kwa kundi flan la watu wanaoishi Hapo Kama kahama madini, mpunga shughuli za uchuuzi ndio zinaibeba usilazimishe nawao wapasue sijui mbao Mara wasafirishe parachichi na vitu Kama hivyo!!
Japo sapajui njombe Wala huko sijui Tunduma na asili ya mtu ni kuvutia upande wake mimi hata unieleze Nini KAHAMA naona ndio the best na Sizani Hapa TANZANIA kuna Wilaya iliyombali kidogo na makao makuu ya Mkoa iliyojengeka na yenye hadhi ya kimkoa Kama KAHAMA sizani
Nadhan unapafahamu Katoro, panapishana kidogo sana na Geita mjini na hata Kahama
Mnapima story tu humu... Hatujui Kahama nyie ndio wale wa stendi guest mnaondokoa... Kahama HUIJUI ...
Unalinganisha kahama na Katoro!?
Hako kamji ka Katoro watu mnakasema sema Sana kwani kana fursa gani Hadi kuwa maarufu kiasi kwamba unasema panapishana kidogo na hiyo miji ambayo ni mikubwa?
Nyie ni dizaini ya watu wajinga na wasio fikiri vyema la una akili finyu.Haijui Kahama bila shaka, na hata takwimu za nchi kimapato hazitaki, bank kubwa nchini ambazo huwezi zikuta popote zaidi ya kwenye majiji na baadhi ya mikoa pia ziko Kahama, Bado hakubali, achana na mbishi huyo anasumbuliwa na wivu, Kahama Ni next level kiuchumi.
Angefanya Safari apatembelee anapaita pa wachuuzi, wachuuzi wanapanda ndege na kujenga viwanda kwa pesa zao? Wachuuzi Wana miliki migodi na BIASHARA za nchi jirani?
Weka picha za Khm basi wewe unaeijua,hicho ni Kijiji kikubwa nothing else kimejaza maskini tu hapoUnaota. Unaijua Kahama wewe ?
Ishu sio wingi wa housing units au watu bali ubora wa hayo maisha na uwezo wa fursa kugenerate pesa za maana
Mnaweza kuwa wengi lakini maskini wa kutupwa japo kwa masoko ya bidhaa za rejareja huwa yanapenda hivyo tofauti na miji yenye watu wa income kubwa huku utapata sekta ya hotel na real estate zinakuwa kubwa kuliko huko uswahilini.Na hii ndio tofauti kubwa Kati ya Njombe na Kahama ..
But tangu kilimo biashara cha horticulture produce hususani greengold parachichi kianze kushika Kasi huku Njombe kimefanya hata mzunguko wa pesa kuwa mkubwa mjini Njombe tofauti na hapo awali ,,hii sasa inastimulate na other retail businesses ambazo ndio zimetapakaa huko Khm.
Mwisho kadiri Mji unavyofunguliwa kwa miundombinu ndivyo muingiliano unazidi kunoga na tunategemea mambo yatanoga zaidi pindi migodi ya liganga na mchuchuma ikianza plus miradi mikubwa ya mabwawa ya Umeme ya Ruhuji na Rumakali
Kwani umeona majengo yamekamilika? Weka majengo ya hospital ya Geita hapa, Hospital ya Mara ina zaidi ya miaka 40 inajengwa since Nyerere era wakati hayo hapo ya Songwe na Njombe ni miaka 5 iliyopitaSasa mkuu, Hutu tumajengo, ndio unataka kucompare na Geita/Mara Regional Reffaral Hospital kweli!??
Acha kula mapanki na michembe ndugu ndio maana unakuwa na makalio makubwa na outdated mind set ,Ujue nyie watu wa huko Kanda pendwa na Magu mnamapungufu kwenye ngozi zenu na miili màana albino huko,watu wanoongoza magonjwa ya miguu na akili ni huko,kula parachichi na matunda kwa wingi kwa afya ya ubongo wako na mwili.Hahahahhahah, aseeeh ila wewe ubongo kuwa karibu na makalio kumekuathiri pakubwa mnoooo!!
Hiyo hospitali ya rufaa Mkoa wa mbeya ilibidi tuikatae kabisa (UDOM) kufanyia mazoezi baada ya mkataba kuwa na changamoto hiyo MZRH, ikabidi tutafute hospitali yenye viwango ya Mkoa tukapata singida, Yaan wewe jamaa ni mbishi na Ngumbaru kwa kiwango Cha SGR,
Afu kwa Taarifa yako ulivyotaja vyote Mwanza vipo Hiyo NIMRI Mwanza ipo, Sijui Medical College ipo CUHAS na inatoa Hadi Postgraduates, sijui hao UDSM hata wameshaanza kufikiri tu kutoa hapo Mbeya!!
Hapo MZRH ukiondoa maabara yao ambayo Kimsingi niliipenda Japo zote Zina hadhi ya 5 stars Kama BMC wanakitu gani special wanafanya ambacho hata Benjamin Mkapa hospital DODOMA wanafanya ila MZRH hawafanyi, Sizani kama kuna Cancer Wala Cardiology UNIT na za kibingwa zinafanyika hapo Sizani!! Hiyo MZRH ni Sumbawanga regional reffaral hospital yenye hadhi ya kikanda!!
Afu Kama ulikuwa hujui tu Mapanki Yana OMEGA 3 Hii ni fat muhimu Sana inapatikana kwa samaki hasa kichwani amabayo Ni muhimu Sana katika suala zima la ukuaji na kuimarisha Akili!!
Promo ya Njombe inaendelea,,wapi promo ya Khm ? Ni vitasa tuuNjombe bado sana. Hata mpige promo usiku na mchana mnajisumbua tu