Hili Jambo nimewai kuliongelea wakaja na kejeli et makambako Ni mtoto wa njombe yani mfano mfuu haya saizi wanalima parachichi kiwanda kikubwa kimejengwa makambako wanalima mahindi vihenge vikubwa vipo makambako na soko kubwa la mazao linaendelea kujengwa kiumba pale haya kiwanda Cha bati dragon ,kiwanda Cha misumari, kalvat,gypsum na chokaa, vifaa vya plastic ,kahawa,mifuko na juice,madawa ya binadamu ,nguzo vimejengwa makambako swal kwanini wawekezaji wengi wakija mkoa wa njombe wanapenda kuwekeza makambako na si njombe maan halimashauri ya mji njombe inaviwanda Kama vinne t wakat makambako saiz Ni Zaid ya kum na vinaendelea kujengwa swala la gorofa Hilo huja automatic ndo maana ukija makambako utaona vitu vinavyoendelea na njombe shida geografia ya mji haipo vizur ndoo maana hata mhe mkuu we nchi alivokuja kwenye ziara mwakajuzi alianzia njombe ila alivo fika makambako aliinyoshea mkono kuwa makambako imejengeka ko njombe kuwen wapole mtapiga picha hivyo vigorofa 6 kwa kubadilisha kila upande zionekane nyingi watu tunazifahamu hamuwezi kushinda na miji ya kibiashara hata siku moja mfano mzuri mmejengewa soko zuri mnaishia kupigia picha t na kupiga picha office za serikari saiz miji yote ofisi za gorofa