pemgtoonet.com
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 879
- 618
anaekoment bila picha za kahama kuanzia sasa, namwita KILAZAAAAA.Hakuna hata siku moja mtu anatafuta maisha akaenda kuishi eti njombe au mafinga. Lazima aende mahali ambapo pana mzunguko wa pesa kama Dar au Kanda dume ya ziwa. Kinachokusumbua ni ushamba tu na upoyoyo
Kahama hv mnafeli wapi?Umefika kahama? Mie Njombe hakuna mtaa ambao siufahamu nimekuja sana hapo kikazi. Kahama ndg yangu ni habari nyingine
Akili za matobolwa na udaga hizi pole..kina sehemu kuna pesa inategemea umetega nini.. nyie wajinga ndio mnawaza hivyo sasaHakuna hata siku moja mtu anatafuta maisha akaenda kuishi eti njombe au mafinga. Lazima aende mahali ambapo pana mzunguko wa pesa kama Dar au Kanda dume ya ziwa. Kinachokusumbua ni ushamba tu na upoyoyo
Picha za kahama zipo wapiwe ndo kilaza kweli(Hapa ungetumia neno siko makini), picha za njombe za maana walizopost wenzio wenye akili(hii usingeisema ni tusi rafiki) hapo mwanzo hujaziona?
Rudi kuanzia page ya 10 hadi ya 23 hv uone.
Harafu uje ukoment upuuzi wako(ungesema maoni yako)
Mkuu mimi nimeishi njombe mjini zaidi ya 5 good years na nandugu kibao hata wa 8 nlikuwa huko ,kahama nina nyumba ,huwezi fananisha kahama na njombe hata kidogo.
Akili za matobolwa na udaga hizi pole..kina sehemu kuna pesa inategemea umetega nini.. nyie wajinga ndio mnawaza hivyo sasa
Nimekuuliza swali kama KHM kuna pesa kuzidi Njombe/Mafinga kwa nini mabwanyenye tusiwekeze mahoteli huko kahama badala yake watu wanawekeza Njombe na Mafinga?
Wekeni picha za kahama mnatuchosha kwa porojo zenu
Mi nipo Njombe hapa nimetokea Songea, kiukweli unachokisema ni tofauti sana na ninachokiona kwa macho yangu kwa siku hizi 3 nilizokaa hapa.We nae hujielewi,Geita ndio onaongoza kimapato kwa sasa kwa wilaya nje ya manispaa za Dar na majiji,je Geita iko mbele kimaendeleo kuliko Kahama au Njombe? Jifunze kutofautisha aina ya vyanzo vya mapato na effects yake kimaendeleo
Pili ishu ya mabenki isikupe tabu hadi dakika hii mji wa Tunduma una mabenki mengi kuliko hiyo Kahama na kuliko Mafinga ,je Tunduma imeizidi nini Kahama au Mafinga?
Soko kuu la Njombe litakuwa na shopping mall ya kutosha nadhani walijua mda wowote litakuwa limekamilika.Swali kwa nini Njombe inaizidi Kahama mijengo mingi ya ghorofa kama haijaendelea?
Funguka ndugu nimesema hilo soko litakuwa na shopping mall na pili nimesema idadi na ujenzi mpya wa ghorofa kwa Njombe unazidi Kahama sasa wewe unaona kipi tofauti broo.Mwisho kama u can't get out and explore huwezi elewa we tulia usubili matokeo ya fm 4 labda hata nauli huna maana sie wenyeji wa njombe tunafahamuMi nipo Njombe hapa nimetokea Songea, kiukweli unachokisema ni tofauti sana na ninachokiona kwa macho yangu kwa siku hizi 3 nilizokaa hapa.
Kwa kiasi chake ni bwanyenye, kwani mm nashinda humu? Mda wangu ni jioni na ucku na asubuh kabla ya saa 4Wewe ni bwanyenye ? Wenye hela zao hawezi kushinda kwenye mtandao akipost ujinga kama wewe
DTB haipo Njombe...nalazimika kwenda Iringa leo kupata huduma, mkoa wa kijinga sana huu.
View attachment 1172141
CRDB Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon
CALL
DIRECTIONS
Diamond Trust Bank (DTB) Kahama Branch
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon
DIRECTIONS
NMB Business Centre
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30PM Mon
CALL
DIRECTIONS
TPB BANK PLC KAHAMA
Bank
DIRECTIONS
NMB Business Centre
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30PM Mon
CALL
DIRECTIONS
Bank Of Africa
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30AM Mon
CALL
DIRECTIONS
Nmb Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8AM Mon
DIRECTIONS
DTB Bank
Bank
DIRECTIONS
Finca Microfinance Bank
Bank
Closed ⋅ Opens 8:30AM Mon
DIRECTIONS
NBC Bank
Na huko kwenu mkuu mnazo benki ngapi?
Mbeya tu inawatoa knock out
Umepanic,weka orodha ya vitu au huduma ambazo ziko mwanza hazipatikani Mbeya kabla ya kutoa povuAcha uropokaji.... Mwanza unaijua au unaisikia.
sasa na wewe, ktk bank bora tz na DTB nayo ni bank?DTB haipo Njombe...nalazimika kwenda Iringa leo kupata huduma, mkoa wa kijinga sana huu.
Bado nina was was kama umefika kahama kahama maana nadharia unayoiongelea ni tofauti na kahama. Kahama imejengeka sababu ya migodi. Nimwfanya kaz buzwagi benefit mojawapo kwa staff ni kujengewa nyumba. Ndg yangu unaposikia mgodi wa barrick usidhani ni investment ya sururu na Jembe. Ile ni plant ikiyoajiri watu wa mataifa makubwa, mishahara pale inaanzia m 1 mpaka million 40. Ni investment ya trillion sasa migod ipo miwiliHayo yote sawa ila zama zimebadilika,benki zimeongezeka na Njombe pia japo ni kweli sio nyingi sana kama Kahama
Ndugu kitu cha kufahamu ni kwamba sehemu za migodi huwa zina muingiliano mkubwa sana wa watu wanavutika kuja kuchuma na kusepa na sio kujenga ndio maana pamoja na yote hayo bado Njombe imeipiga chini Kahama kwa ishu ndogo tu ya mahoteli
Hii inakupa picha kwamba Lundo la hao watu ni maskini hawana pesa za kuishi vizuri so watalala huko mapangoni.
Unfortunately maeneo ya migodi huwa ni maskini sana watu wanakuja gulioni/mnadani kuchuuza na kusepa hawawezi kujenga maana hapana usalama future wala huduma za msingi za kutosha.Usafiri wa kufika kokote upo ndege,mabasi ya mikoani nk.Karibu uishi Njombe bustani ya Mungu,kuchereee.
Njombe majengo ya gorofa 5 na kuendelea hayazidi 6We nae hujielewi,Geita ndio onaongoza kimapato kwa sasa kwa wilaya nje ya manispaa za Dar na majiji,je Geita iko mbele kimaendeleo kuliko Kahama au Njombe? Jifunze kutofautisha aina ya vyanzo vya mapato na effects yake kimaendeleo
Pili ishu ya mabenki isikupe tabu hadi dakika hii mji wa Tunduma una mabenki mengi kuliko hiyo Kahama na kuliko Mafinga ,je Tunduma imeizidi nini Kahama au Mafinga?
Soko kuu la Njombe litakuwa na shopping mall ya kutosha nadhani walijua mda wowote litakuwa limekamilika.Swali kwa nini Njombe inaizidi Kahama mijengo mingi ya ghorofa kama haijaendelea?
Usitupige fix Tunduma hawana benk nyingi bwana zaidi ya hiz common NBC, NMB, CRDb nadhani kuna mbili za ziada ambazo ni Azania na eximWe nae hujielewi,Geita ndio onaongoza kimapato kwa sasa kwa wilaya nje ya manispaa za Dar na majiji,je Geita iko mbele kimaendeleo kuliko Kahama au Njombe? Jifunze kutofautisha aina ya vyanzo vya mapato na effects yake kimaendeleo
Pili ishu ya mabenki isikupe tabu hadi dakika hii mji wa Tunduma una mabenki mengi kuliko hiyo Kahama na kuliko Mafinga ,je Tunduma imeizidi nini Kahama au Mafinga?
Soko kuu la Njombe litakuwa na shopping mall ya kutosha nadhani walijua mda wowote litakuwa limekamilika.Swali kwa nini Njombe inaizidi Kahama mijengo mingi ya ghorofa kama haijaendelea?
Weka picha ya mtaa konki wa Njombe usiweke Raman za majengo za 3D. Maana hata mm karamani ka 3D ka mjengo wangu kanavutia unaweza sema namzidi ASAS kwa mjengoMpiga picha kachukua nyumba za old Town ya Njombe kaweka ila kwa Kahama kaweka recently areas lakini good enough gorofa ileee Kahama holaaa
Lete picha ya mji mpya kuanzia stendi kuu mpya kuja mjini uone utakavyoaibika
Hao wanakuwa wametokea maeneo ya joto ko baridi inawapa shida otherwise Njombe ni kwa Watasha si unajua ni bustani ya Mungu
Pole kuna tpb bank,KCB,BOA,Exim,Azania,na CBA plus hizo common banks umeelewa?Usitupige fix Tunduma hawana benk nyingi bwana zaidi ya hiz common NBC, NMB, CRDb nadhani kuna mbili za ziada ambazo ni Azania na exim
Wapi nilipoweka 3D humu sijatupia picha ya Njombe hata moja ila wadau wengineWeka picha ya mtaa konki wa Njombe usiweke Raman za majengo za 3D. Maana hata mm karamani ka 3D ka mjengo wangu kanavutia unaweza sema namzidi ASAS kwa mjengo
Wakati huo huo Khm hakuna hata moja.Idadi ya kuanzia ghorofa 1 hadi 9 ni zaidi ya 30,majengo binafsi,taasisi na mashirika..afu ghorofa ni zaidi ya 6 ..Makambako ndio yanakomea 6Njombe majengo ya gorofa 5 na kuendelea hayazidi 6