Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama ingekuwa mjini si tungeona magorofa kushinda Njombe? Kahama ni kijiji kikubwa cha wachuuzi
Njombe Ina hadhi ya mkoa so hata maghorofa ya serikali Ni mengi, Kahama Ni wilaya kabla haijasemwa municipal, maghorofa binafsi yapo na nimeyaona though hayawezi lingana na Njombe, kiuchumi wa BIASHARA zenye mzunguko Kahama ni kitu kingine kabisa na itakuwa jiji sooner
 
Kidogo umeongea point but huo mji wenu ukiendelea kubaki hivyo bila kujengwa majengo ya ghorofa utazidi kudharauliwa maana nakumbuka hata Mbeya City ilikuwa haina hata gorofa marefu ya ku justify City stutus kibongo bongo watu wakawa wanaita Kijiji kikubwa but nowdays is changing na majengo marefu yanajengwa both na government na private sector

Ilikuwa ni ngumu sana kukuta jengo hata la ghorofa 6 Mbeya lakini kwa sasa sio story tena bali stori ni lini floor zaidi ya 10 zitaanza kujengwa,so hata huko Kahama lazima muonesha muscles za kuwa Municipal na sio porojo tuu.
Maghorofa mapya yanayojengwa Kahama just year end 2020 mpaka Sasa plus new petrol stations Ni more than ten, hayo yanaonekana live
 
Majengo pekee hayafanyi Sekou Toure hospital iwe na hadhi sawa na Hospital ya Kanda ya kibingwa.

Nadhani umemsikia DM wa afya hapo kwamba wanataka huduma za zinazotolewa Muhimbili au Mlonganzila ziweze kupatikana Mbeya.

Ukiacha hilo Hospital ya Kanda ya Rufaa Mbeya ni Mbeya College of Allied Sciences ya UDSM na pika kuna research centre ya NIMR hapo na Chuo cha Tiba za kibingwa za Kinywa na Meno

Kana kwamba haitoshi Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya iko njema kuliko hata hiyo Sekou Toure na bado ziko regional hospital mpya za Songwe na Njombe.
Hahahahhahah, aseeeh ila wewe ubongo kuwa karibu na makalio kumekuathiri pakubwa mnoooo!!

Hiyo hospitali ya rufaa Mkoa wa mbeya ilibidi tuikatae kabisa (UDOM) kufanyia mazoezi baada ya mkataba kuwa na changamoto hiyo MZRH, ikabidi tutafute hospitali yenye viwango ya Mkoa tukapata singida, Yaan wewe jamaa ni mbishi na Ngumbaru kwa kiwango Cha SGR,


Afu kwa Taarifa yako ulivyotaja vyote Mwanza vipo Hiyo NIMRI Mwanza ipo, Sijui Medical College ipo CUHAS na inatoa Hadi Postgraduates, sijui hao UDSM hata wameshaanza kufikiri tu kutoa hapo Mbeya!!


Hapo MZRH ukiondoa maabara yao ambayo Kimsingi niliipenda Japo zote Zina hadhi ya 5 stars Kama BMC wanakitu gani special wanafanya ambacho hata Benjamin Mkapa hospital DODOMA wanafanya ila MZRH hawafanyi, Sizani kama kuna Cancer Wala Cardiology UNIT na za kibingwa zinafanyika hapo Sizani!! Hiyo MZRH ni Sumbawanga regional reffaral hospital yenye hadhi ya kikanda!!


Afu Kama ulikuwa hujui tu Mapanki Yana OMEGA 3 Hii ni fat muhimu Sana inapatikana kwa samaki hasa kichwani amabayo Ni muhimu Sana katika suala zima la ukuaji na kuimarisha Akili!!
 
Hivi njombe sikuhizi si Mkoa lakini!?? Sasa tunalinganisha vipi Mkoa na Wilaya!??


Au Mimi mwenzenu haya Mambo siyaelewi elewi vizuri kwakuwa GS nlpiga FAFAFA!!


Sujawahi fika Njombe Wala sijui huko makambako!! But First time naingia KAHAMA pale mwanzoni tu naona kile kiwanja Cha ndege karibu na mgodi then yakafata minengo haswaa ya raia kusema kweli Nilihisi naingia Mkoani na sio Wilayani kabisa!!

Kila mji una Fursa zake na ndio zinazofanya paonekane Bora kwa kundi flan la watu wanaoishi Hapo Kama kahama madini, mpunga shughuli za uchuuzi ndio zinaibeba usilazimishe nawao wapasue sijui mbao Mara wasafirishe parachichi na vitu Kama hivyo!!

Japo sapajui njombe Wala huko sijui Tunduma na asili ya mtu ni kuvutia upande wake mimi hata unieleze Nini KAHAMA naona ndio the best na Sizani Hapa TANZANIA kuna Wilaya iliyombali kidogo na makao makuu ya Mkoa iliyojengeka na yenye hadhi ya kimkoa Kama KAHAMA sizani
Huo ndio ukweli mchungu
 
Wewe hivi huwa mnakula nini mnashiba kisha mnalinganisha vitu vya ajabu Katoro ni kamji kadogo kenye idadi ya watu wasiozidi 50,000,halafu pamejengwa holela bila mitaa unalinganisha na Geita ambayo kwa sasa tu idadi ya watu ni 280,000 na imeshakidhi vigezo vyote vya kuwa Manspaa bado kutangazwa tu. Hauko seroius.
Nadhan unapafahamu Katoro, panapishana kidogo sana na Geita mjini na hata Kahama
 
Yaani yeye akipita hapo barabarani hapo Katoro anadhani kuna mji wa maana. Jaribu kuingia tu barabara ya kuelekea mbogwe hapo Katoro ndio utajua Katoro ni takataka tu. Usilinganishe Kahama au Geita na hicho kijiji kilichojengwa bila plan sijui hicho kikatoro.
Mnapima story tu humu... Hatujui Kahama nyie ndio wale wa stendi guest mnaondokoa... Kahama HUIJUI ...

Unalinganisha kahama na Katoro!?
 
Haijui Kahama bila shaka, na hata takwimu za nchi kimapato hazitaki, bank kubwa nchini ambazo huwezi zikuta popote zaidi ya kwenye majiji na baadhi ya mikoa pia ziko Kahama, Bado hakubali, achana na mbishi huyo anasumbuliwa na wivu, Kahama Ni next level kiuchumi.
Angefanya Safari apatembelee anapaita pa wachuuzi, wachuuzi wanapanda ndege na kujenga viwanda kwa pesa zao? Wachuuzi Wana miliki migodi na BIASHARA za nchi jirani?
Nyie ni dizaini ya watu wajinga na wasio fikiri vyema la una akili finyu.

Kila Mji una kiini chake cha kukua mathalani akina Kahama na Geita kiini chao ni Migodi ya Dhahabu.

Miji mikubwa kama Joh'barg kiini ni diamond,Dar kiini ni bandari the same to Mombasa and the list goes on

Kwa hiyo hata kwa Njombe kiini chake ni agriculture and forestry industries then hizi sekta zinachochea uanzishwaji wa sekta zingine kadiri Mji unavyo mature.Unaongea as if mashamba and the likes yako Mjini huu ni utoto.

Ulivyokuwepo poyoyo sijui unadhani Njombe hakuna maduka au viwanda kama huko Khm au? Njombe kuna Hadi kiwanda cha kutengeneza lami kwa Mazao ya miti.Njombe imestaarabika toka enzi Khm ni Kijiji tangu wazungu wameanzisha mashamba ya chai,miti na taasisi za elimu na afya since long time .Njombe imekuwa na umeme wa maji miaka mingi kabla ya hicho Kijiji chenu cha wachuuzi cha Kahama.

Ndio maana your life there is shangalabaghala kuanzia settlement patterns and arrangement Hadi quality of life in general..Nimewawekea baadhi ya majengo hapo muoneshe kama hayo huko Kijiji kikubwa cha Khm yet mnaleta blaa blaa.

Narudia KKKT Usharika wa Njombe na Dayosisi ya Kusini wanajenga Hotel hii hapa chini,hicho Kijiji chenu kitaendelea kuona mapicha picha tuu
maxresdefault-1.jpg
 
Njombe bado sana. Hata mpige promo usiku na mchana mnajisumbua tu
Ishu sio wingi wa housing units au watu bali ubora wa hayo maisha na uwezo wa fursa kugenerate pesa za maana

Mnaweza kuwa wengi lakini maskini wa kutupwa japo kwa masoko ya bidhaa za rejareja huwa yanapenda hivyo tofauti na miji yenye watu wa income kubwa huku utapata sekta ya hotel na real estate zinakuwa kubwa kuliko huko uswahilini.Na hii ndio tofauti kubwa Kati ya Njombe na Kahama ..

But tangu kilimo biashara cha horticulture produce hususani greengold parachichi kianze kushika Kasi huku Njombe kimefanya hata mzunguko wa pesa kuwa mkubwa mjini Njombe tofauti na hapo awali ,,hii sasa inastimulate na other retail businesses ambazo ndio zimetapakaa huko Khm.

Mwisho kadiri Mji unavyofunguliwa kwa miundombinu ndivyo muingiliano unazidi kunoga na tunategemea mambo yatanoga zaidi pindi migodi ya liganga na mchuchuma ikianza plus miradi mikubwa ya mabwawa ya Umeme ya Ruhuji na Rumakali
 
Sasa mkuu, Hutu tumajengo, ndio unataka kucompare na Geita/Mara Regional Reffaral Hospital kweli!??
Kwani umeona majengo yamekamilika? Weka majengo ya hospital ya Geita hapa, Hospital ya Mara ina zaidi ya miaka 40 inajengwa since Nyerere era wakati hayo hapo ya Songwe na Njombe ni miaka 5 iliyopita
 
Hahahahhahah, aseeeh ila wewe ubongo kuwa karibu na makalio kumekuathiri pakubwa mnoooo!!

Hiyo hospitali ya rufaa Mkoa wa mbeya ilibidi tuikatae kabisa (UDOM) kufanyia mazoezi baada ya mkataba kuwa na changamoto hiyo MZRH, ikabidi tutafute hospitali yenye viwango ya Mkoa tukapata singida, Yaan wewe jamaa ni mbishi na Ngumbaru kwa kiwango Cha SGR,


Afu kwa Taarifa yako ulivyotaja vyote Mwanza vipo Hiyo NIMRI Mwanza ipo, Sijui Medical College ipo CUHAS na inatoa Hadi Postgraduates, sijui hao UDSM hata wameshaanza kufikiri tu kutoa hapo Mbeya!!


Hapo MZRH ukiondoa maabara yao ambayo Kimsingi niliipenda Japo zote Zina hadhi ya 5 stars Kama BMC wanakitu gani special wanafanya ambacho hata Benjamin Mkapa hospital DODOMA wanafanya ila MZRH hawafanyi, Sizani kama kuna Cancer Wala Cardiology UNIT na za kibingwa zinafanyika hapo Sizani!! Hiyo MZRH ni Sumbawanga regional reffaral hospital yenye hadhi ya kikanda!!


Afu Kama ulikuwa hujui tu Mapanki Yana OMEGA 3 Hii ni fat muhimu Sana inapatikana kwa samaki hasa kichwani amabayo Ni muhimu Sana katika suala zima la ukuaji na kuimarisha Akili!!
Acha kula mapanki na michembe ndugu ndio maana unakuwa na makalio makubwa na outdated mind set ,Ujue nyie watu wa huko Kanda pendwa na Magu mnamapungufu kwenye ngozi zenu na miili màana albino huko,watu wanoongoza magonjwa ya miguu na akili ni huko,kula parachichi na matunda kwa wingi kwa afya ya ubongo wako na mwili.

Back kwenye hoja,lengo la serikali ni kuzifanya hospital za Rufaa za Kanda kutoa huduma za kibingwa ndio maana ilianza na Muhimbili,UDom,Mlonganzila,Bugando,Mbeya na KCMC ko hatua kwa hatua vyote vitakuwepo ndio maana unaona upanuzi wa majengo unaendelea.

NIMR ya Mbeya ni maalumu Sana kwa ajili ya kuspecialise kwenye magonjwa ya mlipuko na iliwekwa hapa specifically kwa kazi hiyo ikizingatiwa huku ni mpakani.

Kwa taarifa yako mwaka Jana yamefanyika mahafari ya kwanza ya MD Kwa Faculty ya science ya Tiba ya UDSM Campus ya Rufaa Mbeya,kutokujua kwako ni shida yako sio yangu.
 
Back
Top Bottom