Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Mhhhh. Wewe nawe sasa unaboa. Matajiri wa Kahama wote maisha yao ya kumalizia ni Mwanza jiji. Nani ataenda malizia maisha yake kwenye mji kame hauna beach kama Kahama. Hauko serious.
Mimi ni mzawa Mwanza na Mwanza ndio home, nimefanya kazi Kahama, Kagera (Karagwe/Missenyi/Kyerwa/Bukoba/Ngara/ Muleba) Arusha na Dar all in all sehemu ya kumalizia maisha bado ni Kahama.
 
Maghorofa mapya yanayojengwa Kahama just year end 2020 mpaka Sasa plus new petrol stations Ni more than ten, hayo yanaonekana live
Onyesha hayo mapya acha porojo wewe au yanajengwa mdomoni kwako? Wapi hakuna mapya? Hii ni 2021 wewe unaleta empty words hapa.

Weka picha za Khm wacha maneno,si ajabu hata Tunduma inaizidi Khm kwa mijengo mikali,week end I will be travelling to Tunduma nitakuja na picha kama zote
maxresdefault-1.jpg


Hiyo hapo juu Hotel ya KKKT Njombe inajengwa mjini Kati ya Khm iko wapi,?
 
Huko kufikia nchi jirani ndio potential ya Kahama ambayo Njombe Hana,so usibeze... Nchi zinazopita hapo si haba yaani.
Sijabeza ila promo haiakisi uhalisia,

Chai ya Njombe inawika Hadi Pakistani,Parachichi ya Njombe iko kwenye supermarket za Ulaya,Mbao za Njombe na Mafinga zimejaa nchi zote za jirani,nk nk potential ipi ambayo hatuna?

Wafanyabiashara wa Mkoa huu Wana viwanda Hadi China ukiacha huko kwenu Khm
 
Huwezi linganisha Kasulu na Kahama unless una chuki zako binafsi
Zote ni Halmashauri za miji kabla ya tamko la juzi la mkuu wa kaya.

Miji yote ina idadi kubwa Sana ya watu labda utofauti ni kwenye mapato nk ila sikufahamu Kasulu na haizungumzwi Sana but wa huko wanasema Mji unakua Sana pia
 
Njombe Ina hadhi ya mkoa so hata maghorofa ya serikali Ni mengi, Kahama Ni wilaya kabla haijasemwa municipal, maghorofa binafsi yapo na nimeyaona though hayawezi lingana na Njombe, kiuchumi wa BIASHARA zenye mzunguko Kahama ni kitu kingine kabisa na itakuwa jiji sooner
Itakuwa jiji sooner,haaaa haaaa [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] aya bwana.

Kubali tuu kwamba Mkoa wa Njombe una watu wenye pesa sio tu wanajenga Njombe yao bali Dar,Mbeya,Iringa,Songea etc kote huko watu wa Njombe wameikuza hiyo miji na biashara
 
Taarifa ya makusanyo ya tamisemi ilosomwa na jafo uliisikia? Njombe ilitajwa ya ngapi?
Maana ubishi mwingine ni wivu design....kiufupi kahama Ni next level... Mimi Ni mkulima Njombe Lupembe ila Kahama huwezi fananisha na Njombe kwa mzunguko wa pesa na BIASHARA.
Sijawahi sema kwamba Njombe ina mapato makubwa kushinda Kahama ila nilisema Njombe inakuja kwa Kasi Sana no matter itakuja kuifikia Kahama.

Hata hivyo ukija kwenye mapato ya TRA Mkoa wa Njombe as a whole unafanya vizuri kuliko Kahama tax region as per TRA but kwa Khm town kuwa tax region ni wazi ina nguvu ya mapato na mzunguko wa pesa na mkubwa.
 
Haijui Kahama bila shaka, na hata takwimu za nchi kimapato hazitaki, bank kubwa nchini ambazo huwezi zikuta popote zaidi ya kwenye majiji na baadhi ya mikoa pia ziko Kahama, Bado hakubali, achana na mbishi huyo anasumbuliwa na wivu, Kahama Ni next level kiuchumi.
Angefanya Safari apatembelee anapaita pa wachuuzi, wachuuzi wanapanda ndege na kujenga viwanda kwa pesa zao? Wachuuzi Wana miliki migodi na BIASHARA za nchi jirani?
Kuna siku nimewahi bisha hayo unayoongea? Hoja yangu mara zote ni kwa nini kama mko vizuri hamuoneshi hiyo nguvu kwenye majengo makubwa ya kupamba Mji? Kwa nini Kanda hiyo inaongoza kwa umaskini?

Jibu ni kwamba mnachozalisha hakiloingani na mahitaji yenu na mna vihela vya mboga tuu unlike Njombe ambako uzalishaji ni mkubwa kuliko mahitaji na huku kuna enterprises za kumfanya mtu kuwa tajiri

Ni ngumu ukachuuza duka la mangi ukatoboa badala yake miti itakufanya utoboe,parachichi ekari 3 tuu zitakufanya utoboe na mambo mengine kama hayo.

Lakini pia ikumbukwe kwamba Kahama iko barabara kuu ya kwenda nchi za jirani ko ilikuwa kibiashara kama transit town tofauti na Njombe.Pindi miundombinu ya kuunganisha mkoa wa Morogoro na Mbeya na Mbamba Bay ikikamilika itafanya Njombe kuwa junction town ambapo itaongeza muingiliano na kuleta mzunguko wa pesa zaidi ya sasa ko ni suala la kusubiria ndani ya miaka hii 5.

By the way Njombe ilikuwa na mapato 2bln lakini kwa sasa average ni 4 bln tofauti na Khm imedumu kwenye 5-6 bln kwa mda mrefu Sana Hadi imepitwa na Geita sasa hivi
 
Wewe hivi huwa mnakula nini mnashiba kisha mnalinganisha vitu vya ajabu Katoro ni kamji kadogo kenye idadi ya watu wasiozidi 50,000,halafu pamejengwa holela bila mitaa unalinganisha na Geita ambayo kwa sasa tu idadi ya watu ni 280,000 na imeshakidhi vigezo vyote vya kuwa Manspaa bado kutangazwa tu. Hauko seroius.
Haya, Katoro ni padogo na Kahama ni pakubwa, then what next?
Mji wenye nyumba nyingi za kuishi za makazi, hauna mitaa mikubwa haina chochote cha kutisha ukiondoa makazi. Tunasubiri picha za Khm vs Njombe ambazo wa Njombe kazituma baadhi.
 
Hapo huwezi waona ,hao maskini wataonesha nini zaidi ya blaa blaa tuu

That town is just a big village of squatters nothing to show
Unajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kitu
 
Sijabeza ila promo haiakisi uhalisia,

Chai ya Njombe inawika Hadi Pakistani,Parachichi ya Njombe iko kwenye supermarket za Ulaya,Mbao za Njombe na Mafinga zimejaa nchi zote za jirani,nk nk potential ipi ambayo hatuna?

Wafanyabiashara wa Mkoa huu Wana viwanda Hadi China ukiacha huko kwenu Khm
Tena zipo taarifa moja ya wabia wa Beforward ni mdau Mkinga kutoka Makambako/Njombe,huko Ghuonzhou ndo usiseme. Pale Kariakoo, matajir wengi wanatoka Njombe!
 
Unajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kitu
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] Huwezi kuta ujinga wa hivyo mjini Njombe huku kuna order
 
Acha kula mapanki na michembe ndugu ndio maana unakuwa na makalio makubwa na outdated mind set ,Ujue nyie watu wa huko Kanda pendwa na Magu mnamapungufu kwenye ngozi zenu na miili màana albino huko,watu wanoongoza magonjwa ya miguu na akili ni huko,kula parachichi na matunda kwa wingi kwa afya ya ubongo wako na mwili.

Back kwenye hoja,lengo la serikali ni kuzifanya hospital za Rufaa za Kanda kutoa huduma za kibingwa ndio maana ilianza na Muhimbili,UDom,Mlonganzila,Bugando,Mbeya na KCMC ko hatua kwa hatua vyote vitakuwepo ndio maana unaona upanuzi wa majengo unaendelea.

NIMR ya Mbeya ni maalumu Sana kwa ajili ya kuspecialise kwenye magonjwa ya mlipuko na iliwekwa hapa specifically kwa kazi hiyo ikizingatiwa huku ni mpakani.

Kwa taarifa yako mwaka Jana yamefanyika mahafari ya kwanza ya MD Kwa Faculty ya science ya Tiba ya UDSM Campus ya Rufaa Mbeya,kutokujua kwako ni shida yako sio yangu.
Yaan ,wewe Ni Ngumbaru, Yaan Ndio Kwanza wamegraduate mwaka jana!! Ndio I we hoja Hapa!! Unajua Programmes zinazotolewa CUHAS na Intake ya Kwanza imegraduate lini!??


Sasa nyie Endeleeni kuzalisha yatima kisa HIV, kwa kutombana bila mpango!!
 
Watu wa kusini na nyanda za juu kusini njoon bukoba vijijini mjifunze jinsi ya kujenga vijijini.

Mkisikia wahaya wanapenda sifa sifa ndo hiz na zinawasaidia Sana.



Ona wahaya wanavyojenga vijijini kwao.


Nyumba hata mbeya mjini unazitafuta kwa tochi
Screenshot_20210201-212810.jpg
JamiiForums-1739936819.jpg
JamiiForums1435722397.jpg
JamiiForums-1413468289.jpg
JamiiForums-1130154407.jpg
FB_IMG_16102126416129973.jpg
FB_IMG_16099474943413001.jpg
tapatalk_1600550226057.jpg
Screenshot_20201227-150959.jpg
Screenshot_20201227-151318.jpg
Screenshot_20201227-151435.jpg
Screenshot_20201227-082319.jpg
FB_IMG_16102129344336913.jpg
JamiiForums561007555.jpg
 
Sasa Kahama ndio hiyo imekuwa Manspaa. Kwa hiyo tunasubiri mwaka ambao Njombe nayo itakuwa Manspaa. Zaidi ya hapo ni kujilisha upepo tu
Unajua walio wengi, wanafikiri ule uchuuzi na vurumai za wachuuzi ndiyo hadhi ya mji bora. Pia zile nyumba za mapaa marefu zilizotapakaa pale Khm wanafikiri ndiyo mji. Mji unakua na mipangilio, kuna maeneo ya makazi, kuna CBD na kuna maeneo ya wachuuzi. Ukiondoa wageni waliokuja na kujenga nyumba za kuishi, Kahama sijaona ukiwa na hadhi ya mji(nazumgumzia urban proper), hata hakuna hicho kitu. Idadi ya watu, kweli ni kubwa lakini kwa hadhi ya mji(achana na makazi), Khm hamna kitu
 
imepandishwa kwa sababu mkurugenzi alimfurahisha boss wake na sio kua inavigezo kuizidi Njombe,Njombe is well organised than kahama
Kahama kuwa Manispaa limeongelewa tokea 2019. Sasa huyo Mkurugenzi kamfurahisha lini namba 1?
 
Kahama kuwa Manispaa limeongelewa tokea 2019. Sasa huyo Mkurugenzi kamfurahisha lini namba 1?
kwa kauli yake Rais Mwenyewe alisema mkurugenzi kamfurahisha na hivyo anawapa zawadi ya kuwapandisha kua Manspaa.Nikukumbushe kua Njombe ni moja ya miji iliyoomba kupandishwa hadhi kua Manspaa labda bado haijapa mtu wa kumfurahisha boss
 
Back
Top Bottom