Kahama VS Njombe/Mafinga

Kahama VS Njombe/Mafinga

Njombe hakuna tajiri, kuna waganga njaa tu, matajiri ndio akina mtewele kwa ajili ya kale kayard ka magari? unafananisha na kahama ambako mchimbaji mdogo tu wa dhahabu kupata milioni 500 ni kitu cha kawaida, uwalinganishe na waganga njaa akina mwendamseke wenye vicosta vitano ndio matajir wa njombe? hauko serious
Huko kahama ukichukua uchumi wa mtu mmoja mmoja wapo vizuri?
 
Tueleze mkuu!maana sio kwa tambo hizo
Njombe bado wanasafari ndefu sana, makao makuu ya mkoa wamezidiwa kila kitu na Makambako kasoro admnistration za kimkoa tu basi, hata ukishindanisha na Mpwapwa Dodoma bado itashindwa kwa vitu vingi sana.
 
Njombe bado wanasafari ndefu sana, makao makuu ya mkoa wamezidiwa kila kitu na Makambako kasoro admnistration za kimkoa tu basi, hata ukishindanisha na Mpwapwa Dodoma bado itashindwa kwa vitu vingi sana.


Nakufaham sana njombe😅!na kwel bado...ingawa wana mazao yenye hela! Nnjombe hata na mafinga inapitwa!
 
Umekaa FM,Agreement,JD,Moronga?Ndio mitaa gani hiyo pale Njombe?Nijuanyo hakuna hiyo mitaa bali ulizotaja ni hoteli na guest house ama urekibeshe kiswahili au useme tu hujawahi fika Njombe au umepita tu barabarani maaana zote zipo barabara kuu ya Njombe-Songea
Sina uhakika kama umefika kahama physical. Migodi mikubwa ya dhahabu ya Barrick nchini miwili ipo kahama Buzwagi na Buly. Mgodi mmoja una wafanyakazi zaidi ya elf 5 wote hao matumiz yao wanafanyia kahama twn. Bado matumizi tu ya mgodi operation cost. Service levy ya mgodi mmoja wanayolipa halmashauri ni mapato ya mkoa mzima wa njombe.Wasafiri wanaoenda KIGOMA, Kagera, Rwanda, Congo, Burundi, Rwanda lazima walale kahama. Hata idadi ya makampuni ya mabasi Dar to Kahama au kahama to Mwanza ni mengi kuliko ya Dar Njombe achilia yanayopitiliza bk, kg, Rwanda nk. Bado kuna machimbo ya wachimbaji wadogo. Kahama wanalima mpunga asikwambie mtu. 2010 kahama kulikua na benk kampuni 7. Yaani Azania, Stanbic, Exim, Crdb,NBC, nmb na Barclay's wakati huo Njombe kulikua na NBC na nmb tu, sasa hivi imeongezeka crdb na mkomboz.Njombe naifahamu vizuri sana nimekaa FM agreement JD moronga Nazareth nk. Njombe mjini kwa kahama bado sana
 
Sina uhakika kama umefika kahama physical. Migodi mikubwa ya dhahabu ya Barrick nchini miwili ipo kahama Buzwagi na Buly. Mgodi mmoja una wafanyakazi zaidi ya elf 5 wote hao matumiz yao wanafanyia kahama twn. Bado matumizi tu ya mgodi operation cost. Service levy ya mgodi mmoja wanayolipa halmashauri ni mapato ya mkoa mzima wa njombe.Wasafiri wanaoenda KIGOMA, Kagera, Rwanda, Congo, Burundi, Rwanda lazima walale kahama. Hata idadi ya makampuni ya mabasi Dar to Kahama au kahama to Mwanza ni mengi kuliko ya Dar Njombe achilia yanayopitiliza bk, kg, Rwanda nk. Bado kuna machimbo ya wachimbaji wadogo. Kahama wanalima mpunga asikwambie mtu. 2010 kahama kulikua na benk kampuni 7. Yaani Azania, Stanbic, Exim, Crdb,NBC, nmb na Barclay's wakati huo Njombe kulikua na NBC na nmb tu, sasa hivi imeongezeka crdb na mkomboz.Njombe naifahamu vizuri sana nimekaa FM agreement JD moronga Nazareth nk. Njombe mjini kwa kahama bado sana


Umemaliza mkuu!uzi ufungwe tu huu😅!no replies!
 
aisee
hivi njombe kuna nini pale ukitoa vigorofa vya nssf na agriment hotel? kiwanda kimoja cha maziwa, unafananisha na kahama kwenye migodi mikubwa ya dhahabu, ? umeme unaotumika tu buzwagi ni mkubwa kupita umeme unaotumika mji wote wa njombe, njombe bado ni kijijini
hujaona investiment za Tea Kibena,Tanwat,Luponde Tea Estate,Uniliver Industry,Hotels like Hillside,plus individual Investiments like Mexons petrol station,Njombe filling stations,sijagusia Roman Catholic schools zilizopo ndani ya Mji.
 

Attachments

  • Kibena photo.jpg
    Kibena photo.jpg
    19.5 KB · Views: 3
Funguka ndugu nimesema hilo soko litakuwa na shopping mall na pili nimesema idadi na ujenzi mpya wa ghorofa kwa Njombe unazidi Kahama sasa wewe unaona kipi tofauti broo.Mwisho kama u can't get out and explore huwezi elewa we tulia usubili matokeo ya fm 4 labda hata nauli huna maana sie wenyeji wa njombe tunafahamu
Zamani hiyo airport ilikuwa nje kabisa ya mji leo iko mjini na makazi karibu yanafika itini njiapanda ya ludewa afu unasemaje
Daaah umejuaje nimekwama nauli mkuu? Nifanyie wepesi wa kufika kwetu basi nimeambiwa ili nifike Dar natakiwa niwe na 35 elfu tu. Najua ushauza mbatata roba za kutosha fanya kama unatoa sadaka basi mdogo wako nifike kwetu.
 
Nakufaham sana njombe[emoji28]!na kwel bado...ingawa wana mazao yenye hela! Nnjombe hata na mafinga inapitwa!
Naelekea hapo airport naona upande wa kushoto kuna vighorofa viwili sijui vitatu ndo kuna jaa hapo juu anasema maghorofa kibao yanajengwa daaaah nacheka kama chizi hahahhaaaa.
 
Nakufaham sana njombe[emoji28]!na kwel bado...ingawa wana mazao yenye hela! Nnjombe hata na mafinga inapitwa!
Nikitoka hapa narudi Dar, next stop itakuwa Ukerewe kisiwa cha Ukara nipokee kwa mikono miwili huko kwenye mabondo naja.
 
the prise of Njombe

😅😅 mbona kawaida mzee baba! Sasa wenyeji wanavyoishi kwenye dimbwi la umaskini sasa!..njombe matahjiri wa kuhesabu wenye mabasi ndo mnawaita matajiri!njoo sasa kahana..kuna matajjri wa madini, dagaa, samaki, (mabondo), pamba, nk..!na ukiambiea tajiri ni tajiri kweli !angakia vuwanda vyote vya chai ni vya mabeberu!hakuna ht tajiri mmja mwenye kiwanda cha chai..labda wawe wameanza hv karibuni!
Sasa huku watu wnamiliki ardhi yenye madhahabu !, watu wanamajiviwanda ya kuprocess samak..!
 
Back
Top Bottom