Mapank
JF-Expert Member
- Mar 8, 2011
- 4,130
- 6,097
๐ ๐ ๐ ๐ Ndio maana Kasulu haijapewa na haijafikiriwa kuwa na hadhi ya Manisipaa. Kahama miaka mitatu / minne nyuma suala la kuwa Manispaa limezungumzwa sana tu. Wingi wa watu sio sifa pekee. hizo other factors ndio KASULU hana...Nyie na Kasulu kuna tofauti gani ya idadi ya watu? Nyote mko kwenye 2k
Suala sio idadi ya watu suala ni nguvu ya uchumi wa watu