π π π π Ndio maana Kasulu haijapewa na haijafikiriwa kuwa na hadhi ya Manisipaa. Kahama miaka mitatu / minne nyuma suala la kuwa Manispaa limezungumzwa sana tu. Wingi wa watu sio sifa pekee. hizo other factors ndio KASULU hana...Nyie na Kasulu kuna tofauti gani ya idadi ya watu? Nyote mko kwenye 2k
Suala sio idadi ya watu suala ni nguvu ya uchumi wa watu
Backward village as usual ,porojo nyingi Sana ila hicho Kijiji kikubwa kitaendelea kusubiria Sana kwa NjombeSasa ukubwa wa watu unaupimaje!? Kwa ukubwa wa eneo bila watu!? Less land per city dweller inamaanisha hilo eneo more urbanised...
Magorofa yana factor nyingi... Na moja ya vitu muhimu ni kubwa na centralized sewer system... Sasa KAHAMA mjini ujenge grorofa kumi down town mifumo ya majitaka unaiweka wapi!? Kwenye kiwanja cha SQM.450!?
Huko mashambani ndiko wanajenga maproperty makubwa yasiyokuwa kuwa economic back up... Uende NJOMBE ujenge 100room hotel kwa influx gani ya watu ili iwe economically viable!?
Kahama kinachoipeleka ni market forces .. unachokiona ndio uhalisia wa soko.. sio sijui sadaka za kkt zinaenga.. mara vile ni..
Imekosa wapiga domo[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Ndio maana Kasulu haijapewa na haijafikiriwa kuwa na hadhi ya Manisipaa. Kahama miaka mitatu / minne nyuma suala la kuwa Manispaa limezungumzwa sana tu. Wingi wa watu sio sifa pekee. hizo other factors ndio KASULU hana...
Vyovyote iwavyo kama ulivyidai kwenye para ya kwanza. Hata hivyo kuwa na eneo KUBWA JINGA ambalo hata halina chochote ina maana gani?Sasa ukubwa wa watu unaupimaje!? Kwa ukubwa wa eneo bila watu!? Less land per city dweller inamaanisha hilo eneo more urbanised...
Magorofa yana factor nyingi... Na moja ya vitu muhimu ni kubwa na centralized sewer system... Sasa KAHAMA mjini ujenge grorofa kumi down town mifumo ya majitaka unaiweka wapi!? Kwenye kiwanja cha SQM.450!?
Huko mashambani ndiko wanajenga maproperty makubwa yasiyokuwa kuwa economic back up... Uende NJOMBE ujenge 100room hotel kwa influx gani ya watu ili iwe economically viable!?
Kahama kinachoipeleka ni market forces .. unachokiona ndio uhalisia wa soko.. sio sijui sadaka za kkt zinaenga.. mara vile ni..
Kuna uwanja wa A.Mwinyi Tabora, Unadhani Kwann ulijengwa!? Katika hizo hoteli za huko NJOMBE ngapi ni za watu binafsi wanaotegemea biashara ya hotel!?Backward village as usual ,porojo nyingi Sana ila hicho Kijiji kikubwa kitaendelea kusubiria Sana kwa Njombe
Ni hatari kwamba mtu anajisifia kwa utopolo yaani uswazi like lifestyle
Kwamba wanajenga magorofa ambayo hayoko economically viable huo ni utopolo wako,hakuna mtu angejenga kama hakuna watumiaji but Ingefaa ujiulize zaidi kwa nini wasije kujenga huko kwenye watu wengi? Jibu ni simple you are poor
Nje ya Mji wapi mlikopeleka hayo magorofa,weka picha tuoneKuna uwanja wa A.Mwinyi Tabora, Unadhani Kwann ulijengwa!? Katika hizo hoteli za huko NJOMBE ngapi ni za watu binafsi wanaotegemea biashara ya hotel!?
Kwa kifupi mengi mnafanya kwa prestige.. ufahari tu ..na sio biashara.. Issue ya Central sewer system ni swala la utaalamu sio porojo..
nyumba kahama mjini moja ni kati ya milioni 250 na 500 ..ununue hiyo halafu upoteze sehemu kubwa kuweka mfumo wa maji taka!? Ndio maana magorofa mengi yapelekwa nje ya cbd. Hiyo ni Sayansi sio mawenge kama inavyotaka kuamini..
Uliwahi sikia wapi wewe toka unazaliwa kwamba Kahama inatajwa kwenye masuala ya kilimo?Kahama ni manispaa but Kahama ni mji ambao unakilimo sana karibia morogoro Kahama offers you everything
Mbona nikihoji hoja muhimu hujibu?! Hahaha. Submarine, NSSF, kom (Karibu na Rocken hill, Mongo Hotel, Petrol Africa yako Mengi mno.. sema tu wewe huyajuiNje ya Mji wapi mlikopeleka hayo magorofa,weka picha tuone
Una matatizo ya akili mtu ajenge hoteli ya mamilioni eti anajenga for prestige? Kwani wewe ni mgeni kwamba Njombe ina wafanyabiashara maarufu nchini?
Weka picha acha porojo mkuu
Huyu Opportunitycost hawezi kujua maana anaishia stand ... Maeneo mengi hakujui
NSSF wameona wapi wanaweza wekeza kitega kiuchumi na kikawalipa na wapi wanaweza wekeza office tu π π πHuyu Opportunitycost hawezi kujua maana anaishia stand ... Maeneo mengi hakujui
Angoje uwekezaji wa chama cha mapinduzi kwenye eneo lao la Ofisi pale na kilankistand cha Kakola... Utakuwa hatariNSSF wameona wapi wanaweza wekeza kitega kiuchumi na kikawalipa na wapi wanaweza wekeza office tu π π π
Kwa hayo Majengo mawili ya NSSF (NJOMBE na KAHAMA) ukiulizwa jengo la wilayani na mkoani ni lipi? La NJOMBE litaitwa la wilayani na la KAHAMA litaitwa la Mkoani. π π πAngoje uwekezaji wa chama cha mapinduzi kwenye eneo lao la Ofisi pale na kilankistand cha Kakola... Utakuwa hatari
Hahahaha.. na la KAHAMA ni jengo profitable.. linao wapangaji... Ubaya liko pembeni lingekuwa mjini kati lingekuwa na soko zaidiKwa hayo Majengo mawili ya NSSF (NJOMBE na KAHAMA) ukiulizwa jengo la wilayani na mkoani ni lipi? La NJOMBE litaitwa la wilayani na la KAHAMA litaitwa la Mkoani. π π π
Kaka futa huo post... Watakuuua hahahaNjombe inabebwa na makambako
Mmalizie hivi ya Manispaa ya KAHAMA imejengwa kwa fedha za ndani πNJOMBE regional referral hospital
View attachment 1698431
KAHAMA district hospital
View attachment 1698432
Hatutegemei budget ya wizara π π πMmalizie hivi ya Manispaa ya KAHAMA imejengwa kwa fedha za ndani π