Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Bado nina was was kama umefika kahama kahama maana nadharia unayoiongelea ni tofauti na kahama. Kahama imejengeka sababu ya migodi. Nimwfanya kaz buzwagi benefit mojawapo kwa staff ni kujengewa nyumba. Ndg yangu unaposikia mgodi wa barrick usidhani ni investment ya sururu na Jembe. Ile ni plant ikiyoajiri watu wa mataifa makubwa, mishahara pale inaanzia m 1 mpaka million 40. Ni investment ya trillion sasa migod ipo miwili
Kahama sijafika na siwazi kufika maana nilikuwa nadhani ni bonge la town kumbe changanyikeni tuu ,yaani kwa picha nazoziona humu na kelele zinazopigwa nimepadharau sana
Kujengeka kupi hakuna picha zaidi ya majengo ka nssf hako basi sasa kingine cha kunileta huko ni nini labda nikipata biashara ya kuchuuza
Hiyo town sio liveable hao wanaolipwa pesa hawajengi huko wanazi expatriate tu
 
Tunafurahia ukuaji wa miji na majiji yetu, bila kufikiria matumizi ya ardhi kwa kilimo, misitu na mbuga za wanyama. Viwanja vinapimwa kila leo, vya kila mtu na kajumba kake. Tunazaana kuliko kufa, mbeleni ardhi haitatosha. Ni wakati sasa mipango miji kuwa na mipango ya kuelekeza ujenzi wa nyumba juu ya nyumba.
 
Kahama sijafika na siwazi kufika maana nilikuwa nadhani ni bonge la town kumbe changanyikeni tuu ,yaani kwa picha nazoziona humu na kelele zinazopigwa nimepadharau sana
Kujengeka kupi hakuna picha zaidi ya majengo ka nssf hako basi sasa kingine cha kunileta huko ni nini labda nikipata biashara ya kuchuuza
Hiyo town sio liveable hao wanaolipwa pesa hawajengi huko wanazi expatriate tu
hivi njombe kuna nini pale ukitoa vigorofa vya nssf na agriment hotel? kiwanda kimoja cha maziwa, unafananisha na kahama kwenye migodi mikubwa ya dhahabu, ? umeme unaotumika tu buzwagi ni mkubwa kupita umeme unaotumika mji wote wa njombe, njombe bado ni kijijini
 
Kahama sijafika na siwazi kufika maana nilikuwa nadhani ni bonge la town kumbe changanyikeni tuu ,yaani kwa picha nazoziona humu na kelele zinazopigwa nimepadharau sana
Kujengeka kupi hakuna picha zaidi ya majengo ka nssf hako basi sasa kingine cha kunileta huko ni nini labda nikipata biashara ya kuchuuza
Hiyo town sio liveable hao wanaolipwa pesa hawajengi huko wanazi expatriate tu
biashara inayofanyika kahama ni kubwa sana, watu ni wengi mno, maduka, migahawa, night clubs, mji umechangamka usiku na mchana, ufananishe na njombe watu wachache wanajuana mji mzima, ukinunua ka IST unajulikana mji mzima, matajiri ni akina mtewele na marehemu mwazinga? tembea uone njombe ni kijijini
 
Njombe ni self made.. haina madini ila inawatu matajiri sana nchi hii.. mafinga oia ina matajiri wenhi sana.
Kahama mzee unaisikia tu, kule hakukauki pesa na haijawahi kauka madini yapo ya kutosha.
.
Njombe kwenye mambao kitendo cha kusema ni sehemu ya mambao hii ina maana ni porini huko ulinganishe na sehemu yenye madini kama kahama?
.
Una bahati mbaya nakujua njombe [emoji23][emoji23][emoji23] kahama iko juu
 
Naifahamu njombe sana sana..kuna miaka biashara ya mbao ilikua juu vby sana sana..naijua hii biashara ...lakini huwez ifananisha Njombe na Kahama..mayb weka battle la Njombe na Mafinga..na mafinga itaibuka kidedea...! njombe imekuwa uswekeni..zaman kina mama walikua wanajiita mama mbao sasa hv watu wanaenda na aluminium and the like...uliza wauza mbao wa pale mwnge kama wanauza kma 7yrs ago!
Njombe ipo juu sana bosi


Mbao

NGUZO ZA umeme

Chai

Parachichi

Makaa ya mawe (liganga)


Chuma
 
Akili za matobolwa na udaga hizi pole..kina sehemu kuna pesa inategemea umetega nini.. nyie wajinga ndio mnawaza hivyo sasa
Nimekuuliza swali kama KHM kuna pesa kuzidi Njombe/Mafinga kwa nini mabwanyenye tusiwekeze mahoteli huko kahama badala yake watu wanawekeza Njombe na Mafinga?
Wekeni picha za kahama mnatuchosha kwa porojo zenu
Sehemu za Madini watu wake huwa maskini siku zote.Kuna mbunge toka Kanda ya Ziwa aliwahi complain bunge kuwa madini yakiwa Jimboni kwako hesabia hiyo ni laana
 
Njombe ni self made.. haina madini ila inawatu matajiri sana nchi hii.. mafinga oia ina matajiri wenhi sana.
Njombe hakuna tajiri, kuna waganga njaa tu, matajiri ndio akina mtewele kwa ajili ya kale kayard ka magari? unafananisha na kahama ambako mchimbaji mdogo tu wa dhahabu kupata milioni 500 ni kitu cha kawaida, uwalinganishe na waganga njaa akina mwendamseke wenye vicosta vitano ndio matajir wa njombe? hauko serious
 
Kupiga picha sio ushamba ni hobby yaani hapo ww ndo umeonekana mbulula hasa wa kanda ya ziwa.
Ko bloggers wote kama michuzi,wade Maya,miladi ayo nk ni washamba? Tumia hata drone bc sio lazima kamera ya simu au kawaida
Mwisho unaweza ibiwa hata huko kakola bush sio Dar tuu.By the way Mimi dar nakuja several times na nimeishi miaka 4 huko nikiwa chuo na kazi sasa niko mkoani so huna jipya la kunambia ndugu punguza ushamba
Haha we sio mzima amini nakuambia, punguza ushamba hvyo sio vitu vya kujitambia puuuuuuh
 
Weka picha ya mtaa konki wa Njombe usiweke Raman za majengo za 3D. Maana hata mm karamani ka 3D ka mjengo wangu kanavutia unaweza sema namzidi ASAS kwa mjengo
Kahama inamaana imeshindikana hata kuweka za 3D?
 
😆😆😆😆 True mkuu,nimewauliza hao mbuzi wa Khm kama kumeendelea na kuna pesa hao wenye pesa wanaishi wapi? Mbona hakuna hoteli?
Simply Khm ni gulio kama magulio mengine watu wanakuja kuchuma tukiwemo sie mabosi wao wa njombe na kusepa ,yaani ni unliveable town kama tu maeneo mengi ya migodini yalivyo,wanatia huruma sana hao fm 4 leavers

Tumeshajua ushamba waki ni maghorofa
 
Njombe hakuna tajiri, kuna waganga njaa tu, matajiri ndio akina mtewele kwa ajili ya kale kayard ka magari? unafananisha na kahama ambako mchimbaji mdogo tu wa dhahabu kupata milioni 500 ni kitu cha kawaida, uwalinganishe na waganga njaa akina mwendamseke wenye vicosta vitano ndio matajir wa njombe? hauko serious


Bora utupokee kuwaeleza
 
Tunafurahia ukuaji wa miji na majiji yetu, bila kufikiria matumizi ya ardhi kwa kilimo, misitu na mbuga za wanyama. Viwanja vinapimwa kila leo, vya kila mtu na kajumba kake. Tunazaana kuliko kufa, mbeleni ardhi haitatosha. Ni wakati sasa mipango miji kuwa na mipango ya kuelekeza ujenzi wa nyumba juu ya nyumba.
Bado sana Ardhi kujaaa
 
kabla hujapost huo utumbo wako, lete picha za kahama zinazoweza kuufunika ukurasa wa 29
Wenzio wa kahama walikimbia humu baada ya kuona ukurasa wa 29, hawakuaga.
Tuliwapa assignment wakalete picha za kahama, hawakurudi mazima.
Na ukurasa ukafungwa.
Nyie sijui mmetokea wapi, haya tunawapa kazi, leteni picha za kahama za kuufunika ukurasa wa 29.
Ukikoment maneno tu bila picha, nimeshakutukana we kilazaaaa

Hujaon picha za KHM??? Umepanik fungua page mbila za mwish utaon tofaut ya khm n njombe
 
Back
Top Bottom