Mimi ni mzawa Mwanza na Mwanza ndio home, nimefanya kazi Kahama, Kagera (Karagwe/Missenyi/Kyerwa/Bukoba/Ngara/ Muleba) Arusha na Dar all in all sehemu ya kumalizia maisha bado ni Kahama.
Dar ni uwanja wa fujo kila mtu atamiminika huko ukiwamo wewe na ndugu zako sio swala la mabinti wa Njombe tuuNjombe hii ambayo mabinti zake wanamiminija Dar kutafuta uhouse girl ndio imestaarabika? Hauko serious
Hapo huwezi waona ,hao maskini wataonesha nini zaidi ya blaa blaa tuuMbna picha za kahama hazionekani wakuu....
Onyesha hayo mapya acha porojo wewe au yanajengwa mdomoni kwako? Wapi hakuna mapya? Hii ni 2021 wewe unaleta empty words hapa.Maghorofa mapya yanayojengwa Kahama just year end 2020 mpaka Sasa plus new petrol stations Ni more than ten, hayo yanaonekana live
Sijabeza ila promo haiakisi uhalisia,Huko kufikia nchi jirani ndio potential ya Kahama ambayo Njombe Hana,so usibeze... Nchi zinazopita hapo si haba yaani.
Zote ni Halmashauri za miji kabla ya tamko la juzi la mkuu wa kaya.Huwezi linganisha Kasulu na Kahama unless una chuki zako binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukweli mchunguWivu tu
Itakuwa jiji sooner,haaaa haaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] aya bwana.Njombe Ina hadhi ya mkoa so hata maghorofa ya serikali Ni mengi, Kahama Ni wilaya kabla haijasemwa municipal, maghorofa binafsi yapo na nimeyaona though hayawezi lingana na Njombe, kiuchumi wa BIASHARA zenye mzunguko Kahama ni kitu kingine kabisa na itakuwa jiji sooner
Sijawahi sema kwamba Njombe ina mapato makubwa kushinda Kahama ila nilisema Njombe inakuja kwa Kasi Sana no matter itakuja kuifikia Kahama.Taarifa ya makusanyo ya tamisemi ilosomwa na jafo uliisikia? Njombe ilitajwa ya ngapi?
Maana ubishi mwingine ni wivu design....kiufupi kahama Ni next level... Mimi Ni mkulima Njombe Lupembe ila Kahama huwezi fananisha na Njombe kwa mzunguko wa pesa na BIASHARA.
Kuna siku nimewahi bisha hayo unayoongea? Hoja yangu mara zote ni kwa nini kama mko vizuri hamuoneshi hiyo nguvu kwenye majengo makubwa ya kupamba Mji? Kwa nini Kanda hiyo inaongoza kwa umaskini?Haijui Kahama bila shaka, na hata takwimu za nchi kimapato hazitaki, bank kubwa nchini ambazo huwezi zikuta popote zaidi ya kwenye majiji na baadhi ya mikoa pia ziko Kahama, Bado hakubali, achana na mbishi huyo anasumbuliwa na wivu, Kahama Ni next level kiuchumi.
Angefanya Safari apatembelee anapaita pa wachuuzi, wachuuzi wanapanda ndege na kujenga viwanda kwa pesa zao? Wachuuzi Wana miliki migodi na BIASHARA za nchi jirani?
Haya, Katoro ni padogo na Kahama ni pakubwa, then what next?Wewe hivi huwa mnakula nini mnashiba kisha mnalinganisha vitu vya ajabu Katoro ni kamji kadogo kenye idadi ya watu wasiozidi 50,000,halafu pamejengwa holela bila mitaa unalinganisha na Geita ambayo kwa sasa tu idadi ya watu ni 280,000 na imeshakidhi vigezo vyote vya kuwa Manspaa bado kutangazwa tu. Hauko seroius.
Unajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kituHapo huwezi waona ,hao maskini wataonesha nini zaidi ya blaa blaa tuu
That town is just a big village of squatters nothing to show
Tena zipo taarifa moja ya wabia wa Beforward ni mdau Mkinga kutoka Makambako/Njombe,huko Ghuonzhou ndo usiseme. Pale Kariakoo, matajir wengi wanatoka Njombe!Sijabeza ila promo haiakisi uhalisia,
Chai ya Njombe inawika Hadi Pakistani,Parachichi ya Njombe iko kwenye supermarket za Ulaya,Mbao za Njombe na Mafinga zimejaa nchi zote za jirani,nk nk potential ipi ambayo hatuna?
Wafanyabiashara wa Mkoa huu Wana viwanda Hadi China ukiacha huko kwenu Khm
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] Huwezi kuta ujinga wa hivyo mjini Njombe huku kuna orderUnajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kitu
Yaan ,wewe Ni Ngumbaru, Yaan Ndio Kwanza wamegraduate mwaka jana!! Ndio I we hoja Hapa!! Unajua Programmes zinazotolewa CUHAS na Intake ya Kwanza imegraduate lini!??Acha kula mapanki na michembe ndugu ndio maana unakuwa na makalio makubwa na outdated mind set ,Ujue nyie watu wa huko Kanda pendwa na Magu mnamapungufu kwenye ngozi zenu na miili màana albino huko,watu wanoongoza magonjwa ya miguu na akili ni huko,kula parachichi na matunda kwa wingi kwa afya ya ubongo wako na mwili.
Back kwenye hoja,lengo la serikali ni kuzifanya hospital za Rufaa za Kanda kutoa huduma za kibingwa ndio maana ilianza na Muhimbili,UDom,Mlonganzila,Bugando,Mbeya na KCMC ko hatua kwa hatua vyote vitakuwepo ndio maana unaona upanuzi wa majengo unaendelea.
NIMR ya Mbeya ni maalumu Sana kwa ajili ya kuspecialise kwenye magonjwa ya mlipuko na iliwekwa hapa specifically kwa kazi hiyo ikizingatiwa huku ni mpakani.
Kwa taarifa yako mwaka Jana yamefanyika mahafari ya kwanza ya MD Kwa Faculty ya science ya Tiba ya UDSM Campus ya Rufaa Mbeya,kutokujua kwako ni shida yako sio yangu.
Unajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kitu
Kahama kuwa Manispaa limeongelewa tokea 2019. Sasa huyo Mkurugenzi kamfurahisha lini namba 1?imepandishwa kwa sababu mkurugenzi alimfurahisha boss wake na sio kua inavigezo kuizidi Njombe,Njombe is well organised than kahama
kwa kauli yake Rais Mwenyewe alisema mkurugenzi kamfurahisha na hivyo anawapa zawadi ya kuwapandisha kua Manspaa.Nikukumbushe kua Njombe ni moja ya miji iliyoomba kupandishwa hadhi kua Manspaa labda bado haijapa mtu wa kumfurahisha bossKahama kuwa Manispaa limeongelewa tokea 2019. Sasa huyo Mkurugenzi kamfurahisha lini namba 1?